
SIMBA USHAMBULIAJI IMEKIMBIZA, PHIRI NAMBA MOJA
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kimekuwa na moto kwenye safu ya ushambuliaji huku ukuta wao ukiwa haujaruhusu mabao mengi kwenye mechi za ushindani. Simba ikiwa imecheza jumla ya mechi 8 za mashindano, ligi mechi tano na Ligi ya Mabingwa Afrika mechi tatu imetupia jumla ya mabao 18 huku safu ya ulinzi…