
HAPA NDIPO TATIZO LA SIMBA LILIPO KURUHUSU
HAPA ndipo tatizo la nyota wa kikosi cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira lilipo
HAPA ndipo tatizo la nyota wa kikosi cha Simba chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira lilipo
Chukulia upo kwenye msitu mkubwa wenye wanyamapori na utajiri wa madini kama dhahabu, kisha unapewa nafasi ya kuchagua kimoja kati ya dhahabu na ushindi wa pesa utaenda na kipi? basi ni sloti ya Bounty Hunters inakuja na mandhari ya mwituni inayokupa nafasi ya kuusaka ushindi kupitia kasino ya mtandaoni. Sloti ya Bounty Hunters ina mfumo…
KIVUMBI tupu ndani ya tatu bora ya ufungaji kutokana na mastaa waliopo hapo kuwa na rekodi zao zinazovutia namna wanavyofunga na kukamilisha majukumu yao. Ni Aziz KI wa Yanga huyu ni namba moja kwenye utupiaji akiwa na mabao sita, Jean Baleke yupo zake ndani ya Simba mabao matano na Feisal Salum, (Fei Toto) yupo Azam…
KIVUMBI cha Championship kinatarajiwa kuendelea kwa wakongwe kazini Pan African watakapowakaribisha FGA Talents. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru, Oktoba 28 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Nyasi za Uwanja wa Uhuru zitakuwa kwenye kazi saa 10:00 jioni kwa wanaume hao 22 uwanjani kusaka ushindi kwa jasho. Mchezo wao uliopita ilikuwa ni Oktoba 21…
NI Gadiel Michael ndani ya Singida Foutain Gate ana balaa kutoka na uwezo wake wa kupandisha mashambulizi na kulinda pia. Sio hivyo tu uzoefu alioupata ndani ya Simba na Yanga unazidi kumpa nguvu ya kuonyesha makeke yake. Ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Ricardo Ferreira wa Singida Foutain Gate huenda akaanza pia mbele ya…
SIO kila vita ni yakushinda unaambiwa hivyo lakini kuna wakali wa kazi wanaoonyesha utofauti kwenye kufanya kile ndani ya uwanjani. Katika kikosi cha Simba kuna jamaa anaitwa Fabrice Ngoma ana balaa akiwa uwanjani kwenye pasi fupi na defu ambazo ni elekezi pamoja na uwezo wa mipira ile ya juu. Tupo naye kwenye mwendo wa data…
UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa, umetumia mchezo wa Simba kuwasoma wapinzani wao, Al Ahly ambao watakutana katika michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Yanga na Al Ahly wapo Kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu sambamba na timu za CR Beluoizdad ya Algeria na Madeama kutoka Ghana. Katika michezo miwili ambayo…
TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesukumizwa nje ya michuano ya African Football League kufuatia kipigo cha jumla cha 3-1 dhidi ya vigogo wa Tunisia, Esperance de Tunis. FT: ESPERANCE 3-0 TP MAZEMBE (Agg. 3-1) 45’—⚽️ Oussema Bouguerra 76’—⚽️ Oussema Bouguerra 86’—⚽️ Mohamed Tougai Mazembe ilishinda 1-0 katika mchezo wa mkondo wa kwanza…
Habari mteja wa Meridianbet baada ya siku hizi mbili kushuhudia mitanange ya ligi ya Mabingwa, sasa ni zamu ya ligi ya Konferensi ambapo kila kitu umeshawekewa. Ingia www.meridnabet.co.tz na uanze kubashiri sasa. HSK Zrinjski Mostar atakiwasha dhidi ya Legia Warszawa huku wote wakiwa wamefungana pointi wakiwa nazo 3. Leo kila timu inahitaji ushindi iongoze kundi….
HABARI njema kwa mashabiki wa Yanga, kuwa beki wa kazi wa timu hiyo raia wa Ivory Coast, Yao Kouassi Attohoula, amepona majeraha na yupo tayari kwa mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate utakaochezwa kesho Ijumaa. Mbali na Yao, pia kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Farid Mussa, naye amerejea kikosini baada…
Europa league kurudi viwanjani usiku wa leo, huku kukiwa na hamasa kubwa nje na ya uwanja na ndani ya uwanja ili kuhakikisha kila timu inafanikiwa kupata alama tatu muhimu, Meridianbet ina mzigo wa kutosha wa kuweza kukufanya umalize siku yako vizuri ni wewe tu kuchagua ni timu gani uweke bashiri yako. Mechi zote za 30…
Unapoicheza ndivyo utamu unavyozidi kuwa mwingi, mchezo mzuri na wenye mandhari ya sinema za Mazombie unakupa uhuru wa kujitafuta mara tu unapouanza kuucheza, furahia ushindi mwingi unapoingia kasino ya mtandaoni na kisha kuchagua mchezo wa Zombie Apocalypse. Hatua za Ushindi Kasino ya Mtandaoni Zombie Apocalypse una mistari 20 ya malipo, ushindi wote hulipwa kutoka kushoto…
KATIKA mechi tano mfululizo walizocheza Simba hawajaambulia clean sheet, (kucheza bila kuruhusu bao) zaidi ya kutunguliwa mabao sita. Makosa yapo katika eneo la kiungo anapocheza Mzamiru Yassin, Fabricne Ngoma, beki anapocheza Henock Inonga, Che Malone, mlinda mlango Ally Salim, Ayoub Lakred. Ni Ally Salim kosa lake kubwa ni katika kupangua mipira langoni mwake mingi inaishia…
BAADA ya kuambulia kichapo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, matajiri wa Dar Azam FC wameanza maandalizi. Ni Mzizima Dabi ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 3-2 Azam FC ambapo Aziz Ki aliandika rekodi ya kufunga hat trick katika mchezo huo. Mabao ya Azam FC inayonolewa na Yusuph Dabo yalifungwa na…
DICKSON Job beki bora wa msimu wa 2022/23 bado anaonyesha thamani yake uwanjani kuwa ni chuma cha kazi kutokana na kuwa ni chaguo la kwanza la Miguel Gamondi. Job anayekipiga ndani ya kikosi cha Yanga ni shuhuda timu hiyo ikikomba pointi tatu mazima dhidi ya Azam FC kwenye Mzizima Dabi kwa mabao ya Aziz KI…
WAKIWA Uwanja wa Jamhuri, Dodoma walikuwa mashuhuda wakibaki na pointi tatu mazima baada ya dakika 90. Ubao ulisoma Dodoma Jiji 1-0 Kagera Sugar iliyokuwa inazisaka pointi tatu pia. Bao la ushindi ni mali ya Cristian Nzigah aliyepachika bao hilo dakika ya 40 lilidumu mpaka mwisho wa mchezo huo. Ikumbukwe kwamba Kagera Sugar ilitoka kukomba pointi…