
MSAFARA WA SIMBA NDANI YA ANGOLA
MSAFARA wa wachezaji wa Simba pamoja na benchi la ufundi umewasili salama nchini Angola leo Oktoba 8,2022 kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto. Ni jumla ya wachezaji 24 ambao walikuwa kwenye msafara huo miongoni mwao ni pamoja na Aishi Manula, Ally Salim na…