
VIDEO: NABI: TUMETOKA KWENYE MCHEZO MGUMU
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wametoka kwenye mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba hivyo watajitajidi kesho kupambana kupata matokeo kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC, Uwanja wa Mkapa