RAIS YANGA AWAPA UHAKIKA KUTINGA MAKUNDI KIMATAIFA

RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuwa wanaimani ya timu hiyo kukamilisha mpango wa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Novemba 2,2022 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain ya Tunisia, Uwanja wa Mkapa. Injinia amesema:”Nataka…

Read More

PORTO, LEEDS, DORTMUND NA BETIS WAKO DIMBANI LEO

Meridianbet inakukaribisha uweze kubashiri mitanange ya leo kwenye mechi zote za ligi mbalimbali zinazoendelea hapa. Leeds, Porto, Kasimpasa na wengine kibao wapo dimbani leo kukupatia ushindi. Bashiri na mabingwa sasa. Tukianza na Ureno kuna mechi moja kali pia ya kubashiri kati ya FC Porto ambao watakuwa ugenini dhidi ya Gil Vicente Barcelos ambao kushinda mechi…

Read More

MTAMBO WA MABAO WAPIKWA UPYA SIMBA

MTAMBO wa mabao ndani ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira unaendelea kupikwa upya kwa ajili ya mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara. Timu hiyo ikiwa imegotea nafasi ya pili na pointi zake 67 ina kete mbili za kukamilisha mzunguko wa pili ndani ya ligi msimu wa 2022/23 vinara wakiwa ni Yanga. Mbali na…

Read More

Bashiri na Meridianbet Jumatatu ya Leo

Ikiwa ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi ya mechi kibao zinaendelea leo hii abapo Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS KUBWA na machaguo uyatakayo hivyo ingia na uanze kubashiri sasa. LALIGA kutakuwa na mechi moja kali Osasuna atamenyana dhidi ya Valencia CF. Mwenyeji yupo nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi huku mgeni akiwa nafasi…

Read More

WASIWASI DAWA, WAARABU SIO WA KUWABEZA

WASIWASI ni dawa wanasema hivyo hivyo kwa wawakilishi kwenye anga la kimataifa Yanga hampaswi kujiamini kupita kiasi. Mwendo ambao mlianza nao kwenye kila hatua hakika unapaswa kupongezwa na ili uwe na mwendelezo mzuri ni muhimu kupata ushindi leo kwenu Yanga. Moja ya fainali kubwa na ngumu kupata kutokea ni hii hapa kwa kuwa kosa moja…

Read More

YANGA KUMALIZA VINARA WA KUNDI KIMATAIFA

ANAANDIKA Jembe Yanga wana nafasi kubwa ya kuongoza kundi kama watakuwa makini na kuamua kukusanya pointi Cairo. Ahly si Belouizdad na Ahly si wepesi hasa wakiwa Cairo lakini Yanga kwenda Cairo wakiwa wamefuzu inaweza ikawa. FAIDA…Wakijipanga na kuichukulia mechi kwa umakini zaidi HASARA…Kama wataichukulia kwa wepesi sababu walishinda kabla Vs Belouizdad Kushinda nafasi ya kwanza…

Read More

RATIBA YA SIMBA FEBRUARI NI NGUMU KWELIKWELI

WACHEZAJI wa Simba wanaratiba ngumu kwelikweli ndani ya mwezi huu mpya wa Februari katika kusaka matokeo kutokana na ratiba kwao kuwa mwendo wa bandika bandua. Mabingwa hao watetezi wakiwa nafasi ya pili na pointi zao 25 kesho Februari 03 wanakazi ya kuanza kusaka ushindi mbele ya Wajelajela, Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa. Simba inakumbuka kwamba…

Read More

WATANO WA YANGA KUIKOSA GEITA GOLD

NYOTA watano wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo wanatarajiwa kuukosa mchezo wa ligi dhidi ya Geita Gold. Ni Jesus Moloko, Djuma Shaban pamoja na Khalid Aucho ambao hawa hawapo fiti kuweza kuanza mchezo wa leo. Aucho inaripotiwa kwamba amepata majeraha huku Djuma akitajwa kuwa na Mlaria na Moloko yeye ni…

Read More