KARIAKOO DABI HII HAPA, RATIBA NGAO YA JAMII

BURUDANI ya Ligi Kuu Bara ipo njinai kurejea baada ya ratiba ya mechi za ufunguzi kutolewa hivyo ni muda wa kila mmoja kutambua kipi ambacho atavuna kwa msimu mpya wa 2024/25. Ni Agosti 8 2024 ambapo wababe wawili  Simba na Yanga watakutana hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Uwanja wa Mkapa. Ikumbukwe kwamba…

Read More

SIMBA KAZI IPO HUKO, KOCHA KUANZA NA HILI

FADLU Davids Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kuwaandaa wachezaji kuwa tayari kwa ushindi kwenye mechi zao za ushindani zijazo. Kuelekea msimu wa 2024/25 Simba imeweka kambi Misri ikiwa na wachezaji kama Mzamiru Yassin, Zimbwe, Ally Salim na ligi inatarajiwa kuanza Agosti 16 2024 huku mabingwa wakiwa ni Yanga…

Read More

YANGA HAO AFRIKA KUSINI

UONGOZI wa Yanga umebainisha kwamba utakwenda Afrika Kusini kwa ajili ya mwendelezo wa maandalizi ya msimu wa 2024/25 wakiwa wamealikwa kutokana na thamani ya timu hiyo kupanda. Chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi, Yanga msimu wa 2023/24 iliweka kambi Bongo na ikafanikiwa kutwaa taji la ligi ikimaliza msimu ikiwa na pointi 80 baada ya kucheza…

Read More

YANGA KUMALIZANA NA MSHAMBULIAJI HUYU

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kuna wachezaji ambao watatambulishwa ndani ya kikosi hicho wakiwa na uwezo mkubwa jambo litakaloongeza nguvu kuelekea msimu wa 2024/25. Yanga inanolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi msimu wa 2023/24 safu ya ushambuliaji ilifunga jumla ya mabao 71 na kinara alikuwa ni Aziz Ki aliyefunga mabao 21. Kwa upande wa maingizo…

Read More

SIMBA KAZI INAENDELEA, MAELEKEZO KUFUATWA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba kazi inaendelea kwa kuendelea na mazoezi kambini kuelekea msimu wa 2024/25. Msimu wa 2023/24 Simba iligotea nafasi ya tatu ikiwa na pointi 69 baada ya kucheza mechi 30 ina kibarua cha kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Beki wa kati Che Malone amesema kuwa…

Read More

MASHINE ZAZIDI KUTUA YANGA

MASHINE za kazi zimezidi kutua ndani ya Yanga ikiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya kutwaa taji la ligi kwa msimu wa 2023/24 na walimaliza wakiwa namba moja kwenye msimamo na pointi 80….

Read More

MIFUGO FC MABINGWA LIGI 2024

TIMU ya Mifugo FC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Ngende Cup 2024, kwa ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Mungurumo FC katika mchezo uliochezwa Uwanja wa michezo wa Halmashauri ya Wilaya Liwale mkoani Lindi. Mchezo huo ambao ulikuwa na mashabiki wengi kutoka viunga vya Liwale uliochezwa Wikiendi hii ulianza kwa kasi kwa kila timu…

Read More

SEN KUJENGA UWANJA MWINGINE SIMBA

MPANGO mkubwa wa Simba kwa sasa ni kuendelea kuwa bora kwa kuboresha mazingira ya wachezaji ikiwa ni pamoja na sehemu ya kufanyia mazoezi. Julai 14 2024 Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji alikutana na kufanya mazungumzo na Simba Executive Network (SEN). SEN ni mtandao wa mashabiki wa Simba ambao huchangia ada ya…

Read More

SIMBA WAPO KAMILI GADO KWA KAZI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wapo kamili gado kwa ajili ya msimu mpya wa 2024/25 unaotarajiwa kuanza kati ya Agosti. Ipo wazi kuwa msimu wa 2024/25 Simba iligotea nafasi ya tatu kwenye msimamo huku nafasi ya pili ikiwa mikononi mwa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo. Kwa sasa Simba…

Read More