COASTAL UNION KUMENYANA NA AZAM FC

WANAUME wa kazi Azam FC na Coastal Union wanatarajiwa kuvuja jasho ndani ya dakika 90 kusaka mshindi atakayetinga fainali kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya nusu fainali dhidi ya Azam FC. Ni Uwanja wa CCM Kirumba mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa timu hizo mbili kuwa na kazi kusaka ushindi. Ni mchezo unaotarajiwa kumtoa…

Read More

SIMBA WAAMBULIA POINTI MOJA DAKIKA 180

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kwa sasa wanapita katika kipindi kigumu kutokana na kuwa kwenye mwendo wa kuchechemea katika vita ya kusaka pointi tatu. Ndani ya Januari kwenye mechi za ugenini wamekwama kusepa na ushindi zaidi ya kuambulia sare moja na kichapo kimoja. Mechi mbili ambazo ni dakika 180 walikuwa kwenye msako wa…

Read More

AZAM FC KUKIWASHA NA TAIFA JANG’OMBE LEO

 BAADA ya Azam FC kukamilisha dakika 180 kwenye Ligi Kuu Bara na kusepa na pointi nne leo kikosi hicho kitakuwa Zanzibar. Mchezo wa kwanza wa ligi Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar na iliambulia sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Geita Gold. Mechi zote hizo mbili zilichezwa Uwanja…

Read More

US MONASTIR 2-0 YANGA KIMATAIFA

DAKIKA 45 za mwanzo zimemeguka ambapo ubao unasoma US Monastir 2-0 Yanga wawakilishi kutoka Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Ni Mohamed Saghroui dakika ya 10 na Boubacar Traore ilikuwa dakika ya 15. Djigui Diarra anatimiza majukumu yake akiwa ameokoa hatari moja iliyokuwa ni nafasi ya wazi kwa wapinzani wao kufunga ilikuwa dakika ya 12….

Read More

WAZAWA KUPWA NA KUJAA KUFIKE MWISHO

WAZAWA ipo wazi kuwa hawajawa na msimu mzuri kutokana na rekodi kuwakataa ndani ya uwanja kwenye kila idara. Ni Yanga kinara wa utupiaji ni Fiston Mayele raia wa DR Congo ni Clatous Chama wa Simba kinara wa pasi za mwisho. Mayele ametupia mabao 16 ndani ya kikosi cha Yanga na Chama pasi 14 sio hawa…

Read More

MICHAEL FRED AMTAJA MFUNGAJI BORA

MICHAEL Fred mshambuliaji wa zamani wa Simba amesema kuwa ikiwa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara ana amini kwamba ikiwa atakuwa ndani ya Ligi Kuu Bara atakuwa mfungaji bora kwani kutokana na uwezo wakufanya hivyo ndani ya uwanja. Msimu wa 2024/25 Fred akiwa na uzi wa Simba alifunga jumla ya mabao sita na miongoni mwa…

Read More

MUSSA CAMARA KWENYE MTEGO MZITO

KIPA namba moja wa Simba, Mussa Camara yupo kwenye mtego mzito kurejesha hali ya kujiamini katika kikosi cha kwanza kutokana na mwendo ambao amekuwa nao kwa sasa. Ikumbukwe kwamba kipa huyo kwenye mechi nne mfululizo ambazo alianza kikosi cha kwanza katika mechi za Ligi Kuu Bara hakufungwa na alikuwa imara kwenye kucheza na kutoa maelekezo…

Read More

YANGA YAKWAMA MBELE YA TANZANIA PRISONS

VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi wamekwama kusepa na pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Hata Prisons nao wamekwama kupata pointi tatu zaidi ya kuambulia pointi moja wakiwa kwenye hatari ya kushuka daraja. Kwenye msimamo Prisons ipo nafasi ya 14 na pointi 23…

Read More

LIVERPOOL WAMECHANA MKEKA

TAIWO Awoniyi amezima furaha ya mashabiki wa Liverpool na kuwafanya Nottm Forest kubaki na pointi tatu wakiwa nyumbani. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu England, bao la ushindi limefungwa dakika ya 55kipindi cha pili jitihada za Liverpool kusaka usawa na ushindi zikakutana na uimara wa kipa wa wapinzani wao. Ni mashuti 10 Nottm walipiga na 7…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA HOROYA KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya unaotarajiwa kuchezwa Februari 11,2023. Mchezo huo ni wa hatua ya makundi ambapo ni msako wa pointi tatu muhimu kusaka nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na…

Read More

LUIS KAZI YAKE IPO HIVI MAPINDUZI 2024

KIUNGO wa Simba, Luis Miquissone ni habari nyingine ndani ya Mapinduzi 2024 kutokana na kuwa na zali la kuhusika kwenye miguso iliyoleta mabao katika timu hiyo. Ni pasi tatu za mabao  katoa na kufunga bao moja. Januari Mosi dhidi ya JKU alifanya kweli kwa kutengeneza pasi mbili za mabao ile ya kwanza alimpa Moses Phiri dakika…

Read More