
VIDEO:NAMNA MORRISON ALIVYOTUA BONGO KUONANA NA VIONGOZI SIMBA
MCHEZAJI wa Simba, Benard Morrison, usiku wa kuamkia Juni 29, amewasili jijini Dar akitokea nchini Ghana..
MCHEZAJI wa Simba, Benard Morrison, usiku wa kuamkia Juni 29, amewasili jijini Dar akitokea nchini Ghana..
KOCHA mpya Simba aanza na Yanga,ashusha majembe ya maana apewa masharti matatu ndani ya Spoti Xtra Jumanne
KIUNGO Novatus Dismas ambaye ni winga wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars ameweza kupata dili la kujiunga na Klabu ya Zulte Waregen. Kiungo huyo aliwahi kucheza ndani ya kikosi cha Azam FC na alicheza pia katika Klabu ya Biashara United ambayo imeshuka daraja msimu wa 2021/22 baada ya kupoteza kwa kufungwa mabao 4-1 mbele…
MSIMU wa 2021/22 umekamilika ambapo mbivu na mbichi zimejulikana. Biashara United ya Mara itacheza Champioship msimu ujao ikiungana na Mbeya Kwanza ya Mbeya. Mtibwa Sugar wao watacheza mtoano na Tanzania Prisons ili kusaka timu itakayobaki ndani ya ligi. Matokeo yapo namna hii:- Kagera 0-0 Polisi Tanzania. Mbeya Kwanza 0-0 Simba, Yanga 1-0 Mtibwa mtupiaji ni Dennis Nkane…
LIGI Kuu Tanzania Bara leo inagota ukingoni ambapo mechi zinachezwa kwa mara ya mwisho msimu wa 2021/22. Matokeo kwa sasa ikiwa mapumziko yapo namna hii: Yanga 0-0 Mtibwa Sugar Mbeya City 0-1 Namungo Ruvu Shooting 1-0 Prisons Coastal Union 1-1 Geita Gold Azam FC 1-0 Biashara United Kagera 0-0 Polisi Tanzania Mbeya Kwanza 0-0 Simba…
NYAKATI za mashaka kwa sasa kwa baadhi ya timu na mashabiki ni sasa hasa kutokana na kushindwa kupata matokeo kwenye mechi ambazo walicheza mzunguko wa kwanza. Ukurasa wa mwisho kwa mechi ambazo zitachezwa utaamua nani atakuwa nani baada ya mwisho wa msimu kutokana na kila timu kuhitaji pointi tatu. Mbeya Kwanza asanteni kwa kuja nadhani…
KIKOSI cha Simba chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Seleman Matola leo kitakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Mbeya Kwanza. Hiki hapa kikosi kitakachoanza:- Beno Kakolanya Jummsone Gadiel Onyango Kenned Lwanga Kassim Nyoni Kibu Banda Mhilu Akiba Aly Inonga Bocco Hassan Shaffi
LEO Juni 29 mabingwa wa Ligi Kuu Bara Yanga wanakamilisha mzunguko wa 30 kwa kucheza na Mtibwa Sugar. Hiki hapa kikosi cha Yanga:- Mshery Kibwana Bryson Mwamnyeto Bacca Feisal Farid Jesus Ambundo Kaseke Mayele Akiba Johora Boxer Yassin Shaibu Balama Ushindi Nkane Makambo Yusuph
KUELEKEA mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Yanga umechimba mkwara mzito kwa kusema tayari umeanza kufanya maandalizi mazito ya ndani na nje ya uwanja kuhakikisha wanaandika rekodi ya kufika mbali katika michuano hiyo. Yanga tayari imekata tiketi ya uwakilishi wa Tanzania katika michuano ya…
ARSENAL imeboresha ofa yake kwa beki wa Ajax, Lisandro Martinez huku pia wakiwa wanatumaini kufikia makubaliano na Leeds United kuhusu Raphinha. Arsenal imeboresha ofa yake na kufikia pauni milioni 34 kwa ajili ya Muargentina Martinez lakini Ajax wanataka kiasi kinachokaribia pauni milioni 43 huku pia Man United wakiwa wanamtaka. Hata hivyo, United inahitaji kuuza kwanza…
WAMILIKI wapya wa Chelsea wakiongozwa na bilionea Todd Boehly, wameifumua bodi ya timu hiyo wakifukuza kazi vichwa kibao akiwemo gwiji Petr Cech, na hali hiyo imewafanya mashabiki kuwa na wasiwasi na kuonyesha hisia zao kwenye mitandao ya kijamii. Cech ambaye ni kipa wa zamani wa Chelsea alikuwa mshauri wa ufundi na viwango klabuni hapo tangu…
UHAMISHO wa Gabriel Jesus kutokea Man City kwenda Arsenal ulitarajiwa kutangazwa muda wowote kuanzia jana jioni baada ya jana asubuhi kutua jijini London kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya. Mara baada ya kutua katika viwanja vya mazoezi vya Arsenal, Jesus alipokelewa na Mbrazili mwenzake, Edu ambaye alikumbatiana naye kabla ya kukamilisha uhamisho huo wa…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umeweka wazi kwamba utapambana kwenye mchezo wa leo dhidi ya Yanga kama fainali ili kuweza kupata ushindi. Mtibwa Sugar ikiwa itapoteza mchezo wa leo inajiweka kwenye nafasi ya kushuka daraja jumlajumla jambo ambalo Mtibwa Sugar hawahalipendi. Kwenye msimamo ipo nafasi ya 12 na ina pointi 31 huku Yanga ikiwa nafasi ya…
SIMBA msimu ujao itakuwa chini ya Kocha Mserbia, Zoran Manojlović, 59, ambaye anarekodi ya kufundisha klabu kubwa barani Afrika. Mei 31, mwaka huu iliachana na kocha wao Pablo Franco baada ya kutoka kufungwa na Yanga bao 1-0 kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam na kuzima ndoto ya timu hiyo kubeba kombe hata…
KICHAPO cha Simba ambacho walipokea mbele ya Tanzania Prisons kiliwafanya mashabiki kupoteza furaha ikiwa ni pamoja na Agg Simba shabiki maarufu wa Simba
HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga amewapiga dongo kimtindo watani zao wa jadi Simba kwa kuweka wazi kwamba waliweza kutembeza taji lao wakiwa kwenye basi la tofuati ambalo halikuwa ni fuso
UONGOZI wa Biashara United umewaomba mashabiki waweze kuiombea timu hiyo ili iweze kupata ushindi kwenye mchezo dhidi ya Azam FC ili iweze kufufua matumaini ya kubaki ndani ya ligi. Ofisa Habari wa Biashara United,Salma Thabit amesema kuwa nafasi ambayo wapo ni mbaya na wanahitaji ushindi mbele ya Azam FC leo. Mchezo wa leo ni wa…