AZAM FC KWENYE KIGINGI KINGINE TENA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC ni bandika bandua ugenini kwenye msako wa pointi sita muhimu katika mechi za Ligi Kuu Bara. Kete ya kwanza ugenini kwa Azam FC ilikuwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na kete ya pili ni Tanga dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani. Mchezo wa kwanza walitoshana nguvu kwa kugawana…

Read More

YANGA KAMILI KUWAVAA SINGIDA FOUNTAIN GATE, SPORTPESA DABI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni SportPesa Dabi itakuwa kwa wababe hao wote wawili mzunguko wa pili wakiwa wanadhaminiwa na Kampuni ya SportPesa. Gamondi amebainisha kuwa wanatambua ugumu uliopo kutokana na kuwa na…

Read More

KOCHA JULIO KAANZA MIKWARA

KOCHA Mkuu wa KMC, Jamhuri Kihwelo, ‘Julio’ ameanza mikwara kwa kubainisha kuwa kinachotazamwa kwenye ligi ni namna ya kumaliza. Mbele ya Singida Big Stars inayonolewa na Hans Pluijm ilisepa na pointi tatu mazima. Ikumbukwe kwamba mchezo wake wa pili kukaa benchi akiwa na KMC baada ya kubeba mikoba ya Thiery Hitimana  amesepa na pointi tatu….

Read More

YANGA WANA BALAA HAO, AZIZI KI HASHIKIKI

NDANI ya Ligi Kuu Bara Yanga wana balaa kwenye msako wa pointi tatu huku nyota wao Aziz KI akiwa hashikiki kwenye kucheka na nyavu. Kasi yake imekuwa katika ubora ambapo alitoka kufunga mabao mawili kwenye mchezo uliopita dhidi ya Mtibwa Sugar na Desemba 23 alifunga tena bao moja pekee ambalo liliipa pointi tatu muhimu Yanga….

Read More

ATLETICO YAFUZU UEFA, SUAREZ HAAMINI

ATLETICO Madrid imefanikiwa kufuzu kwenda hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Porto huku staa wake Luis Suarez akiwa haamini anachokiona na kumwaga machozi baada ya kuumia na kutolewa uwanjani. Atletico ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao hayo 3-1 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Do…

Read More

YANGA YAFUNGIWA NA FIFA KUSAJILI, KISA HIKI HAPA

KLABU ya Yanga imefungiwa kusajili mpaka itakapomlipa aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo Lazarus Kambole. Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imeeleza kuwa uamuzi huo umefanywa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu, (FIFA) baada ya mchezaji huyo kushinda kesi ya madai dhidi ya klabu hiyo. Yanga ilitakiwa iwe imemlipa ndani ya siku…

Read More

WAARABU WAKOMAA A FISTON MAYELE

LICHA ya kupoteza mchezo wa kwanza wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika Jumapili Mei 28,2023 ubao wa Uwanja wa Mkapa uliposoma Yanga 1-2 USM Alger, jina la mshambuliaji Fiston Mayele lipo mikononi mwa Waarabu. Juni 3,2023 mchezo wa fainali ya pili unatarajiwa kuchezwa na mshindi wa jumla atasepa na taji hilo kubwa Afrika. Mayele…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI

HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya Dodoma Jiji, mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Jamhuri Dodoma:- Aboutwalib Mshery Kibwana Shomari Kibabage Job Bacca Aucho Mzize Mudathir Dube Aziz Ki Pacome Akiba:-Khomein, Kassim, Nondo, Boka, Mkude, Nkane,, Sureboy, Abuya,, Farid, Shekhan Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo, kukipata…

Read More

PAPE SAKHO HUYO ULAYA

RASMI Simba SC imefikia makubaliano na Klabu ya Quevilly Rouen Metropole (QRM) ya nchini Ufaransa kumuuza mchezaji Pape Sakho. Kiungo huyo ni miongoni mwa viungo bora wenye mambo mengi ndani ya uwanja akiwa na mtindo wa ushangiliaji wa kunyunyiza. Moja ya mabao aliyofunga ndani ya Simba ilikuwa dhidi ya Yanga kwenye mchezo wa Ngao ya…

Read More

JESUS MOLOKO ANAIPIGIA HESABU NAMBA YAKE

KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kuwa na majeraha amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na anahitaji kuanza kikosi cha kwanza. Wakati alipokuwa nje kwa muda kiungo huyo mikoba yake ilikuwa mikononi mwa Said Ntibanzokiza,Farid Mussa na Chico Ushindi ambao walikuwa wakipewa majukumu na Kocha Mkuuu wa Yanga, Nasreddine…

Read More