YANGA SC KUSHUSHA FULL MUZIKI FAINALI MUUNGANO CUP

YANGA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi Mei Mosi 2025 inatarajiwa kuwa na kibarua kwenye mchezo wa fainali Muungano Cup dhidi ya JKU SC Uwanja wa Gombani, Pemba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:15 usiku ambapo Yanga SC imebainisha kuwa itaongeza uzito kwenye mchezo huo hasa katika eneo la wachezaji ambapo huenda wakashusha full…

Read More

SIMBA SC KWENYE KIBARUA DHIDI YA MASHUJAA

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids Mei 2 2025 kinatarajiwa kuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Mashujaa FC ambao nao wanazihitaji pointi hizo tatu muhimu. Mchezo huo ni kiporo ratiba yake imepangwa upya kwa kuwa Simba SC ilikuwa kwenye mechi za kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa…

Read More

YANGA KUSAKA TIKETI KUTINGA FAINALI

KUTOKA ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga SC inakibarua cha kusaka tiketi kutinga fainali Muungano Cup 2025 kwa kusaka ushindi dhidi ya Zimamoto FC saa 1:15 Uwanja wa Gombani, Pemba.  Kwenye robo fainali ya Zimamoto ilikuwa ni Aprili 25 2025 ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara….

Read More

SIMBA HESABU FAINALI, KUANZIA UGENINI

MOHAMED Hussen Zimbwe Jr nahodha wa Simba amewaomba Watanzania waendelee kuwaombe kuelekea kwenye mchezo wa hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika. Ni Mei 17 2025 wanatarajiwa kuwa ugenini nchini Morocco kumenyana na RS Berkane na Mei 25 2025 watakuwa Dar kwenye fainali ya pili itakayoamua mshindi wa jumla atakayetwaa taji hilo. Simba SC inayonolewa…

Read More

AZAM FC YAMALIZA MWENDO MUUNGANO CUP

JKU SC imewaondoa vigogo wawili katika Muungano Cup 2025 ambao wapo ndani ya nne bora Ligi Kuu Tanzania Bara. Walianza na Singida Black Stars katika hatua ya robo fainali Aprili 24 ilikuwa JKU SC 2-2 Singida Black Stars katika penalti ilikuwa JKU SC 6-5 Singida Black Stars. Aprili 28 2025, Azam FC waliumaliza mwendo kwa…

Read More

AZAM FC KWENYE DAKIKA 90 ZA KAZI GOMBANI

MATAJIRI wa Dar, Azam FC leo Aprili 28 2025 wanatarajiwa kuwa kazini kwenye mchezo wa nusu fainali Muungano Cup, visiwani Zanzibar katika dakika 90 za kazi kusaka tiketi yakutinga hatua ya fainali. Azam FC itakuwa Uwanja wa Gombani, Pemba, leo Jumatatu saa 1.15 usiku kuvaana na JKU ambayo iliwafungashia virago Singida Black Stars hatua ya…

Read More

LIVA MABINGWA WAPYA EPL

Liverpool ni Mabingwa wapya wa Ligi Kuu England msimu wa 2024/25 kufuatia ushindi mnono wa 5-1 dhidi ya Tottenham Hotspur katika dimba la Anfield. Majogoo wametwaa ubingwa huo wa 20 kihistoria kwenye Ligi Kuu England zikiwa zimesalia mechi nne Ligi hiyo kufikia ukomo wakifikisha pointi 82 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. FT: Liverpool 5-1…

Read More

WIKIENDI YA MOTO NA MERIDIANBET TIMIZA NDOTO YAKO

Leo hii maliza wikendi yako ukiwa na jamvi la uhakika ndani ya wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Timu za ushindi zipo tayari kukupatia matokeo. Weka dau lako na ujihakikishie ushindi sasa. Kule Italia, SERIE A itaendelea kuvurumishwa vilivyo ambapo Inter Milan vinara wa ligi watamkaribisha AS Roma ambao wamechwa pointi 14 hadi sasa. Inzaghi anahitaji…

Read More