AZAM FC WAPITIA KIKOMBE CHA MATESO DK 270

KILE kikombe cha mateso ambacho wachezaji wa Simba walikuwa wanakipitia kwa muda wa dakika 270 bila kufunga kwenye mechi tatu mfululizo sasa kimebebwa jumlajumla na Azam FC. Ikumbukwe kwamba Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco ilipitia msoto huo Januari 17,2022 iliponyooshwa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kisha kikombe kikaendelea mpaka Januari 22,2022 walipotoshana…

Read More

PRISON WATENGA MECHI ZA USHINDI

KOCHA Msaidizi wa Tanzania Prisons, Shaban Kazumba ameweka wazi kwamba mechi nne zijazo mbele zitawafanya warudi kwenye ubora wao. Timu hiyo kwa sasa inatumia Uwanja wa Sokoine kama ilivyokuwa ikifanya zamani baada ya kuhamia Uwanja wa Nelson Mandela, Songea wakati walipokuwa kwenye maboresho ya kambi yao. Prisons ipo kwenye mwendo wa kusuasa msimu wa 2021/22…

Read More

MZUNGUKO WA PILI UWE NA UTOFAUTI ZAIDI

MZUNGUKO wa pili unazidi kumeguka taratibu ni kama vile ambavyo mzunguko wa kwanza ulianza kwa msimu wa 2021/22 hasa kwa timu kusaka ushindi. Ipo wazi kwamba mzunguko wa maamuzi huwa huu wa pili kwa kuwa kile ambacho unakivuna wakati huu utapata majibu yake mwisho wa msimu. Zile ambazo zipo nafasi za kushuka daraja wakati mwingine…

Read More

SIMBA:RS BERKANE WAMEKUJA WAKATI MBAYA,MUGALU AREJEA

AHMED Ally Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa wapinzani wao wamewakuta wakiwa kamili kutokana na wachezaji wote kuwa tayari kwa mchezo huo. Simba itamenyana na RS Berkane ya Morocco katika mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 13. Ally amesema:”Taarifa ya awali kuhusu majeruhi ni kuwa Hassan Dilunga…

Read More

MAYELE HATARI YAKE KILA DAKIKA 100

KINARA wa utupiaji wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Fiston Mayele ana wastani wa kuwa na hatari kila baada ya dakika 100 awapo uwanjani kwenye kutupia pamoja na kutengeneza nafasi za mabao. Ndani ya Ligi Kuu Bara ameyeyusha dakika 1,301 akiwa amefunga mabao 10 na ni mabao matano ametupia Uwanja wa Mkapa huku mabao…

Read More

LAUTARO AVUNJA MWIKO WA LIVERPOOL

LAUTARO Martinez nyota wa kikosi cha Inter Milan alivunja rekodi ya Klabu ya Liverpool kutopoteza mchezo wa ushindani katika mechi zake za Uwanja wa Anfield baada ya kuwatungua bao dakika ya 61. Ni katika mchezo wa UEFA Champions League uliochezwa Uwanja wa Anfield ambao ulikuwa ni wa raundi ya 16 ukiwa ni mchezo wa pili….

Read More

YANGA:SISI BADO TUPO,KUSHUKA BADO SANA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kwamba bado upo nafasi ya kwanza na kwa wale ambao wanafikiria kwamba watapoteza kwenye mechi za hivi karibuni hilo walisahau. Ikiwa imecheza mechi 17 kibindoni imekusanya pointi 45 haijapoteza mchezo hata mmoja zaidi ya kuambulia sare kwenye mechi tatu pekee na moja kati ya sare hizo ni ile iliyopata mbele…

Read More

HERI YA SIKU YA WANAWAKE WOTE DUNIANI

LEO ni Jumanne, Machi 8,2022 ni siku ya Wanawake Duniani, tunaungana na wale wote ambao wanaosherehekea siku hiyo. Hapa tunaangalia baadhi ya Wanawake ambao wapo kwenye ulimwengu wa soka wakiwa ni viongozi. Zamani ilikuwa ni nadra sana kuona mambo haya yakitokea ila kwa sasa imekuwa ni ajira na wengi wanafanya kazi ile kwa sana:- Barbara…

Read More

SIKU KUU YA WANAWAKE DUNIANI, IMENOGESHWA NA MKONO WA PONGEZI KUTOKA MERIDIANBET

Kama ilivyodesturi ya Meridianbet kurudisha kwenye jamii inayoizunguka, safari hii, kampuni ya Meridianbet Tanzania imetoa mkono wa pongezi kwa kina mama waliojifunga na wanaotarajia kujifungua kwenye Hospitali ya Mkoa Ya Rufaa, Mwananyamala.   Tarehe 8 mwezi Machi kila mwaka, ni siku maalumu ya kumsherehekea mwanamke kote duniani. Siku hii ni mahsusi katika kumpatia thamani mwanamke…

Read More