
KIMATAIFA NI MUDA WAKUONYESHA KAZI KWA VITENDO
KILE kipengele cha kutamba kuwa ni mkubwa kwa watani za jadi sasa kinapaswa kuonyeshwa kwa vitendo kutokana na mashindani ya kimataifa ambayo yapo mbele yao. Simba wao wapo ndani ya Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi na wanatarajiwa kumenyana na Horoya Februari 11 ugenini na Yanga wao Februari 12 wana kete yao kwenye Kombe la…