China-Tanzania cooperation gains momentum with launch of “Chinese + Vocational Skills” Training ate closely with UDSM and VETA Kipawa.

The China-Tanzania “Chinese + Vocational Skills” project organized by Henan Lianfei Business Information Consulting Co., Ltd. is implemented at the University of Dar es Salaam (UDSM) and VETA Kipawa ICT Centre. The short-term project will help young people master the practical skills necessary for Tanzania’s industrial transformation and sustainable development and empower them to acquire…

Read More

BIG BULLETS 0-1 SIMBA, LIGI YA MABINGWA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, Big Bullets 0-1 Simba. Ni mchezo wa kwanza kwa Kocha Mkuu, Juma Mgunda kukamilisha dakika 45 akishuhudia bao la Moses Phiri dakika ya 28. Bao hilo amefunga kwa mtindo wa acrobatic akiwa ndani ya 18 kwenye mchezo huo wenye ushindani mkubwa

Read More

Sloti ya Capital City Derby Meridianbet

Jiandae kwa tukio la michezo la sloti linalokusudiwa kuwafurahisha mashabiki wote wa michezo ya kubahatisha ya kasino ya mtandaoni! Uwe shabiki wa timu yenye jezi nyekundu au nyeusi na nyeupe, timu yako uipendayo itakusaidia kushinda bonasi za kushangaza na Mamilioni kutoka Meridianbet. Karibu kwenye tamasha la mpira wa miguu – cheza Capital City Derby! Chagua…

Read More

ZAIDI YA BILIONI 283 ZIMETOLEWA WIZARA YA MICHEZO

NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema kuwa zaidi ya bilioni 283 zimetolewa kwenye wizara ya michezo ikiwa ni mara 8 zaidi ya bajeti ya awali. Mwinjuma ameweka wazi kuwa shukrani zote ni kwa mwanamichezo namba moja Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan ambaye jitihada zake za kuunga mkono maaendeleo ya michezo zinaendelea….

Read More

GEITA GOLD WASHUSHA MTU MWINGINE WA KAZI

 WACHIMBA madini,Geita Gold hawatanii kwa kuwa wana jambo lao na leo Agosti 7,2022 wameweza kumtambulisha nyota mpya katika kikosi hicho. Timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya kimataifa Afrika baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne hivyo inajipanga kuwa ya kipekee. Ni beki Yahya Mbegu leo ametambulishwa kuwa mchimba madini mapya baada ya Agosti 4…

Read More

SIMBA YATANGAZA KOCHA MPYA

RASMI Simba imetangaza kocha mpya wa makipa kwa ajili ya kuwa na timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba kocha huyo alikuwa ni shuhuda wa Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 alipokuwa ndani ya Azam FC. Pia alishuhudia Azam FC ikipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa fainali…

Read More

DEMBELE AKATWA MKWANJA HUKO KISA DAKIKA TATU

OUSMANE Dembele, nyota wa kikosi cha Barcelona amekuwa wa kwanza kukutana na balaa la kocha mpya, Xavi Hernandez kisa kuchelewa kwenye mazoezi kwa muda wa dakika tatu pekee. Kwa kosa hilo ambalo amefanya amekutana na ishu ya kukatwa mkwanja mrefu kwenye mshahara wake hivyo asitarajie kupewa mshahara wake kamili kwa mwezi huu kwa kuwa amesharikoroga…

Read More

Bodø/Glimt Wazua Taharuki UEFA Baada ya Kuwaangusha Mabingwa

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet ni rahisi sana kwa wewe kubashiri nani ambaye unaona atakuwa bingwa?. ODDS za kila bingwa zimekweka, hivyo ingia kwenye akaunti yako na ubashiri leo. Timu ya Bodø/Glimt imeonyesha kuwa imekuja na ushindi wa kimasoko na uthabiti wa kiufundi unaovutia mashabiki kote. Bodøe/Glimt wamejijengea jina kama timu inayopambana, yenye mashambulizi…

Read More