ISHU YA MAKAMBO KUSUGUA BENCHI YAMEIBUKA HAYA

BAADA ya Mshambuliaji wa Yanga, Heritier Makambo kushindwa kuanza katika mchezo hata mmoja kikosini hapo msimu huu, kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi ameweka wazi sababu za nyota huyo kushindwa kupenya kikosi cha kwanza. Makambo tangu atue Yanga msimu huu, ameshindwa kupenya katika kikosi cha kwanza katika michezo mitano ya ligi kuu, huku akimuacha Fiston Mayele akitamba. Akizungumza na Spoti Xtra, Kocha Nabi alisema sababu kubwa ya Makambo kushindwa kucheza ni kutokana…

Read More

MDAKA MISHALE KARUDI, DUBE NDANI

KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra amerejea langoni hivyo ataanza mbele ya Singida Black Stars kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, New Amaan Complex kwa wababe wawili kuwa uwanjani kusaka pointi tatu. Miguel Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ameanza na Dennis Nkane ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kuanza kikosi cha kwanza, Boka, Bakari…

Read More

MKALI WA MAPIGO HURU KAMILI KUMVAA MNYAMA

MKALI wa mapigo huru ndani ya Ligi ya Wanawake Tanzania, Joele Bukuru aliyekuwa akicheza kikosi cha Simba Queens yupo tayari kwa kazi akiwa na timu yake mpya ya Singida Fountain Gate. Ipo wazi kwamba kiungo huyo alipokuwa ndani ya kikosi cha Simba Queens alikuwa akipewa majukumu ya mapigo huru ikiwa ni faulo, kona kaanza mazoezi…

Read More

MBWANA SAMATTA AHESHIMIWE, KAZI YAKE NI KUBWA

“UKIKUBALI ujinga upewe nafasi werevu utapotea mithili ya moshi angani.” Kauli hii alikuwa anapenda kuitumia Mwalimu Dkt. Thadei Mwereke pale Chuo Kikuu cha Kampala ambapo niliwahi kusoma pale. Hii inamaanisha kwamba kamwe tusiruhusu ujinga kupenya kwenye dunia ya werevu. Mbwana Samatta moja ya tunu na fahari ya taifa letu bahati mbaya sana amejikuta kwenye dunia…

Read More

KAMBI YA YANGA RAMANI INACHORWA HIVI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa wanafanya vikao kuweza kujadili wapi wataweka kambi kwa msimu wa 2022/23. Awali mpango namba moja wa Yanga kuweka kambi ulipaswa kuwa nchini Uturuki lakini umeyeyuka ghafla kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni muda kuwa mdogo. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Yanga,Hassan Bumbuli ameweka wazi kuwa kambi…

Read More

NAMNA YANGA NA SIMBA WALIYVOWAPA MKWANJA TFF

 KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania imetoa adhabu baada ya kupitia matukio ambayo yalikuwa kwenye mechi zilizochezwa hivi karibuni. Hii ni kwenye Ligi Kuu Bara, Championship na kuna timu ambazo zilikutwa na hatia kisha zikapigwa adhabu kutokana na makossa ambayo waliyafanya. Ripoti inaonyesha kwamba Yanga imepigwa faini y ash.2,000,000 kwa…

Read More

FURAHIA MWAKA MPYA NA MKWANJA WA KUTOKA SHINDANO LA EXPANSE

Unaweza kuufungua mwaka kibabe kabisa kwa kushinda kitita cha milioni moja kupitia shindano la Expanse linalohusisha michezo ya kasino, Cheza michezo ya kasino ya Expanse kupitia Meridianbet uweze kuufungua mwaka shangwe. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili…

Read More

M-BET YAMWAGA MAMILIONI WASHINDI WAWILI, YAITAKIA KHERI SIMBA

KAMPUNI ya mchezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania imewazawadia washindi wawili kila mmoja Sh175.3 millioni baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12. Washindi hao ni Mesharam Bakunda na Abdallah Segatwa ambao walizawadiwa fedha zao katika hafla fupi iliyofanyika makao makuu ya kampuni ya M-BET Tanzania jijini Dar…

Read More

MASHUJAA SIO KINYONGE WATUMA UJUMBE SIMBA

WAPINZANI wa Simba kwenye mchezo wa leo Uwanja wa Lake Tanganyika, Mashujaa wamegomea unyonge mbele ya Mnyama kwa kubainisha kwamba wamefanya maandalizi mazuri kuwakabili. Ipo wazi kwamba baada ya kumaliza ngwe ya kimataifa Simba ikigotea hatua ya robo fainali ina kazi kwenye mashindano ya ndani ambayo ni Ligi Kuu Bara pamoja na CRDB Federation Cup….

Read More

SUAREZ: INAUMA KUSEMA KWAHERI KOMBE LA DUNIA

STAA wa Timu ya Taifa ya Uruguay, Luis Suarez amesema kuwa inauma kusema kwaheri Kombe la Dunia. Nyota huyo hakuwa na chaguo baada ya timu hiyo kuondolewa mazima kwenye hatua ya makundi licha ya kupata ushindi kwenye mchezo wa mwisho. Uruguay waliinyoosha mabao 2-0 Ghana kwenye mchezo wa makundi na kukusanya pointi tatu lakini walikwama…

Read More