HAALAND THAMANI YAKE EURO BILIONI 1

UMESIKIA hiyo, thamani ya staa wa Manchester City, Erling Haaland kwa sasa ni euro bilioni 1. Haya yameelezwa na wakala wa staa huyo, Rafaela Primenta ambaye anamsimamia Haaland na mastaa wengine akiwemo Paul Pogba, Marco Verratti, Gianluigi Donnarumma, Matthijs de Ligt. Staa huyo ndani ya Manchester City kwenye Premier msimu huu amefanikiwa kufunga mabao 26,…

Read More

YANGA KUPELEKWA MANUNGU

OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ameweka wazi kwamba hawafikirii kuacha kuutumia Uwanja wa Manungu kwa wakati huu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara ambazo zipo mbele yao ikiwa ni pamoja na ile dhidi ya Yanga. Kifaru amesema kuwa uwekezaji ambao wameufanya unawapa nguvu ya kutumia uwanja wao bora ambao upo kwenye viunga vya…

Read More

BWALYA KUAGWA JUMAPILI

 KIUNGO wa Klabu ya Simba, Rally Bwalya atasepa ndani ya kikosi hicho baada ya mabosi wa timu hiyo kuweka wazi kwamba wamefikia makubaliano na timu moja iliyokuwa inahitaji saini yake. Simba wameweka wazi kuwa wanashukuru kwa huduma ya kiungo huyo raia wa Zambia ambaye alitua hapo Agosti 2020 akitokea Klabu ya Power Dynamo. Ni dili…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUAMBUIA POINTI MOJA

BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa moja ya sababu kubwa iliyofanya wakakosa ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania ni sehemu ya kuchezea kutokuwa rafiki. Mchezo wa mzunguko wa pili kati ya JKT Tanzania na Yanga ulichezwa Aprili 24 2024 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 23 lakini uliahirishwa kutokana…

Read More

BEKI WA KAZI KIMENYA KUIKOSA AZAM FC

TANZANIA Prisons ikiwa imecheza jumla ya mechi 12 ndani ya Ligi Kuu Bara na kukusanya pointi 11 leo ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC. Azam FC ipo nafasi ya 5 imecheza mechi 12 na kibindoni ina pointi 18. Beki wa kazi chafu mwenye uwezo wa kupanda na kushuka, Salum Kimenya ataukosa…

Read More

KOCHA UNITED AAMBIWA AONDOKE TU HAMNA NAMNA

RIO Ferdinand, beki wa zamani wa Klabu ya Manchester United amesema kuwa kwa sasa ni muda mzuri kwa Kocha Mkuu, Ole Gunnar Solskjaer, kuondoka ndani ya kikosi hicho kwa heshima kabla ya kutimuliwa. Beki huyo hapo awali alikuwa yupo upande wa kocha huyo kwa kuwa alikuwa akimtetea na alikuwa anaamini kwamba anaweza kuja kufanya vizuri…

Read More

YANGA MGUU MMOJA FAINALI KIMATAIFA

YANGA imetanguliza mguu mmoja hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 2-0 Marumo Gallants. Kipindi cha pili Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi amekamilisha kufunga hesabu kwa nyota wake kupachika mabao. Ni Aziz KI kiungo wa Yanga alianza kutupia bao la ufunguzi dakika ya 63 kwa shuti akiwa ndani ya 18 na lile la pili ni mali ya…

Read More

UTAMU WA MERIDIANBET UPO IJUMAA YA LEO

Mechi nyingi za kupiga maokoto zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Ufaransa LIGUE 1 nayo kitawaka ambapo AJ Auxerre atamenyana dhidi ya AS Saint-Etienne ambao walitoa sare huku mwenyeji yeye akipoteza mechi yake iliyopita, hivyo…

Read More

MAYANGA V KAGERE KWENYE VITA YAO LEO

LEO ni mwendo wa msako wa rekodi nyingine kwa nyota wawili ambao ni vinara wa utupiaji kwenye timu zao kati ya Vitalisi Mayanga wa Polisi Tanzania na Meddie Kagere wa Simba. Mayanga ni nyota wa kwanza kusepa na tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba huku Kagere akiwa hajasepa na tuzo kwa msimu huu kati…

Read More

MATHEO ANTHONY KUIKOSA RUVU SHOOTING

MATHEO Anthony, nyota wa KMC kesho anatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri,Morogoro saa 10:00 jioni. Sababu za nyota huyo kuukosa mchezo huo ni kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu. Ofisa Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA COASTAL UNION

LEO Oktoba 31 mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba wanatarajia kucheza na Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa saa 1:00 usiku. Hiki hapa kikosi cha Simba ambacho kinatarajiwa kuanza leo kwa mujibu wa rekodi za Saleh Jembe:- Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Mzamiru…

Read More

YANGA YASHINDA 3-0 KAGERA SUGAR

KIKOSI cha Yanga kimesepa na pointi tatu mbele ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ni mabao matatu ambayo yamefungwa kwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi. Fiston Mayele ametupia mabao mawili na pasi moja ya bao, amefunga dk 30 na 50 pasi kampa mshikaji wake Said Ntibanzokiza…

Read More

DABI NDANI YA TANGA, MKWAKWANI, YANGA V SIMBA

NI Kariakoo Dabi ndani ya Tanga inasubiriwa kwa shauku kutokana na kila mmoja kushinda kigingi cha kwanza cha nusu fainali. Katika nusu fainali ya pili dakika 90 zilikuwa ni ngumu kwa nyota wote katika kucheka na nyavu kati ya Simba dhidi ya Singida Fountain Gate. Ubao umesoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate na kupeleka changamoto…

Read More

BRUNO AWATULIZA MATAJIRI WA DAR

REJEA andiko kwenye makala ya gazeti la Championi Jumamosi la Januari 21,2023 ukurasa wa tano. Labda ulikuwa na mambo mengi umesahau ngoja nikukumbushe kichwa cha habari cha makala hiyo, ‘Bruno Gomez… Akikufunga, pointi tatu sahau… Wakati makala inaandikwa tayari mwamba alikuwa ametupia kambani mabao 7 kwenye mechi sita na zote Singida Big Stars walisepa na…

Read More