
HESABU ZA USIKU WA TUZO ZIMEGOTA UKINGONI,HESABU ZINAHITAJIKA
USIKU wa tuzo umekwisha, ule usiku wa mastaa umefika kikomo hivyo mwisho wa jambo moja ni mwanzo wa jambo lingine kubwa na gumu zaidi. Tunaona kwamba kila mmoja amepata kile ambacho amestahili baada ya ushindani kuwa mkubwa kwenye kila hatua. Makosa ambayo yametokea nina amini kwamba yatafanyiwa kazi hasa kwenye ratiba za tuzo pamoja na…