
VIDEO:MKWASA:TUSINGEBADILI MBINU, TUNGEFUNGWA NYINGI
KOCHA Mkuu wa Ruvu Shooting Masta Mkwasa ameweka wazi kuwa wasingebadili mbinu mbele ya Simba wanegufungwa mabao mengi baada ya dakika 90 kusoma Ruvu Shootin 0-4 Simba na ni Chama alitengeneza pasi mbili za mabao