BAYERN YATUMA WAFANYIKAZI WAWILI NCHINI RWANDA

Mkurugenzi Mtendaji wa Bayern Munich Jan-Christian Dreesen alithibitisha kwa kwamba klabu hiyo inafuatilia hali jinsi ilivyo nchini DR Congo. Bayern imetuma wafanyikazi wawili nchini Rwanda baada ya kupokea ukosoaji kwa udhamini wao wa Visit Rwanda. Tangu Agosti 2023, Bayern Munich imekuwa na Visit Rwanda kama mfadhili, mpango wa ofisi ya utalii ya Rwanda. Mwishoni mwa…

Read More

PAMBA JIJI KUMBE SIO WEPESI HUKO

WAKULIMA wa Pamba kutoka Jiji lenye madini ya mawe, Mwanza, Pamba Jiji wamedhihirisha kuwa sio wepesi kama ilivyo Pamba kutokana na kupata matokeo mbele ya matajiri wa Dar kwenye mchezo wa ligi inayodhaminiwa na NBC. Ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora ushindani wake umezidi kuwa mkubwa hasa mzunguko wa pili ambapo vigogo wamekuwa wakiangusha…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA BONGO

LIGI Kuuu Bara ambayo inadhaminiwa na NBC ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora Afrika bado inazidi kupasua anga taratibu ukiwa ni mzunguko wa pili. Februari 10 2025 kuna mechi ambazo zitachezwa katika viwanja tofauti kwa wababe kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja. Ngoma inatarajiwa kuwa namna hii leo:- KenGold v Fountain Gate, Uwanja…

Read More

KIKOSI CHA DODOMA JIJI CHAPATA AJALI

KIKOSI cha Dodoma Jiji kimepata ajali ya basi wakati wakirejea Dar kutoka Ruangwa walipomaliza mchezo wa ligi dhidi ya Namungo FC waliotoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2. Kwenye mchezo huo Dodoma Jiji waligawana pointi mojamoja ugenini katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa huku mlinda mlango Ngelekea Katembua akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Taarifa zimeeleza…

Read More

SUKA JAMVI NA BET BUILDER NDANI YA MERIDIANBET

Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet imekuletea chaguo linaloitwa BET BUILDER ambapo hapa unaweza kuchagua machaguo mengi kwenye timu moja mfano. JKT vs Yanga unaweza ukampa Yanga ashinde, mechi itoe magoli 3, mgeni ashinde vipindi vyote nakadhalika. Maana ya  BET BUILDER ni, BET BUILDER ni huduma inayotolewa na Meridianbet kwenye kubashiri ambayo hii inakupa nafasi ya…

Read More

Early Payout Inaendelea Kumwaga Mpunga

Wikiendi ndio hii wale wanaobashiri kupitia mpira wa miguu wana fursa ya kutamba na kujipigia mkwanja kirahisi, Kwani chaguo linalotamba kwasasa la Early payout litakua kwenye michezo mingi itakayopigwa chaguo chaguo hili upige mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet. Meridianbet wamekuja na kitu kinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo…

Read More

MECHI KALI LEO ZIPO HAPA, WIKENDI YA USHINDI

Mechi kali leo hii Duniani zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukurahisishia kazi kwa kukupatia kile ambacho unakipenda. Bashiri sasa. Ligi kuu ya Italia SERIE A leo kitawaka sana ambapo Atalanta atasafiri kumenyana dhidi ya Hellas Verona ambao wapo nafasi ya 13 wakiwa na pointi zao 23 pekee….

Read More

HAPA NDIPO PATAKAPOWAANGUSHA SIMBA

ENEO la ushambuliaji litawaangusha Simba kwenye mbio za kuwania ubingwa ikiwa wachezaji watashindwa kuwa makini hasa katika umaliziaji wa nafasi na kutengeneza nafasi. Katika michezo ambayo ameanza Mpanzu ameonekana kuwa na shauku kubwa yakutaka kufunga zaidi ya kutengeneza nafasi za mabao jambo linalowapa ugumu Simba kufunga ndani ya uwanja. Nafasi ambazo wanazipata ndani ya 18…

Read More

FIFA YAIFUNGIA CONGO BRAZZAVILLE KUSHIRIKI SHUGHULI ZOTE ZA KISOKA

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki katika mashindano ya Kimataifa. FIFA ilifafanua kuwa imeamua kusitisha uanachama wa shirikisho la soka la Congo Brazzaville hadi itakapotangazwa tena, kutokana na kuingilia kati kwa Waziri wa michezo wa Congo,…

Read More