KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA PAMBA JIJI

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Pamba, Uwanja wa CCM Kirumba ambapo ingizo jipya ndani ya kikosi hicho kwenye dirisha dogo limeanzia benchi na walioanza kikosi cha kwanza ni Djigui Diarra, Israel Mwenda, Boka, Nondo. Ibrahim Bacca, Khalid Aucho, Duke Abuya, Mudathir Yahya washambuliaji wawili Prince Dube na Clement Mzize kiungo Maxi ameanza kikosi…

Read More

WATATU SIMBA OUT, MTIKISIKO MKUBWA

NYOTA watatu wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids watakosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Coastal Union unaotarajiwa kuchezwa  Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Machi Mosi 2025 ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili. Kwenye msimamo Simba ni namba mbili baada ya mechi 20 imekusanya pointi 51 itakuwa na kibarua cha…

Read More

BALAA LA FEI NI ZITO KINOMANOMA

BALAA la kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ndani ya ligi namba nne kwa ubora ni nzito kinomanoma kutokana na mwendelezo wake kuwa imara katika upande wa pasi za mwisho msimu wa 2024/25. Timu hiyo kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu baada ya kucheza mechi 22 ikiwa imekusanya jumla ya pointi 45 na safu ya…

Read More

SIMBA YAWAFUATA COASTAL UNION KAMILI

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kimekwea pipa kuelekea Arusha kwa maandalizi ya mwisho kuikabili Coastal Union wakiwa kamili gado kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ipo wazi kwamba mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 2-2 Coastal wakigawana pointi…

Read More

AZAM FC WABANWA MBAVU AZAM COMPLEX

WAUAJI wa Kusini, Namungo wamesepa na pointi moja Azam Complex ubao uliposoma Azam FC 1-1 Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa mwanzo mwisho katika kuvuja jasho dakika 90. Bao la mapema kwa Namungo lilifungwa na Hamis Halifa dakika ya 12 akiwa nje ya 18 akitumia pasi kutoka kwe Legend,…

Read More

YANGA WANAKIMBIZA KILA KONA BONGO

YANGA hawacheki na wowote huko ni spidi ndefu kila kona kutokana na rekodi ambazo zinaandikwa na wachezaji wao uwanjani katika eneo la kufunga na kutoa pasi za mabao, iwe wameanza kikosi cha kwanza ama wameanzia benchi. Mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika, Februari 23 2025 baada ya dakika 90 ubao ukasoma Mashujaa…

Read More

HUYU HAPA ALIHUSIKA KUWANYIMA USHINDI SIMBA MZIZIMA

PASCAL Msindo kwa asilimia 80 aliwanyima ushindi Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara Februari 24 2025 kwenye Mzizima Dabi kutokana na kutimiza majukumu yake kwa umakini asilimia 100. Utulivu kwenye miguu yake ulikuwa ukiwavuruga mabeki wote wa Simba ambao ni watengeneza mipango namba moja kwa kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Alikuwa…

Read More

EARLY PAYOUT KUMWAGA MIHELA LEO

Early payout kwasasa ndio mchongo mpya ambao Meridianbet wamekuja nao ambapo kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa usiku wa leo itakuwezesha kushinda mamilioni leo. Mabingwa wa michezo ya kubashiri Meridianbet wamekujia na chaguo linaloitwa Early payout ambapo unaweza kushinda mkeka pale tu timu zoako ulizochagua zitaongoza kwa tofauti ya magoli mawili, Mfano leo Bayern Munich…

Read More

MERIDIANBET YAPANDA MITI MBEZI JUU

Katika kuendelea kuhakikisha kuwa mazingira yanazidi kuwa bora zaidi, Meridianbet iliamua kurejesha kwa namna ya pekee ambapo safari hii wameamua kupanda miti Mbezi Juu. Meridianbet, kampuni inayoongoza katika sekta ya kubashiri na michezo, imeendelea kuonyesha uwajibikaji wake kwa jamii kwa kuanzisha na kuongoza zoezi la upandaji miti katika Kata ya Mbezi Juu, Dar es Salaam….

Read More

SHINDA MKWANJA KUPITIA LIGI MBALIMBALI LEO

Kupitia ligi mbalimbali ambazo zitakua zinachezwa leo zikiongozwa na ile ligi pendwa duniani pale nchini Uingereza kutakua na michezo ya kutosha ambayo itatoa fursa kubwa ya kupiga mkwanja kupitia Meridianbet leo. Licha ya kuweza kubashiri na kupiga mkwanja lakini pia Meridianbet wanakupa fursa ya mkeka wako mapema kupitia chaguo la Early payout, Bashiri michezo mbalimbali…

Read More