RONALDO BANA AGOMA KUSTAAFU
NYOTA wa kikosi cha Manchester United amesema kuwa anaamini bado miaka minne au mitano kwenye soka na pia ana furaha kufanya kazi hiyo anayoipenda. Kwa sasa bado anakipiga ndani ya Manchester United akiwa ni staa anayetajwa kuwa mshambuliaji bora wa muda wote. Nyota huyo kibindoni ana tuzo tano za Ballon d’Or na msimu huu tayari…