
HUYU HAPA MKALI WAKUCHEKA NA NYAVU BONGO
KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids, Jean Ahoua ni namba moja kwa wakali wa kucheka na nyavu ndani ya ligi namba nne kwa ubora Afrika akiwa katupia mabao 12. Ushindi wa mabao 6-0 waliopata dhidi ya Dodoma Jiji, Machi 14 2025 unampa nafasi yakufikia mabao hayo kwa…