HIVI NDIVYO NAMNA SIMBA ITAKAVYOTUSUA CAF

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa njia pekee itakayowapeleka katika hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika ni kushinda mechi zote za nyumbani kurejesha hali ya kujiamini zaidi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ambazo ni dakika 270, Simba haijaambulia ushindi ndani ya uwanja. Ilipoteza…

Read More

RUDIGER KUKUNJA MKWANJA MREFU REAL MADRID

IKIWA dili lake litakamilika kujiunga na kikosi cha Real Madrid akitokea Klabu ya Chelsea basi beki Antonio Rudiger atakunja mkwanja mrefu kweli. Rudiger anatarajiwa kuondoka kwenye kikosi hicho na timu kadhaa Ulaya zinatajwa kuwania saini yake. Ambao wapo mbele kuwania saini ya mwamba huyo ni Real Madrid ambao wao wametenga kabisa kitita cha mshahara wa…

Read More

ONYANGO,WAWA HAWAWATISHI PRISONS

JEREMIA Juma, nyota wa kikosi cha Tanzania Prisons amesema kuwa hana mashaka na mchezo wa leo dhidi ya Simba yenye mabeki wakongwe ikiwa ni pamoja na Henock Inonga, Pascal Wawa na Joash Onyango. Juma ni mshambuliaji pekee ambaye amefunga hat trick kwenye ligi msimu wa 2021/22 na aliwatungua Namungo FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa…

Read More

SIMBA MACHO YOTE KWA IHEFU

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa yaliyotoea Morocco yote ni somo kwao na sasa macho yao ni kwenye mchezo wao dhidi ya Ihefu ambao ni wa robo fainali Azam Sports Federation. Simba imetoka kufunga kete ya sita hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mohamed V ukisoma Raja Casablanca 3-1…

Read More

JESUS MOLOKO MIKONONI MWA MABOSI YANGA

MIONGONI mwa nyota ambao wanatajwa kuongezewa kandarasi ndani ya kikosi cha Yanga ni winga teleza Jesus Moloko. Nyota huyo mkataba wake unatarajiwa kugota mwisho mwa msimu huu jambo amalo limewafanya mabosi wa Yanga kuanza mazungumzo naye. Moloko inatajwa kuwa hakuongezewa mkataba kwa mpango kazi maalumu kisha wakamleta Tuisila Kisinda ambaye hajaonyesha ubora wake. “Moloko hakupewa…

Read More

NTIBANZOKIZA ATWAA TUZO YAKE

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibanzokiza ametwaa tuzo ya mchezaji bora chaguo la mashabiki. Nyota huyo ni mchezaji bora kwa Mei baada ya kuwashinda washkaji zake wawili alioingia nao fainali. Ni Shomari Kapombe na Hennoc Inonga ambao hawa ni wataalamu kwenye eneo la ulinzi. Ntibanzokiza ndani ya Mei kwenye mechi mbili katupia jumla ya mabao…

Read More

AZAM FC NA WAPYA WALIOTAMBULISHWA, KAMBI RWANDA

RASMI Azam FC imewatambulisha wachezaji wapya wawili ambao watakuwa chini ya Kocha Mkuu, Florent Ibenge ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kwamba Azam FC itapeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ambapo itaanzia hatua za awali na mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa ugenini katika kusaka ushindi….

Read More

KAZI KIMATAIFA BADO IPO

KUPATA ushindi kwenye mechi za hatua ya makundi na kutinga hatua ya robo fainali hakika hili ni kubwa kwa timu zote ambazo zimefanikisha jambo hilo. Unaona kila mchezaji alikuwa anajituma kwenye mechi za nyumbani na ugenini katika kusaka ushindi na mwisho imekuwa hivyo. Mashindano ambayo yanafuatiliwa na watu wengi yameleta matokeo mazuri kwa kila timu…

Read More

BAO LA MAYELE LASEPA NA TUZO CAF

BAO alilopachika mwamba Fiston Mayele kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir limechaguliwa kuwa bao bora kwa mzunguko wa tano. Nyota huyo mtambo wa mabao alipachika bao hilo kwenye mchezo uliochezwa Machi 19,2023 Uwanja wa Mkapa. Pasi ya mshikaji wake Kennedy Musonda ilikutana na Mayele aliyekuwa nje kidog ya 18 akaachia…

Read More

ARGUERO ASHAURIWA KUKAA NJE MIEZI MITATU

MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Barcelona, Sergio Arguero  atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu ikiaminika kuwa ni kutokana na kusumbuliwa na tatizo la moyo.   Nyota huyo ambaye ameibuka ndani ya kikosi hicho kinachoshoshiriki La Liga akitokea Klabu ya Manchester City inayoshiriki Ligi Kuu England alipata tatizo hilo Oktoba 30 wakati timu hiyo…

Read More

AZAM FC YATAJA UGUMU WA APR ULIPO

BENCHI la ufundi la Azam FC limebainisha kuwa lina kazi kubwa yakufanya kuelekea mchezo wa marudio dhidi ya APR ya Rwanda unaotarajiwa kuchezwa Agosti 24 2024 huku likiweka wazi kuwa ugumu wa kupata matokeo mbele ya wapinzani wao ni eneo la ulinzi kutokana na namna ambavyo wanajipanga. Ipo wazi kwamba mchezo wa awali wa Ligi…

Read More

EPL, Serie A na AFCON 2025 Mechi Zinazovutia Leo Mashabiki, Tanzania Vs Uganda

Anza kutengeneza pesa zako na wakali wa ubashiri Tanzania yaani Meridinabet kwani ODDS za kibabe zipo kwenye michuano hii mikubwa ya AFCON. Ingia kwenye akaunti yako na ubeti sasa. EPL kama kawaida itarindima ambapo Manchester City watakuwa ugenini kusaka ushindi dhidi ya Nottingham Forest huku mechi ya mwisho kukutana, Pep Guardiola na vijana wake walishinda….

Read More

MWAMBA HUYU WA KAZI KUSAINI YANGA SC

INAELEZWA kuwa Celestin Ecua ambaye ni kiungo wa Zoman FC huenda akasaini mkataba wa miaka miwili kuwa katika kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhaminiwa na NBC. Yanga SC baada ya mechi 30 ambazo ni dakika 2,700 walikusanya jumla ya pointi 82 ikiwaacha watani zao wa jadi Simba SC kwa tofauti ya pointi…

Read More