
MIL 350 ZAMSHUSHA PACHA WA PHIRI SIMBA
SIMBA inatakiwa ivunje benki na kutenga kitita cha Sh 350Mil ili kufanikisha usajili wa straika wa Power Dynamo ya nchini Zambia, Kennedy Musonda ili kuwa pacha wa Mzambia mwenzake, Moses Phiri kikosini hapo. Zambia wanatokea wachezaji wawili tegemeo hivi sasa katika kikosi cha Simba ambao ni kiungo Clatous Chama na Moses Phiri anayecheza nafasi ya…