HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA V de AGOSTO

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda leo Oktoba 16,2022 kinatupa kete yake kimataifa dhidi ya de Agosto ya Angola. Hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza namna hii:- Aishi Manula Israel Mwenda Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Sadio Kanoute Pape Sakho Mzamiru Yassin Moses Phiri Clatous Chama Okra

Read More

MAYELE:MSITUKATIE TAMAA INAWEZEKANA

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Fiston Kalala Mayele amewataka mashabiki wa timu hiyo kutokata tamaa kwani bado wanayo nafasi nzuri ya kufanya vizuri wakiwa ugenini. Nyota huyo amewaomba mashabiki wasiwakatie tamaa kwa kuwa bado wana nafasi ya kufanya vizuri kwenye mechi ya leo ambayo ni ya marudio. Yanga wameshindwa kutamba katika mchezo wao wa kwanza wa Ligi…

Read More

MASTAA WATATU MSIMBAZI KUIKOSA de AGOSTO

MENEJA wa Habari na  Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa akili zao kwa sasa zinafikiria mchezo wa leo dhidi ya de Agosto ambao ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda ina kibarua cha kulinda ushindi wa mabao 3-1 ilioupata nchini Angola ili kuweza kusonga mbele katika hatua…

Read More

SIMBA YAPEWA PONGEZI NA YANGA KIMATAIFA

KASI waliyoanza nayo Simba katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika imemuibua Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe ambaye amekubali mziki wa watani zao hao na kuwatakia kila la kheri katika safari yao ya kusaka tiketi ya kufuzu hatua ya makundi kupitia mchezo wao wa marudiano dhidi ya C.D de Agosto ya Angola. Jumapili iliyopita…

Read More

MAYELE APEWA KAZI YA KUFANYA KIMATAIFA DK 90

FISTON Mayele mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Yanga anaingia kwenye dakika 90 za moto kushirikiana na mastaa wengine kupata matokeo ugenini kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Oktoba 8, ubao uliposoma Yanga 1-1 Al Hilal ni Mayele alifunga kwa Yanga na kumfanya…

Read More

HAWA HAPA WATUPIAJI KIMATAIFA

 KWENYE anga la kimataifa rekodi zinaonyesha kuwa namba za wazawa kufurukuta ni finyu kutokana na wageni kutawala kila kona. Yanga na Simba wanaperusha bendera kwenye Ligi ya Mabingwa huku Azam FC kwenye Kombe la Shirikisho wao mchezo wao walipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya Al Akhadar ya Libya wana kazi ya kufanya mchezo wa…

Read More

HUYU HAPA AMETAJWA KUIPELEKEA SIMBA HATUA YA MAKUNDI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa Kocha Mkuu Juma Mgunda wana imani naye atawapeleka hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kupata ushindi dhidi ya de Agosto ya Angola. Leo Simba inakibarua cha kusaka ushindi Uwanja wa Mkapa ikiwa na mtaji wa mabao 3-1 iliyopita ugenini dhidi ya de Agosto inahitaji kulinda ushindi huo…

Read More

HAYA HAPA MATOKEO MECHI ZA LEO LIGI KUU BARA

MATOKEO ya mechi za Ligi Kuu Bara leo Oktoba 15,2022 yapo namna hii:- KMC imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro, mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Ni mabao ya Irahim Ame dakika ya 39 na Emmanuel Mvuyekule dakika ya 58. Kwa upande wa bao la Mtibwa Sugar mtupiaji ni Charlse…

Read More

YANGA WABANISHA UGUMU KUWAKABILI AL HILAL

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Yanga 1-1 Al Hilal. Alfajiri ya leo Oktoba 15,2022 kikosi cha Yanga kinachonolewa…

Read More