NGAO YA JAMII KUPIGWA TANGA

RAIS wa Shirikisho la Mpirawa Miguu Tanzania, (TFF) Wallace Karia amesema shindano la Ngao ya Jamii ambalo linategemea kuhusisha timu 4 ambazo ni Simba, Yanga, Azam na Singida Fountain Gate litafanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Karia amesema: “Kwenye Ngao ya Jamii ambayo msimu huu zitachezwa mechi tatu, mbili za Nusu Fainali na moja ya Fainali,…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE WAPEWA M 50 NA SportPesa

KAMPUNI ya kubashiri ya SportPesa leo Juni 3 imekabidhi hundi ya shilingi milioni 50 kwa Klabu ya Singida Fountain Gate FC ambayo zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars. Hiyo yote ni baada ya kukamilisha msimu ikiwa nafasi ya nne katika NBC Premier League msimu wa 2022/23. Katika hafla hiyo iliyofanyika makao makuu ya kampuni hiyo…

Read More

CHUMA CHA AZAM KIMETUA BONGO

CHUMA cha pili kusajiliwa ndani ya Azam FC kimeweka wazi kuwa kimekuja Bongo kufanya kazi. Tayari amewasili Bongo na kukamilisha taratibu za mwisho kwenye suala la kusaini dili jipya na timu hiyo inayotumia Uwanja wa Azam Complex kwenye mechi za nyumbani. Imegotea nafasi ya tatu kwenye msimamo na vinara wakiwa ni Yanga msimu wa 2022/23….

Read More

MTIBWA SUGAR WAJENGA NGOME YAO

MTIBWA Sugar U 20 ni mabingwa mara ya tano katika Ligi ya Vijana ukiwa ni utawala mkubwa kwao. Sio Azam FC, Simba, Yanga wala Geita Gold ambao wamefanikiwa kuonyesha makeke mbele ya timu hiyo. Katika fainali iliyochezwa Julai 2, 2023 Uwanja wa Azam Complex waliibuka washinda kwenye mchezo huo. Ubao wa Uwanja wa Azam Complex…

Read More

SIMBA KUMLETA MZUNGU MWINGINE, BOCCO BASI

BAADA ya uongozi wa Simba kuwa kwenye mjadala mzito juu ya kupata meneja mpya wa klabu hiyo, hatimaye Kocha Mkuu wa klabu hiyo raia wa Brazil, Roberto Olivier ‘ Robertinho’, ameutaka uongozi kutafuta meneja kutoka nje ya nchi ili kubadili mwenendo wa kikosi hicho. Kikosi cha Simba kwa sasa kipo kwenye maboresho baada ya kushuhudia…

Read More

MWAMBA ANAYETAJWA YANGA KUIBUKIA JKT TANZANIA

INAELEZWA kuwa Hassan Nassoro kiungo mshambuliaji wa Mbeya City yupo kwenye rada za JKT Tanzania kwa ajili ya kuinsa saini yake. Rasta huyo alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za mabingwa wa ligi Yanga ambao walikuwa wanahitaji saini yake. Mbali na Yanga pia Singida Big Stars nao walikuwa wanatajwa kuiwinda saini ya mwamba huyo kwa ajili…

Read More

KIVUMBI NA JASHO LEO FAINALI U 20

KIVUMBI kinatarajiwa kutimka leo Julai 2 kwa mchezo wa fainali ya Ligi ya Vijana U 20 kati ya Mtibwa Sugar dhidi ya Geita Gold. Mtibwa Sugar walifanikiwa kuingia fainali baada ya ubao wa Uwanja wa Azam Complex kusoma Mtibwa Sugar 2-1 Azam FC huku Geita Gold wao ubao ulisoma Kagera Sugar 0-2 Geita Gold. Kocha…

Read More

KAZI YA USAJILI IFANYIKE KWA UMAKINI MKUBWA

TAYARI kazi ipo wazi kwa sasa kutokana na dirisha la usajili kufunguliwa Julai Mosi na Agosti 31 dirisha la usajili linatarajiwa kufungwa. Kuanzia Championship, Ligi ya Wanawake, First League mpaka NBC League tayari wana taarifa kwamba dirisha la usajili lipo wazi. Sio Yanga, Singida Big Stars ambayo kwa sasa ni Singida Fountain Gate FC ni…

Read More

SIMBA YAPITA NA SAWADOGO MAZIMA

ISMAILI Sawadogo hatakuwa miongoni mwa nyota watakaokuwa katika kikosi cha Simba msimu wa 2023/24 baada ya kufikia makubaliano ya pande zote mbili kuachana. Nyota huyo ni shuhuda watani zao wa jadi Yanga wakitwaa ubingwa huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Kiungo huyo hakuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kutokana na kutokuwa fiti…

Read More

JEMBE LA KAZI BADO LIPO AZAM FC

MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC bado utaendelea kuwepo hapo baada ya kuongeza kandarasi ya mwaka mmoja. Ni Idris Mbombo ambaye ana uwezo wa kufunga mabao akiwa nje ya 18 ama ndani ya 18 kwa wapinzani akiwa ndani ya uwanja. Ni shuhuda timu ya Azam FC ikigotea nafasi ya tatu huku Yanga wakitwaa ubingwa…

Read More

KAIZER CHIEFS YAPATA KOCHA MPYA, NAI IMEBUMA

KLABU ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imemtangaza rasmi Molefi Ntseki kuwa ndiye kocha wao mkuu kwenye timu hiyo. Kutokana na hatua hiyo, ni wazi kwamba klabu hiyo ya Kaizer Chiefs imeamua kuachanana na mpango wake wa kumpa kazi Nassredine Nabi ambaye alikuwa kocha mkuu wa Klabu ya Yanga. Nabi alikuwa ndani ya Yanga kwa…

Read More

YANGA WANA JAMBO KUBWA LA MTIKISIKO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unakuja mtikisiko kwenye suala la usajili kutokana na mipango makini waliyonayo. Chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi msimu wa 2022/23 Yanga ilikomba mataji yote ya ndani ikiwa ni Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na Azam Sports Federation. Katika anga la kimataifa Yanga safari yao kwenye Kombe la Shirikisho…

Read More