MKANDAJI KAKANDWA KARIAKOO DABI NYUMBANI
ASIYEKUBALI kushindwa si mshindani wanasema hivyo. Ilikuwa ni jasho la kazi kwa wanaume 22 kusaka ushindi Uwanja wa Mkapa na mwisho ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga. Wakandaji Simba wakiwa nyumbani walikandwa na wapinzani wao Yanga kwenye msako wa pointi tatu muhimu.Hapa tunakuletea namna kazi ilivyokuwa namna hii:- Aishi Manula Mchezo wake wa kwanza ndani ya…