MCHEZO MZIMA WA AZAM FC V YANGA ULIKUWA NAMNA HII

ZAWADI ya Chritmas imetolewa kwa mashabiki wa Yanga baada ya timu hiyo kutoka nyuma ilipoanza kufungwa na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa na mwisho ukasoma Azam FC 2-3 Yanga. Ni Abdul Seleman, ‘Sopu’ alianza kumtungua kipa namba moja wa Yanga, Djigui Diarra dakika ya 27 akitumia pasi ya Prince…

Read More

MABAO 11 YA SIMBA KUIKOSA KMC

MABAO 11 ya Simba leo yanatarajiwa kukosekana uwanjani kutokana na matatizo ya wachezaji hao. Ni Moses Phiri ambaye ni mshambuliaji namba moja akiwa ametupia mabao 10 na Peter Banda yeye ametupia bao moja. Mastaa hawa wote hawatakuwa kwenye mchezo wa leo dhidi ya KMC kwa kuwa hawapo fiti jambo litakalowafanya wakosakane kwenye mchezo huo. Ikumbukwe…

Read More

AZAM FC YATUNGULIWA SOPU AKITUPIA MBILI

DAKIKA zake 71 zilitosha kufanya ubao wa Uwanja wa Mkapa ukasoma Azam FC 2-3 Yanga. Ni Abdul Seleman, ‘Sopu’ nyota wa Azam FC alikuwa kwenye ubora lakini timu yake ya Azam FC imetunguliwa ikiwa nyumbani na kuyeyusha pointi tatu mazima. Mabao ya Yanga yalifungwa na Fiston Mayele dakika ya 31 na Aziz KI dakika ya…

Read More

ALI AHAMADA ATUNGULIWA MBILI CHAP KWA HARAKA

MOJA ya sehemu ambazo Azam FC wanapaswa kuboresha pia kwa sasa kwenye usajili wa dirisha dogo ni upande wa mlinda mlango kutokana na makosa mengi anayoyafanya akiwa langoni. Weka kando mechi ya leo dhidi ya Yanga ambayo amefungwa mabao mawili ndani ya dakika mbili kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union aliruhusu mabao ambayo yaliipa tabu…

Read More

SOPU KAANZA KUIKABILI YANGA KWA MKAPA

NYOTA Abdul Seleman,’Sopu’ kiungo wa Azam FC ameanza kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa leo Desemba 25,2022 dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba alipokuwa Coastal Union Sopu alifunga hat trick kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Yanga jambo lililowavutia mabosi wa Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa ukisubiriwa kwa…

Read More

AZAM FC V YANGA VITA YA DAKIKA 90

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu lakini wamefanyia kazi makosa waliyofanya kwenye mzunguko wa kwanza hasa katika mipira ya adhabu. Dakika 90 zitatoa majibu kwenye mchezo wa leo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu hizo mbli. Kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO WATOA ZAWADI YA CHRISTMAS

KABLA ya mabox kuanza kufunguliwa tayari Ihefu wameshakamilisha kutoa zawadi yao kwa mashabiki zao. Ni msimu wa sikukuu wa Christmas na Mwaka Mpya 2023 pointi tatu waliziweka kibindoni na kuwapa zawadi ya furaha mashabiki zao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Highland Estate, Septemba 24 ulisoma Ihefu 3-1 Mtibwa Sugar. Mabao kwenye mchezo…

Read More

HATARI YA CHAMA IPO NAMNA HII

KINARA wa pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Clatous Chama ana hatari kila baada ya dakika 104 akiwa uwanjani. Ni mabao matatu katupia kibindoni akiwa ametoa jumla ya pasi 9 anafuatiwa na Ayoub Lyanga wa Azam FC ambaye ametoa pasi 7 na katupia bao moja. Simba ikiwa imetupia mabao 37 baada ya…

Read More

WAAMUZI UMAKINI UNAHITAJI KWENYE MAAMUZI

UNAONA mzunguko wa kwanza ulianza kwa kelele nyingi kutokana na waamuzi kuoneana wakifanya maamuzi ambayo yalikuwa yanaleta utata kwa wachezaji pamoja na mashabiki kushindwa kuelekewa kinachoendelea. Matukio ya kushindwa kutafsri sheria 17 yalikuwa yakiwapeleka mara kwa mara kwenye kamati za maadili kisha wakirejea wanaendelea kuwa kwenye ubor wao. Hii inamaanisha kwamba waamuzi tulioano uwezo wanao…

Read More

JEMBE JIPYA SIMBA LAIBUKIA MWANZA

BAADA ya kujiunga na kikosi cha Simba na kutambulishwa rasmi leo Desemba 24,2022 kiungo Said Ntibanzokiza ameibukia Mwanza. Nyota huyo ambaye alikuwa ndani ya kikosi cha Geita Gold mwanzoni mwa msimu wa 2022/23 atakuwa na uzi wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Juma Mgunda. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo Mwanza ikiwa ni kwa ajili…

Read More

ISHU YA FEISAL YAZUIA GUMZO,TAMKO YANGA LATOLEWA

KLABU ya Yanga imebainisha kuwa mchezaji Feisal Salum bado ni mali yao na dili lake linagota ukingoni 2024. Nyota huyo anatajwa kumalizana na mabosi wa Azam FC ambao wameweka dau nono kwa mchezaji huyo. Yanga wamebainisha kuwa mkwanja ambao alirejesha Feisal wakuvunjia mkataba wake amerudishiwa. Feisal ameweka wazi kuwa anashukuru kwa muda ambao wamekuwa nao…

Read More