VITA YA GAMONDI YANGA IPO HAPA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga hesabu zake kubwa kwa sasa ni kufanya vizuri kwenye mashindano makubwa matatu ambayo wanashiriki baada ya Mapinduzi 2024 kugota mwisho. Ipo wazi kuwa Yanga iligotea hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024 ubingwa ukibaki kwa mara nyingine mbele ya Mlandege waliupata ushindi wa bao 1-0 Simba kwenye mchezo wa fainali…

Read More

MAYELE ATAJA IDADI YA MABAO ANAYOTAKA KUFUNGA

FISTON Mayele, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa hesabu zake kubwa ni kuona kwamba anaweza kufunga mabao kuanzia 20 jambo ambalo litaipa timu hiyo mafanikio. Kwa sasa mshambuliaji huyo ametupia mabao mawili kwenye ligi aliwafunga KMC na Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mayele amesema kuwa anafurahi kufunga na anatarajia kufunga mabao mengi zaidi…

Read More

NEYMAR AREJEA, BRAZIL WAPETA

NEYMAR Jr amerejea kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Brazil na zali la ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Korea Kusini jambo ambalo limewaondolea hofu mashabiki wa timu hiyo ya taifa ambapo walikuwa wanadhani nyota huyo hatakuwa kwenye mechi zilizobaki baada ya kuumia. Ushindi huo unawafanya Brazil kutinga hatua ya Robo Fainali Kombe la…

Read More

SAKHO,BANDA WAMPA KIBURI PABLO KIMATAIFA

KUREJEA kwa Pape Ousmane Sakho ambaye aliumia katika mchezo dhidi ya ASEC Mimosas na kuimarika kwa kiwango cha winga Peter Banda, kumempa kiburi Kocha Mkuu wa Simba, Pablo Franco kufanya vizuri katika mchezo wa leo Jumapili dhidi ya Union Sportive Gendarmerie Nationale ya nchini Niger. Simba leo Jumapili wanatarajiwa kumenyana na Union Sportive Gendarmerie Nationale katika mchezo wa pili wa Kundi D ndani ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa kwenye Dimba la Général Seyni…

Read More

SIMBA NDANI YA GUINEA

MSAFARA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira umewasili Guinea kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Horoya. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 12 siku ya Jumamosi ikiwa ni mchezo wa kwanza wa kundi C kwa timu hizo. Msako wa pointi tatu kwa wawakilishi wa…

Read More

SUPER HELI KASINO MPYA IMEPOKELEWA VIZURI

Haya Haya ni takribani wiki imeisha tangu kutambulishwa kwa mchezo mpya wa kasino ya mtandaoni pale Meridianbet, unaitwa Super Heli kwa ripoti zilizopo mchezo huu ni miongoni mwa michezo 10 pendwa inayoongoza kwa watu kuicheza. Waliotengeneza mchezo huu ni kampuni ya Expnase studios na kisha Meridianbet ikachukua jukumu la kuuleta kiganjani kwako, na kukupa ofa…

Read More

EPL, LA LIGA, LIGUE 1 NA COPPA ITALIA MOTO UTAWAKA LEO

Kunako ligi kadhaa barani ulaya leo moto utawaka katika viwanja tofauti tofauti kwani vilabu kadhaa vitashuka dimbani kumenyana katika michezo ya mwisho mwisho ya kukamilisha ligi. Michezo hii itakayopigwa leo itawaweka wateja wa Meridianbet katika mazingira mazuri ya kupiga mkwanja katikati ya wiki, Kwani michezo yote hiyo imepewa ODDS KUBWA na bomba pale kwenye tovuti…

Read More

SABABU ZA MATOLA KUCHELEWA KUSOMA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa sababu kubwa ya yeye kuchelewa kusoma kozi ya ukocha Leseni A ya CAF anayoisomea kwa sasa ni upatikanaji wa nafasi hizo. Matola kwa sasa yupo masomoni akiendeleza ujuzi wake wa masuala ya ufundishaji ambapo gharama za malipo zinasimamiwa na waajiri wake Simba. Kocha huyo amesema:”Hizi kozi huwa…

Read More

MABINGWA WATETEZI WAREJEA DAR

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba leo Januari 27,2022 wamerejea salama Dar es Salaam. Timu ya Simba chini ya Kocha Mkuu, Pablo Franco raia wa Hispani ilikuwa Kagera ambapo ilikuwa na mchezo wa ligi uliochezwa jana Januari 26. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Kaitaba ulisoma Kagera Sugar 1-0 Simba na…

Read More

MBEYA KWANZA SIYO YA KWANZA KWA SASA

MBEYA Kwanza yenye maskani yake Mbeya kwa sasa sio ya kwanza kwa timu ambazo zina maskani yake kwenye mkoa huo wenye madhari ya kijani. Kwa sasa kwenye msimamo inaburuza mkia ikiwa imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 19. Safu ya ushambuliaji ya Mbeya Kwanza imetupia mabao 14 ikiwa imeshinda mechi 2 pekee za ligi….

Read More

HII HAPA REKODI TAMU ILIYOWEKWA NA JEMBE

NI Saleh Ally Mhariri, Mtendaji wa Global Publishers na mwandishi mahiri wa habari za michezo, ameweka rekodi ya kuwa mwandishi wa Habari wa kwanza Tanzania kuchaguliwa na FIFA kupiga kura ya kumchagua mchezaji bora wa FIFA wa Dunia. Saleh Jembe amechaguliwa na FIFA kwa mara ya tatu wiki iliyopita, katika kitengo cha waandishi wa habari….

Read More