RS BERKANE WAPIGWA FAINI NA CAF KISA SIMBA

KAMATI ya nidhamu ya Shirikisho la Soka Afrika, CAF imeipiga faini Klabu ya RS Berkane kutokana na vitendo visivyo vya kinidhamu kwenye mechi za Kombe la Shirikisho dhidi ya Simba. Taarifa iliyotolewa mapema leo Machi 28 na CAF imeeleza kuwa mechi iliyochezwa Februari 2022, Simba wakiwa ugenini, mashabiki wa RS Berkane waliwashambulia wachezaji wa Simba…

Read More

BANDA ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA

KIUNGO wa Simba, Peter Banda ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki kwa mwezi Machi. Banda ameweza kushinda tuzo hiyo akiwazidi kura nyota wawili ambao aliingia nao katika fainali inayodhamiwa na Emirate Aluminium. Nyota hao ni pamoja na beki wa kazi ngumu na chafu Shomari Kapombe pamoja na kiungo wa kupekecha Pape Sakho. Kapombe aliweza…

Read More

MTAMBO WA MABAO YANGA KUREJEA KAZINI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Yacouba Songne anaweza kurejea uwanjani muda wowte kuanzia sasa baada ya kuwa nje kwa muda akitibu goti. Yacouba aliumia katika mchezo dhidi ya Geita Gold Oktoba 2, mwaka jana ambao Yanga waliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Jesus Moloko ambapo yeye alitoa pasi ya bao hilo. Daktari wa Yanga, Youssef…

Read More

BODABODA 8 KUWA MIKONONI MWA WATANZANIA KUTOKA HALOPESA

KAMPUNI ya Mawasiliano Tanzania ya Halotel Tanzania,leo Machi 28 imezindua promosheni ya ‘Shinda na Halopesa’ itakayotoa fursa kwa wateja kuweza kushinda fedha taslimu pamoja na Pikipiki maarufu kama ‘Bodaboda’ mpya kabisa. Promosheni hii itadumu kwa muda wa wiki 8 ni maalumu kwa wateja wa HaloPesa na ni jumla ya wateja 72 watashinda zawadi mbalimbali zitakazotolewa…

Read More

CHELSEA YAPIGA 9-0 LEICESTER

TIMU ya Wanawake ya Chelsea imeibuka na ushindi wa mabao 9-0 dhidi ya timu ya Wanawake ya Leicester City. Mchezo huo wa Ligi ya Wanawake ulichezwa Uwanja wa The King Power Jumapili ya Machi 27,2022. Mabao ya Guro Reiten ambaye alitupia mabao mawili ilikuwa dk ya 3 na 45+5 huku Sam Kerr yeye alitupia mawili…

Read More

YANGA WAIVUTIA KASI AZAM FC,KUCHEZA CHAMAZI

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mechi zao zote za kwenye ligi ikiwa ni pamoja na mchezo wao dhidi ya Azam FC. Yanga inaongoza ligi ikiwa na pointi 48 baada ya kucheza mechi 18 inatarajiwa kukutana na Azam FC Aprili 6, Uwanja wa Azam Complex. Manara amesema kuwa…

Read More

BARCELONA YAISAKA SAINI YA LEWANDOWSKI

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Barcelona inaisaka saini ya staa Robert Lewandowski ambaye ni mshambuliaji ili kuweza kuwa naye kwa msimu ujao ndani ya kikosi hicho. Lewa ni moja ya mastaa ambao wana ushkaji mkubwa na kucheka na nyavu alikuwa anatajwa pia kuwindwa na Manchester United. Staa huyo wa Klabu ya Bayern Munich mkataba wake umesalia…

Read More

UWEZO WA MAYELE WAMVUTA WINGA AS VITA

KAMA ulikuwa unahisi mshambuliaji Fiston Mayele anawapa furaha mashabiki wa Yanga na kuishia tu hapa nchini, basi utakuwa unajidanganya. Hiyo ni baada ya Spoti Xtra kufanya mazungumzo na winga wa AS Vita ya DR Congo, Glody Makabi Lilepo ambapo ameweka wazi matamanio yake ya kutaka kucheza na Mayele ndani ya Yanga. Mayele ambaye amejiunga na…

Read More

MOLOKO AREJEA NA HESABU ZA UBINGWA

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka taji la ligi kuu msimu huu. Moloko ambaye ameanza mazoezi na timu hiyo, anadai kuwa alikuwa anajisikia vibaya kuwa nje ya timu kwa sababu ya majeraha kwa kuwa mara zote amekuwa na kiu ya kutaka…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU ZA ROBO FAINALI

KUELEKEA mchezo wao wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USGN, Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameweka wazi kuwa watafanya kila kinachowezekana kushinda mchezo huo, ili kutinga hatua ya robo fainali. Aprili 3, mwaka huu, Simba iliyo nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi D, wanatarajia kuwa wenyeji wa USGN…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO BONGO

UWEZO wake uliojificha kwenye miguu yake unarekodi ya kubadili upepo hata akianzia benchi huwa anakuwa bora,alifanya hivyo mara mbili mbele ya Geita Gold na Simba na mechi zote hizi aliweza kutoa pasi za mabao. Ni Tepsi Evance kiungo mshambuliaji wa Azam FC ambaye ni mzawa mwenye pasi nyingi za mwisho ambazo ni 4 na amekuwa…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA USAJILI WA KI AZIZ

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kwamba suala la mchezaji wa ASEC Mimosas Aziz KI kuweza kusajiliwa na timu hiyo litafanyiwa kazi ikiwa kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo. Imekuwa ikitajwa kwamba mshambuliaji huyo ambaye aliweza kumtungua kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula nje ndani yupo kwenye rada za mabingwa hao watetezi. Pia habari zilikuwa…

Read More