SINGIDA BLACK STARS KULETA USHINDANI KITAIFA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuleta ushindani kitaifa kutokana na usajili makini waliofanya pamoja na uzi mzuri kuliko timu zote Bongo kuwa mali yao kwa msimu wa 2024/25. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems wengi hupenda kumuita Uchebe aliwahi kuifundisha Simba inayoshiriki Ligi Kuu Bara na mafanikio…

Read More

MSHINDI WA SPORTPESA KUTOKA MOROGORO ASHINDA MKWANJA MREFU

MKAZI wa Morogoro amefanikiwa kuibuka mshindi wa mkwanja mrefu baada ya kufanikiwa kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kweye Jacpot ya wiki iliyopita, Mshindi wa SportPesa Jackpot bonus pichani ni Kassim Said Liuzilo mwenye miaka 52, ambaye ni kutoka Kilombero, Morogoro. Liuzilo ameshikilia mfano wa hundi ya shilingi 10,534,628 baada ya kubashiri kwa…

Read More

MABOSI HAWA WATAKA KUWA WAMILIKI WA CHELSEA

BINGWA wa Dunia mara 7 katika mashindano ya uendeshaji wa magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1 Sir Lewis Hamilton pamoja na Bingwa namba moja katika mchezo wa tenesi kwa wanawake Serena Williams kwa pamoja wameweka kitita cha Paundi milioni 20 ili kuwa wamiliki wapya wa Klabu ya Chelsea. Wanamichezo hao maarufu wameingia ubia kwa…

Read More

RONALDINHO ANUKIA JELA ISHU YA MAPENZI

NYOTA wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil na Klabu ya Barcelona na AC Milan, Ronaldinho ameonywa kwamba anaweza kuibukia jela ikiwa atashindwa kumlipa mgawo wa mali mpenzi wake wa zamani ifikapo Desemba Mosi mwaka huu. Taarifa kutoka nchini Brazil zimeeleza kuwa nyota huyo mwenye miaka 41 ametakiwa kumaliza ishu hiyo na Priscilla Coelho…

Read More

VIDEO:HAJI MANARA KUOMBA MBINU KWA SIMBA

HAJI Manara, Mtanzania ambaye ni balozi wa Timu ya Taifa ya Burundi, leo Juni 6,2022 amesema kuwa kuelekea kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Afcon kwa timu ya Taifa ya Burundi dhidi ya Cameroon iliyo kundi C unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa,Juni 9 ni wakati wa Watanzania pamoja na Warundi kuungana kuweza kuishangilia Burundi. Pia amesema…

Read More

NDONDO CUP YAFIKA 16 BORA

BAADA ya kivumbi kutimka hatua za makundi mashindano ya Ndondo Cup hatimaye 16 bora imepatikana na inatarajiwa kuanza Agosti 12-16 na viwanja viwili vitatumika ikiwa ni Uwanja wa Kinesi na Bandari. Mashindano hayo yenye ushindani mkubwa yanaratibiwa na Chama cha Soka wilaya ya Ubungo. Katibu wa chama cha soka wilaya ya Ubungo, Hassan Bakari  amesema:”Kwa…

Read More

MAYELE AWAKIMBIZA TANZANIA PRISONS

WAKATI leo kikosi cha Tanzania Prisons ikiwa na kazi ya kuikabili Yanga,safu yake ya ushambuliaji inaonekana kuwa pasua kichwa kwenye utupiaji. Ikiwa imecheza jumla ya mechi 22 ni mabao 15 imeweza kufunga ndani ya ligi katika dakika 1,980 ikiwa na wastani wa kufunga bao moja kila baada ya dk 132. Kinara wa utupiaji wa mabao…

Read More

SIMBA WATAJA MIPANGO YAO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Kariakoo Dabi inatarajiwa kuchezwa Aprili 20 2024 ambapo Yanga walimabingwa watetezi watawakaribisha Simba. Simba imetoka kupata pointi moja dhidi ya Ihefu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Liti. Ahmed Ally, Meneja wa…

Read More

STARS YATOSHANA NGUVU NA MADAGASCAR

TIMU ya taifa ya Tanzania leo Novemba 14 imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Madagascar kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo wa leo ulikuwa ni kuhitimisha ndani ya kundi J ambapo alikuwa anatafutwa mshindi kati ya Benin na DR Congo kuweza kutinga hatua ya mtoano na mwisho ni DR Congo…

Read More

YANGA YAFICHUA SIRI YA UBINGWA CRDB FEDERATION CUP

MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa ukomavu wa wachezaji wake kwa kukubali matokeo kwenye mchezo huo yaliwapa nguvu ya kuendelea kupambana mpaka mwisho wa mchezo. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa CRDB Federation Cup wakipeta mbele ya Azam FC matajiri wa Dar ambao walikuwa kwenye nafasi nzuri ya kutwaa taji hilo…

Read More

NTIBANZOKIZA KWENYE REKODI YAKE BONGO

MSIMU wa 2022/23 Saido Ntibanzokiza alipachika mabao 17 ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni rekodi yake bora. Alitwaa tuzo ya kiungo bora msimu wa 2022/23, mfungaji bora licha ya kuwa ni kiungo mshambuliaji na jina lake lilijumuishwa kwenye kikosi bora cha msimu. Mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga naye alitupia mabao 17 na alitwaa tuzo…

Read More

ITALIA YAFUNGWA 3-1 DHIDI YA UFARANSA, ENGLAND 5-0 IRELAND

Timu ya taifa ya Italia ikiwa nyumbani katika dimba San Siro imekubali kichapo cha 3-1 dhidi ya Ufaransa kwenye mchezo wa UEFA Nations League huku Ufaransa ikivunja mwiko wa miaka 18 wa kutopata ushindi dhidi ya Italia kwenye mechi za kiushindani. FT: Italy 🇮🇹 1-3 🇫🇷 France âš½ 35’ Cambiaso âš½ 2’ Rabiot âš½ 33’…

Read More