
MUHIMU KULINDANA KWA WACHEZAJI HIVYO TU BASI
MUDA mrefu ambao wachezaji wameutumia kwenye maandalizi ya msimu mpya sasa unakwenda kuonyesha matokeo yake uwanjani. Ni Ngao ya Jamii inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa timu nne kushiriki kuanzia hatua ya nusu fainali ya kwanza ambapo Yanga, Azam FC, Singida Fountain Gate na Simba hizi ni timu shiriki. Mchezo wa nusu fainali ya…