
NI ARGENTINA YATWAA KOMBE LA DUNIA, GONZALO SHUJAA
TIMU ya Taifa ya Argentina inayoongozwa na Lionel Messi imetwaa taji la Kombe la Dunia Qatar 2022 kwa ushindi wa penalti 4=2 dhidi ya Ufaransa ya Kylian Mbappe. Ufarasa walikuwa ni mabingwa watetezi wamevuliwa taji lao leo kwenye mchezo wakukata na shoka ambao umeshuhusia hat trick kutoka kwa Mbape. Mara ya mwisho Argentina kutwaa taji…