BUKAYO SAKA ANDOLEWA KAMBI YA TIMU YA TAIFA
BUKAYO Saka ameondolewa katika kikosi cha timu ya Taifa ya England baada ya kukutwa na maambukizi ya Corona. Saka nyota wa Arsenal alifanya mazoezi na wachezaji wa Timu ya Taifa ya England Jumanne lakini kwa sasa ametengwa St. George Park tangu Jumatano na kwa sasa amerejea nyumbani. Saka alitweet kuwa ameondolewa katika kikosi cha timu…