
FOUNTAIN GATE V YANGA REKODI ZAO
WABABE wawili ndani ya Ligi namba nne kwa ubora Afrika, Fountain Gate ambayo Ofisa Habari wao ni Issa Mbuzi na Yanga Ofisa Habari ni Ali Kamwe wanatarajia kukutana Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Aprili 21 2025 kwenye mchezo wa ligi ambao ni mzunguko wa pili. Rekodi zinaonyesha kwamba Fountain Gate ni namba mbili kwa timu ambazo…