NI USIKU MWINGINE WA KAZI KWA SIMBA

BAADA ya kumaliza mwendo kwenye kuwania Kombe la Azam Sports Federation sasa nguvu za Simba ni kwenye mechi za ligi. Ni usiku mwingine kwa kazi ya msako wa pointi tatu muhimu ndani ya ligi, Ruvu Shooting wanapambana kupata pointi tatu wacheza mchezo wa mtoano . Vinara wa ligi ni Yanga ambao wamekuwa kwenye mwendo mzuri…

Read More

WATATU HAWA HAPA KUWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA YANGA

MAJINA ya nyota watatu wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi yamepenya kuwania tuzo ya mchezaji bora. Yanga hivi karibuni iliingia ushirikiano na NIC kwa ajili ya kutoa zawadi kwa wachezaji wa timu hiyo watakaofanya vizuri ndani ya mwezi husika. Oktoba 28 vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 18 baada ya…

Read More

ALIYEWATUNGUA SIMBA KUIBUKIA IHEFU

NYOTA wa Coastal Union mwenye rekodi ya kuwatungua kwa pigo la penalti Simba msimu wa 2022/23 anatajwa kuibukia ndani ya Ihefu ya Mbeya. Ni Yanga ambao ni mabingwa hawajafungwa kwa penalti kwa kuwa katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar Djigui Diarra wa Yanga aliokoa hatari hiyo. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mabao 17 iliyofungwa ni bao…

Read More

MZEE WA BOLI ITEMBEE NA DAKIKA 270 ZA MOTO

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba katika mechi tatu ambazo ni dakika 270 ameshuhudia timu hiyo ikiambulia sare moja, ikishinda mechi mbili. Ni dakika za moto uwanjani kutokana na wachezaji wa kikosi cha kwanza kutokuwa fiti ikiwa ni pamoja na Kibu Dennis aliyepata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Namungo, Henock Inonga ambaye ni beki alipata…

Read More

MOLOKO AREJEA NA HESABU ZA UBINGWA

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka taji la ligi kuu msimu huu. Moloko ambaye ameanza mazoezi na timu hiyo, anadai kuwa alikuwa anajisikia vibaya kuwa nje ya timu kwa sababu ya majeraha kwa kuwa mara zote amekuwa na kiu ya kutaka…

Read More

YANGA HAWANA JAMBO DOGO BALAA LAO LINAENDELEA

NYOTA kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast, Pacome Zouzoua ni mali ya Yanga. Nyota huyo ametambulishwa kuwa ni njano na kijani Julai 19,2023. NI miongoni mwa nyota wa Yanga wanaotarajiwa kuonyesha makeke kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Kaizer Chiefs. Itakuwa Wiki ya Mwananchi Julai 22 2023 Uwanja wa Mkapa ikiwa ni siku…

Read More

CHELSEA WAMEKIWASHA HUKO

CHELSEA ni kicheko mwanzo mwisho baada ya kushuhudia ubao ukisoma Chelsea 6-0 Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Mabao ya Cole Palmer aliyekuwa katika ubora wake na alitupia mabao manne ilikuwa dakika ya 13, 18, 29, 64 kwa mkwaju wa penalti. Nicolas Jackson alitupia bao moja dakika ya 44 sawa na Alfie Gilchrist dakika…

Read More

AZAM FC KWENYE KIGINGI KINGINE TENA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC ni bandika bandua ugenini kwenye msako wa pointi sita muhimu katika mechi za Ligi Kuu Bara. Kete ya kwanza ugenini kwa Azam FC ilikuwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na kete ya pili ni Tanga dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani. Mchezo wa kwanza walitoshana nguvu kwa kugawana…

Read More

GERRAD:KLOPP ANASTAHILI KUKAA KWA MUDA LIVERPOOL

STEVEN Gerrard, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa Jurgen Klopp anastahili kuendelea kukaa ndani ya Liverpool kwa miaka mingi kwani amefanya mambo makubwa. Klopp bado yupo ndani ya Liverpool mpaka 2026 baada ya kuongeza kandarasi ya miaka miwili. Mkataba wake wa awali ulikuwa unatarajiwa kumeguka mwaka 2024 hivyo bado yupoyupo sana ndani ya timu…

Read More

AMEACHA BALAA HUKO CAF PACOME/MUDA

MWAMBA Pacome katika Ligi ya Mabingwa Afrika ameacha balaa huku wapinzani wao Medeama wakiwa wamefungwa mabao mawili na nyota huyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel kibindoni ina pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katika kundi D

Read More