
FAINALI YA KISASI YANGA V SIMBA TANGA
FAINALI ya kisasi Yanga v Simba, Tanga Uwanja wa Mkwakwani, Agosti 13
FAINALI ya kisasi Yanga v Simba, Tanga Uwanja wa Mkwakwani, Agosti 13
HATIMAYE Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Benki ya NBC wametangaza kufanya maboresho ya mkataba wao wa udhamini wa Ligi Kuu Bara, kutoka udhamini wa awali wa miaka mitatu hadi mitano kuanzia msimu wa mwaka 2023/24 hadi mwaka 2027/2028. Ikumbukwe kuwa udhamini wa awali wa miaka mitatu ulikuwa wa thamani ya sh. Bilioni…
DILI la staa wa Brighton FC Moises Caicedo kuibukia Liverpool linaweza kubuma licha ya asilimia 99 kuwa upande wao. Nyota huyo wa Brighton alikuwa katika mazungumzo na Liverpool ambao waliweka mkwanja mrefu mezani wa euro 110 milioni. Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool aliweka wazi kuwa kila kitu kuhusu Caicedo kipo tayari ni jambo la…
KARIBU mgeni mwenyeji apone, ipo hivyo jambo ambalo wamekuja nalo Mashujaa FC kutoka Kigoma kwa kuingia anga za Simba na Yanga. Ikumbukwe kwamba Mashujaa FC ilipata nafasi ya kushiriki Ligi Kuu Bara baada ya kuifungashia virago Mbeya City kwenye mchezo wa mtoano hivyo Mbeya City itashiriki Championship msimu wa 2023/24. Ni Mashujaa Day timu hiyo…
BAADA ya kuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii, kikosi cha Yanga kimeanza mazoezi kuelekea fainali. Dakika 90 Yanga ilikamilisha Agosti 9, 2023 kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ukisoma Yanga 2-0 Azam FC. Mabao ya Yanga yalifungwa na Clement Mzize dakika ya 88 na Aziz KI dakika…
KUNA rundo la lawama wamekuwa wakiangushiwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutokana na watu wazembe ambao hufanya mambo kwa maslahi yao binafsi. Waamuzi wamekuwa kati ya wale wanaosababisha TFF kuangushiwa lawama nyingi sababu tu ya uzembe wanaofanya. Najua, imekuwa si kawaida kuwaona wadau wakiwasifia TFF kutokana na utendaji mzuri wa waamuzi, ni hadi pale wanapoharibu…
UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza kutamba mapema baada ya ratiba ya Ligi Kuu Bara kutangazwa huku wakitarajia kufungua pazia kwa kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union ya Tanga. Mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 ni Yanga waliokuwa wakinolewa na Nasreddine Nabi ambaye hatakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Mbali na Nabi…
MASHABIKI furaha yao ni kuona wachezaji wakicheza kwa umakini na kuipa ushindi timu yao ambayo wanaishangilia. Ipo hivyo hata kwa benchi la ufundi pamoja na wachezaji wenyewe wanapokuwa ndani ya uwanja. Mashabiki wa Singida Fountain Gate wanapenda kuona timu ikipata matokeo mazuri hata wale wa Kagera Sugar nao pia wanapenda kupata matokeo mazuri. Miongoni mwa…
TUMEWAFUATA hukohuko, Gamondi:Yanga bado haijachanganya ndani ya Championi Ijumaa
NI Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inasubiriwa kwa shauku kutokana na kila mmoja kushinda kigingi cha kwanza cha nusu fainali. Katika nusu fainali ya pili dakika 90 zilikuwa ni ngumu kwa nyota wote katika kucheka na nyavu kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate. Ubao umesoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate na kupeleka changamoto…
AZIZ KI mtaalamu wa mapigo huru ndani ya kikosi cha Yanga Agosti 9 akitokea benchi alitupia bao moja dhidi ya Azam FC dakika ya 84. Yanga imeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wao wa hatua ya fainali katika Ngao ya Jamii, Tanga. Huo ulikuwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii hatua ya nusu fainali alipomtungua…
KIPA namba mbili wa Simba Ally Salim yupo langoni na ameshuhudia dakika 45 za mwanzolango likiwa salama. Ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya pili Ngao ya Jamii Uwanja wa Mkwakwani Tanga. Ubao unasoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate. Mshindi wa mchezo wa leo anakwenda kukutana na mshindi wa fainali ya kwanza iliyochezwa Agosti 9.
IKIWA ni mchezo wa nusu fainali ya pili Ngao ya Jamii ni mchezo kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate. Mshindi wa mchezo wa leo Agosti 10 anakwenda kukutana na Yanga iliyotangulia kwa kupata ushindi dhidi ya Azam FC. Fainali inatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkwakwani, Agosti 13, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Langoni ni Ally…
AGOSTI 10 ni dakika 90 za nguvu kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate mchezo wa Ngao ya Jamii ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya pili. Beno Kakolanya ameanza kwa upande wa mlinda mlango ndani ya Singida Fountain Gate Kelvin Kijili, Gadiel Michael huyu amepewa kitambaa cha unahodha, Carno, Mangalo, Kagoma, Chukwu, Abuya,…
AZAM FC watakuwa mashuhuda wa fainali Agosti 13 katika mchezo wa Ngao ya Jamii baada ya kugotea hatua ya nusu fainali ya kwanza kwa kupoteza mbele ya Yanga. Licha ya kuanza kwa kasi Agosti 9 dhidi ya Yanga waliambulia maumivu kwa kupoteza mazima mchezo huo dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ilitwaa taji ya Ngao…
BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kuweka wazi kuwa wachezaji wa kigeni wa timu mbili za Singida Fountain Gate na Simba hazijawasilisha vibali vya wachezaji wa kigeni Simba imetoa taarifa nyingine. Agosti 10 mapema TFF ilitoa taarifa kuwa Klabu za Singida Fountain Gate na Simba ndio klabu pekee ambazo hazijawasilisha kibali cha mchezaji yoyote…
UONGOZI wa Chama cha Soka Ubungo (UFA) umeweka wazi kuwa kumekuwa na changamoto ya viwanja katika uendeshaji wa mashindano ya Ndondo Cup ambayo yanaendelea jijini Dar. Shida hiyo ya viwanja inawafanya wachezaji kukwama kutoa ile burudani kwa mashabiki kwa kiwango cha juu kutokana na kuhofia kupata maumivu. Ikiwa ni muendelezo wa 32 Bora ambapo timu…