AZIZ KI: SINA MATARAJIO YA KUONDOKA YANGA KWA SASA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI baada ya timu yake kutolewa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Mamelodi Sundowns kwa mikwaju ya penalti hatua ya robo fainali, ameandika katika ukurasa wake wa Instagram ujumbe wa kuwashukuru mashabiki kwa kuwa nao pamoja kwenye safari ya michuano hiyo msimu huu 2023/2024. KI ameandika; “Tumeonyesha…

Read More

YANGA KUWAFUATA RIVERS UNITED KAMILIKAMILI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa hatua a robo fainali dhidi ya Rivers United ambao ni wa Kombe la Shirikisho Afrika. Ni mchezo wa hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya timu hiyo kutinga wakiwa ni vnara wa kundi. Ally Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…

Read More

NAMNA MWAMBA PACOME ALIVYOWAVURUGA WAARABU

MWAMBA Pacome Zouzoa kiungo wa Yanga aliwavuruga Waarabu wa Algeria CR Belouizdad kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutokana na kasi yake na pasi za uhakika akitumia zaidi mguu wake wa kulia. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 4-0 CR Belouizdad katika mchezo…

Read More

JKT TANZANIA WAPIGWA NA SINGIDA BLACK STARS NYUMBANI

Jonathan Sowah amefunga bao lake la pili la msimu kwenye mechi yake ya pili kwenye Ligi Kuu bara akiiandikia Singida Black Stars bao la ushindi katika Dimba la Meja Jenerali Isamuyo dhidi Maafande wa JKT Tanzania ambao waliikazia Yanga Sc kwenye mchezo uliopita na kuondoka na alama moja kwenye dimba hilo. Singida Black Stars wanaendelea…

Read More

AZAM FC YAITULIZA MTIBWA SUGAR JUMLAJUMLA

AZAM FC usiku wa kuamkia leo Desemba Mosi wameitungua Mtibwa Sugar bao 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Ushindi kwa Azam FC unaipa mwendo mgumu Mtibwa Sugar kwa kuwa haijui ladha ya ushindi mpaka sasa baada ya kucheza mechi saba na kibindoni ina pointi zake mbili. Ni bao la…

Read More

HATOKI MTU KWA MKAPA IENDE KWA VITENDO

UNAAMBIWA mtu kwao hilo lipo kwenye mechi za kimataifa hasa kwa soka letu la Afrika ambalo linakwenda kwa namna ambavyo linataka lenyewe. Ipo hivyo wewe kubali kata unaona namna ilivyokuwa kwa Simba walishinda kwa mabao 3-1 dhidi ya ASEC Uwanja wa Mkapa walipowafuata ugenini wakachapwa mabao 3-0. Tena ni kwamba hapo ASEC walikuwa nje ya…

Read More

Wiki ya Mabingwa Odds kubwa Meridianbet

Hatua ya Robo fainali ya UCL itaanza leo tena kwenye viwanja tofauti Ulaya, ni mechi mbili Man City vs Bayern Munich na Benfica Vs Inter Milan. Meridianbet inakuhakikishia unapata Odds kubwa na machaguo Zaidi ya 1000+ Tembelea www.meridianbet.co.tz kubashiri soka na kucheza kasino ya mtandaoni. Odds kubwa za Jumanne ya Mabingwa Ni vita vya mbinu…

Read More

RANGNICK AWAVAA MASTAA WAKE

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amewachana mastaa wa timu hiyo kwa kuwaambia kwamba wanatakiwa kuongeza umakini. Juzi Manchester United walikosa nafasi nyingi za wazi kwenye mchezo wa  Ligi Kuu England uliochezwa Uwanja wa Old Trafford ilikuwa ni Februari 26,2022 na waligawana pointi mojamoja. Wakiwa wamecheza mechi 6, Uwanja wa Old Trafford ni mabao…

Read More

MWENDO WA POLISI TANZANIA UNAFIKIRISHA

MWENDO wake kwa msimu wa 2022/23 wa Polisi Tanzania sio wa ligwaride songa mbele bali ni ligwaride rudi nyuma ikiwa unafikirisha kwelikweli. Januari 14 ikiwa ugenini, ubao wa Uwanja wa Majaliwa ulisoma Namungo 0-2 Polisi Tanzania na walikamilisha dakika 90 wakiwa pungufu. Kwenye mchezo huo mchezaji wao mmoja alionyeshwa kadi nyekundu wakati wakiongoza bao moja…

Read More