MUDA WA MALENGO KUANZA KUWA WAZI NI SASA

KUJENGA wazo la kuanza nalo mwanzo ni muhimu kwa kuwa litatoa picha kamili ya kile ambacho utakifanyia kazi wakati ujao. Hilo ni muhimu ikitokea wazo litakuwa la kawaida hata matokeo pia yatakuwa ya kawaida lakini kama wazo litakuwa kubwa ambalo linakuogopesha litaleta matokeo mazuri. Kila mmoja kwa sasa yupo kwenye mipango ya kujenga timu kwa…

Read More

JEMBE JIPYA LA YANGA LINA BALAA HILO

NI Mahlatse Manoka Makudubela ni nyota mwenye uwezo mkubwa akiwa ndani ya uwanja kutokana na kumiliki, kutoa pasi na chenga za kukera atakuwa Jangwani. Huyu ndiye atakayepewa namba sita ndani ya kikosi cha Yanga. Ikumbukwe kwamba jezi hiyo ilikuwa mikononi mwa Feisal Salum ambaye yeye msimu ujao hatakuwa ndani ya Yanga bali Azam FC. Nyota…

Read More

MASTAA WA UNYAMANI WAMEANZA KAZI UTURUKI

MASTAA wa kikosi cha Simba ambao wamejiunga na timu hiyo Julai 18 wameanza mazoezi na wachezaji wengine waliotangulia. Chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kikosi hicho kimeanza maandalizi ikiwa ni kwa ajili ya msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba ni Yanga walitwaa ubingwa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Ni Che Malone Fondoh,…

Read More

ALIYEWATUNGUA SIMBA KUIBUKIA IHEFU

NYOTA wa Coastal Union mwenye rekodi ya kuwatungua kwa pigo la penalti Simba msimu wa 2022/23 anatajwa kuibukia ndani ya Ihefu ya Mbeya. Ni Yanga ambao ni mabingwa hawajafungwa kwa penalti kwa kuwa katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar Djigui Diarra wa Yanga aliokoa hatari hiyo. Ikumbukwe kwamba Simba kwenye mabao 17 iliyofungwa ni bao…

Read More

KOCHA YANGA ATAMBULISHWA KWENYE TIMU MPYA

NI rasmi Nasreddine Nabi (57) aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametangazwa kuwa kocha wa mabingwa wa Morocco AS FAR Rabat. Ni mkataba wa miaka miwili amesaini kwa ajili ya kuwatumikia mabingwa hao wa Morocco. Nasreddine Nabi ambaye ni raia huyo wa Tunisia alitangazwa kuachana rasmi na Yanga mwishoni mwa msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa…

Read More

SAMATTA KWENYE CHANGAMOTO MPYA

MSHAMBULIAJI Mbwana Samatta ambaye akipata nafasi ya kuitwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars hupewa kitambaa cha unahodha ameweka wazi kuwa ana furahi kuanza kupata changamoto mpya. Nyota huyo atakuwa ndani ya Paok kwa ajili ya kupata changamoto mpya ndani ya msimu wa 2023/24. “Hello Paok ninafurahi kuwa hapa nina amini kwamba tutafanya kazi…

Read More

KIPA HUYU WA KAZI KWENYE RADA ZA SIMBA

INAELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa wa kimataifa kuungana na timu hiyo ambayo imeweka kambi Uturuki. Yanga mlinda mlango namba ni raia wa Mali ambaye anaitwa Djigui Diarra hivyo Simba ikipata saini yake anakwenda kuwa namba mbili. Namba moja kwa Simba ni mzawa Manula tofauti na Yanga ambapo namba moja…

Read More

HUYU HAPA KOCHA MPYA YANGA

Taibi Lagrouni ametambulishwa kuwa kocha wa mazoezi ya viungo ndani ya kikosi cha Yanga ambacho kimeanza maandalizi kuelekea msimu mpya wa 2023/24. Ni AVIC Kigamboni illipo kambi ya timu hiyo ya Yanga inayonolewa na Miguel Gamondi mrithi wa mikoba ya Nasreddine Nabi raia wa Tunisia. Yanga ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara baada ya…

Read More

MASHINE NNE ZA SIMBA KUIBUKIA UTURUKI

CLATOUS Chama kiungo wa Simba anatarajiwa kuibukia Uturuki kuungana na wachezaji wenzake baada ya kukamilisha mazungumzo na timu hiyo. Chama kinara wa pasi za mwisho msimu wa 2022/23 akiwa ametoa 14 alikuwa anatajwa kuwa kwenye hesabu za Yanga. Hakuwa kwenye msafara wa awali uliokwea pipa kuibukia Uturuki kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2023/24…

Read More

MORRISON, BANGALA WATAJWA SINGIDA FOUNTAIN GATE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umesema kuwa wanatamani kuwa na kiungo Mkongomani Yannick Bangala na Mghana Bernard Morrison kwa ajili ya msimu ujao huku ukipanga kuweka wazi kila kitu hivi karibuni. Wachezaji hao wanahusishwa kutua Singida Fountain Gate kwa ajili ya msimu ujao ambao wanacheza Kombe la Shirikisho Afrika. Yanga tayari imetangaza kuachana na Morrison…

Read More

ONYANGO KUANDALIWA UTAMBULISHO MAALUMU

UONGOZI wa Singida Fountian Gate umeweka wazi kuwa unaandaa utambulisho rasmi kwa nyota wao wote wapya ikiwa ni pamoja na Joash Onyango. Timu hiyo imeanza maandalizi kuelekea msimu wa 2023/24 na inatarajia kuweka kambi Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya. Miongoni mwa wachezaji ambao wamesajiliwa na Singida Fountain Gate ni pamoja na Yahya…

Read More

SABABU ZA KOCHA MPYA KMC ZATAJWA

UONGOZI wa KMC umebainisha kuwa ujana ni moja ya sababu zilizompa kazi Abdi Hamid Moallini ambaye ametambulishwa kuwa kocha mpya wa KMC rasmi Julai 12 2023. Mstahiki Meya ya Kinondoni, Songoro Mnyonge Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya KMC amesema kuwa miongoni mwa vigezo vilivyowafanya wakamchagua kocha huyo ni pamoja na ujana. KMC ni mashuhuda…

Read More