
NYOTA HUYU ALIKUWA SABABU KWA MABAO KWA TIMU ZOTE MBILI
MCHEZO wa mpira ni mchezo wa makosa na wanasema ukifanya kosa moja unaadhabiwa na mpinzani wako. Miongoni mwa mchezo ambao ulikuwa unasubiriwa kwa shauku kubwa ni ule wa fungua mwaka kwa Simba iliyoweka kambi Dubai kwa muda. Pia ilikuwa na kocha mpya kwenye benchi ambaye ni Robert Oliviera hakika mashabiki walikuwa wanasubiri kuona namna kazi…