
PACOME ANA BALAA ZITO KINOMANOMA
ANA balaa zito ndani ya uwanja kiungo Pacome akiwa ndani ya uwanja kutimiza majukumu yake chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi akiwa ni chaguo la kwanza.
ANA balaa zito ndani ya uwanja kiungo Pacome akiwa ndani ya uwanja kutimiza majukumu yake chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi akiwa ni chaguo la kwanza.
VICTOR Ackpan kiungo wa Simba amepewa mkono wa kwa kheri ndani ya kikosi cha Simba. Kiungo huyo raia wa Nigeria yamemkuta masuala ya ‘Thank You’ kama iliyokuwa kwa Augustino Okra raia wa Ghana. Kiungo huyo aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Coastal Union ya pale Tanga inayotumia Uwanja wa Mkwakwani kwa mechi za nyumbani….
MWAMBA huyu hapa mshambuliaji wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni ingizo jipya katika dirisha dogo. Anaitwa Joseph Guede raia wa Ivory Coast ambapo kafunga dirisha la usajili kwa upande wa Yanga katika dirisha dogo. Yeye ni mshambuliaji wa Kati anakuja kuongeza nguvu kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya Yanga. Wakati anaingia mwamba…
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba, Salim Abdallah, ‘Tryagain’ amesema kuwa kwa namna ambavyo timu hiyo imejipanga hawatakuwa wanyonge tena bali furaha itakuwa ni mwendelezo. Hayo ameyasema leo kwenye mkutano wa Simba ambao una ajenda 13 ikiwa ni pamoja na ile ya uchaguz mkuu unaotarajiwa kufanyika leo Januari 29,2023. Kiongozi huyo amesema:-“Nawashukuru wanachama…
Meridianbet wanaendelea kuhakikisha mteja wao anafurahia huduma zao kwani kwasasa wamekujia na kitu kinaitwa Maximum payout, Ambapo wamepandisha kiwango cha kulipia tiketi moja na kufikia mpaka kiasi cha shilingi milioni 300. Kwa mfano leo kuna michezo tofauti tofauti itakayopigwa kwenye ligi kama Uingereza, Hispania, Italia, pamoja na ligi kuu ya Ufaransa ambapo unaweza kutumia huduma…
KIUNGO mgumu wa Simba Sadio Kanoute atakosekana kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Desemba 19. Nyota huyo katika mechi tatu mfululizo alionyeshwa kadi za njano hivyo atakuwa jukwaani kuwashuhudia wachezaji wenzake wakipambania pointi tatu.
KIUNGO wa Yanga, Khalid Aucho ni miongoni mwa wachezaji ambao wataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Namungo FC. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Namungo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ilulu, Lindi. Sababu kubwa ya nyotahuyo kukosa mchezo huo ni majeraha ambayo aliyapata kwenye mguu wa kulia…
LICHA ya Leicester City kuanza kupata bao la mapema kuongoza dakika ya kwanza halikuwapa nguvu ya kukusanya pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Brigton. Ni Kelechi Iheanacho alianza kupachika bao lakuongoza mapema kabisa kipindi cha kwanza dakika ya kwanza na bao la pili kwa timu hiyo lilifungwa na Patson Daka yeye…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao ujao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wanahitaji pointi tatu muhimu. Baada ya kucheza mechi 18 ni pointi 48 wamekusanya wakiwa nafasi ya kwanza wanatarajia kumenyana na Azam FC Jumatano ya Aprili 6,2022. Kwenye msimamo Azam FC ipo nafasi ya tatu na pointi 28…
MOHAMED Salah amesema hatma yake ndani ya Liverpool iko mikononi mwaka bodi ya klabu hiyo, ila yeye anapenda kuendelea kubaki Anfield. Ishu ya Salah kusaini mkataba mpya ndani ya Liverpool imekuwa ikizungumzwa tangu mwaka jana lakini hakuna muafaka uliofikiwa mpaka sasa. Salah anatarajiwa kumaliza mkataba wake ndani ya miezi 18 ijayo katika klabu hiyo na…
JEREMIA Kisubi kipa namba nne wa Simba ambaye aliibuka hapo akitokea kikosi cha Tanzana Prisons anatajwa kuibuka ndani ya Mtibwa Sugar. Habari zinaeleza kwamba nyota huyo ameomba atolewe kwa mkopo ili aweze kupata changamoto mpya kwa kuwa ndani ya Simba hana nafasi ya kuanza kwenye mechi za ushindani. Mpaka sasa Simba ikiwa imecheza mechi 9…
IMEELEZWA kuwa baada ya Yanga kumalizana na kiungo Bernard Morrison sasa inakwenda kumtambulisha kiungo mwingine hivi karibuni
Klabu ya Yanga Sc imetangaza kuwa itautumia Uwanja wa KMC Complex kama Uwanja wake wa Nyumbani kwa mechi zote za Ligi Kuu ya NBC zilizosalia msimu huu wa 2024/25. Taarifa ya leo Novemba 9, 2024 iliyotolewa na klabu hiyo imeongeza kuwa Young Africans Sc itautumia uwanja wa KMC Complex kama uwanja wake wa nyumbani pia…
KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa kuna wachezaji ambao wataukosa mchezo huo ikiwa ni pamoja na Okwa, Okra huku wakiweka wazi kuwa watani zao wa jadi Yanga wana kiporo hicyo hawatakuwa na furaha wakikakaa kileleni bali watapunguza gap la pointi
Nilichokiona kwenye mchezo wa kwanza wa Yanga hatua ya makundi, ni kwamba Yanga imekaribishwa rasmi kwenye Ligi ya Mabingwa baada ya kupita miaka 25 bila timu hiyo kufuzu hatua ya makundi. Meridianbet inatoa bonasi ya ukaribisho kwa wateja wote wanaojisajili kupitia Meridianbet APP, na tovuti. Takribani miaka 25 ipite Yanga kucheza hatua hiyo hakuweza kushinda…
KLABU ya Simba imemtangaza Abdelhak Benchikha raia wa Algeria mwenye umri wa miaka 60 kuwa kocha wao mkuu. Kocha huyo anarithi mikoba ya Roberto Oliveira, ( Robertinho) ambaye alisitishiwa mkataba wake muda mfupi baada ya kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5 Yanga. Kocha huyo ana uzoefu mkubwa kwenye mechi za ushindani hivyo…
KLABU ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha imeandika rekodi yake ndani ya tatu bora kwa kuwa timu iliyoruhusu mabao mengi yakufungwa. Ipo wazi kuwa Simba inatarajiwa kutupa kete yake nyingine leo Aprili 13 dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti, Singida. Wachezaji wa Simba wanaonekana kutokuwa imara…