
SAUTI:MOSES PHIRI AMTANGAZIA VITA MAYELE
MSHAMBULIAJI wa Simba Moses Phiri amemtangazia vita mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele na wote kwenye ligi wametupia mabao matatumatatu
MSHAMBULIAJI wa Simba Moses Phiri amemtangazia vita mshambuliaji wa Yanga, Fiston Mayele na wote kwenye ligi wametupia mabao matatumatatu
INAELEZWA kuwa miongoni mwa nyota ambao wataachwa ndani ya kikosi cha Simba hivi karibuni ni pamoja na beki wa kazi Mohamed Ouattara. Huyo nibeki wa kati wa Simba ni miongoni mwa nyota ambao wanatajwa kuwa kwenye mpango wa kuondolewa kikosini hapo kutokana na kushindwa kuonyesha makali yake. Mbali na beki huyo ambaye alikuwani chaguo la…
NYOTA wa Yanga ikiwa ni pamoja na Maxi Nzengeli, Pacome Zouzoah, Zawadi Mauya, Kibwana Shomari wapo kamili kuwavaa Waarabu wa Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi inashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na kete ya kwanza wakiwa ugenini walipoteza dhidi ya Waarabu wa Algeria. Kwa sasa…
JANUARI 13 2024 mashindano ya Mapinduzi 2024 yaligota mwisho huku Mlandege wakitwaa taji hilo mara ya pili mfululizo kwa ushindi wa bao 1-0 Simba. Baada ya mchezo huo bosi wa Yanga ameweka wazi kuwa alitambua mapema kwamba hakuna timu iliyokuwa na uwezo wa kuizuia Mlandege kutwaa kwa mara ya pili taji hilo jambo ambalo limetimia.
UONGOZI wa Singida Big Stars imeweka wazi kuwa unatambua ubora wa beki wa Simba, Pascal Wawa ila haina mpango wa kumsajili kwa muda huu. Timu hiyo ambayo ilikuwa inaitwa DTB ilipokuwa inashiriki Championship inatajwa kuwa katika mazungumzo na Wawa ambaye mkataba wake unakaribia kuisha msimu utakapomeguka. Mtendaji Mkuu wa Singida Big Stars,Muhibu Kanu amesema kuwa…
RASHID Nortey raia wa Ghana anatajwa kuwa kwenye hesabu za kusajiliwa na Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Yanga ni vinara wa ligi wakiwa na pointi 48 aada ya kucheza mechi 18 msimu wa 2021/22. Nyota huyo anacheza katika Klabu ya Medeama inayoshiriki Ligi Kuu ya Ghana. Rekodi zinaonyesha kuwa ni moja ya kiungo…
PAPE Sakho,mzee wa kunyunyiza staili yake ya kushangilia ameweza kuweka rekodi ya kuwa kinara wa pasi ndani ya kikosi cha Simba baada ya kumaliza na pasi za mabao 5. Kiungo huyo raia wa Senegal kwa msimu uliomeguka wa 2021/22 ni mechi 22 alicheza na kuyeyusha dk 1,355 na katupia mabao 6. Kahusika kwenye mabao 10…
KOCHA msaidizi wa Simba, Hitimana Thiery amesema kuwa watarudi kwa nguvu zote kuhakikisha kuwa wanafanya vizuri katika michezo ya ligi kuu mara baada ya kumaliza ratiba yao ya michuano ya ligi ya Mabingwa. Simba mpaka sasa katika michezo ya ligi kuu imefanikiwa kucheza michezo miwili pekee dhidi ya Biashara United na Dodoma Jiji ambapo wamefanikiwa…
KWENYE usajili wa Simba katika dirisha lililofunguliwa hivi karibuni ni mzawa mmoja ametambulishwa ambaye ni David Kameta, ‘Duchu’. Moja ya mabeki wenye juhudi kwenye timu za kati amerejea ndani ya kikosi cha Simba anajukumu la kupambana kufikia uwezo wa kufanya kweli. Wapo wazawa wengi ambao waliibuka ndani ya Simba kutoka timu za madaraja ya kati…
HERITIER Makambo, nyota wa kikosi cha Yanga, ameweka wazi kuwa ukurasa wake wa mabao ndiyo kwanzaunaanza kufunguliwa kwani hajachuja katika suala la ufungaji, akitamba kwamba akipewa nafasi atafunga. Nyota huyo kwa sasa ni kinara wa utupiaji ndani ya Yanga kwenye Kombe la Shirikisho akiwa ametupia mabao matatu, ilikuwa mbele ya Ihefu FC wakati Yanga iliposhinda mabao 4-0. Mshambuliaji huyo aliweza kuanza pia kwenye mchezo wa jana mbele ya…
ILIKUWA April 14, 2012, miaka 11 nyuma. Kwenye mechi kati ya Pescara dhidi ya Livorno. Mchezaji Piermario Morosin, alipatwa na mshtuko wa moyo na kuanguka uwanjani. Baada ya juhudi kubwa za madaktari kuokoa uhai wake, saa moja na nusu mbele, aliaga dunia. Wanasema ni jukumu la daktari kutibu, kuponya ni kazi ya maulana. Unajua kilichotokea…
KLABU ya KMC kwa msimu wa 2021/22 kwenye mechi zao mbili za vigogo ndani ya ligi hawajawa na bahati ya kusepa na pointi tatu zaidi walikuwa wakiambulia maumivu ya kunyooshwa. Ikumbukwe kwamba KMC makazi yao yapo Dar lakini kwa mechi zilizokuwa zikiwakutanisha dhidi Yanga na Simba walikuwa wakizipeleka nje ya Dar. Ilikuwa ni ile dhidi…
KOCHA msaidizi wa Polisi Tanzania, John Tamba amesema kuwa wanatambua ushindani uliopo kwenye ligi ni mkubwa watapambana kushinda mechi zilizobaki ili kufufua matumaini ya kubaki ndani ya ligi. Vinara wa Ligi Kuu Bara ni Yanga ambao wametwaa taji hilo kwa mara ya pili mfululizo wakiwa na pointi 74 na wana mechi mbili mkononi. Polisi Tanzania…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa sasa wanapita katika kipindi kigumu kutokana na kuwa kwenye mwendo wa kuchechemea katika vita ya kusaka pointi tatu. Ndani ya Januari kwenye mechi za ugenini wamekwama kusepa na ushindi zaidi ya kuambulia sare moja na kichapo kimoja. Mechi mbili ambazo ni dakika 180 walikuwa kwenye msako wa…
KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Mathias Lule, ameitahadharisha Yanga, kuwa isitarajie kupata mteremko katika mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, watakapokutana Februari 5 kwenye Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam. Mbeya City, wapo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara wakiwa na pointi 22 kibindoni huku wakiwa wameshuka uwanjani mara 13 wakiwa…
PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba anatarajiwa kukutana leo na uongozi wa Simba ili kuweza kuzungumza kuhusu mwendo wake ndani ya kikosi hicho. Kocha huyo baada ya kurithi mikoba ya Didier Gomes malengo yote ambayo alikabidhiwa na timu yameyeyuka jumlajumla jambo linalofanya nafasi yake kuwa kwenye wakati mgumu. Moja ya malengo ilikuwa ni kutetea mataji yaliyokuwa…