
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V de AGOSTO
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda leo Oktoba 16,2022 kinatupa kete yake kimataifa dhidi ya de Agosto ya Angola. Hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza namna hii:- Aishi Manula Israel Mwenda Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Pape Sakho Mzamiru Yassin Moses Phiri Clatous Chama Okra