
VIDEO:ANGALIA MAZOEZI YA MSHAMBULIAJI MPYA WA SIMBA
SIMBA leo Julai 9,2022 imemtambulisha mshambuliaji Habib Kyombo ambaye alikuwa anacheza ndani ya kikosi cha Mbeya Kwanza, unakuwa ni usajili wa kwanza kwa mzawa kuweza kutambulishwa aada ya kukamilisha ule wa Moses Phiri