KAMATA RATIBA YA LIGI NAMBA NNE KWA UBORA AFRIKA

BAADA ya ubao wa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa kusoma Fountain Gate 1-1 Simba ngoma bado inaendelea kwenye Ligi namba nne kwa ubora Afrika ambapo kuna mechi zinachezwa leo msako wa pointi tatu muhimu. HII HAPA RATIBA YA FEBRUARI 7 Coastal Union v JKT Tanzania, saa 10:00 jioni Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar, saa…

Read More

MAN CITY YAENDELEA KUANDAMWA NA MAUZAUZA KAMA YANGA

Mauzauza yameendelea kuiandama Manchester City baada ya kushindwa kuulinda uongozi wa 3-0 na kusawazishiwa 3-3 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi ya 6 mfululizo kwenye michuano yote. Kwenye michezo mingine Arsenal imeilaza Sporting Lisbon jumla ya magoli 5-1, wakati Barcelona ikiilaza Brest magoli…

Read More

BOSI SIMBA,YANGA WAITWA KAMATI YA MAADILI TFF

OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa ushahidi wa shutuma anazodaiwa kuzitoa wakati akihojiwa na Kituo cha Radio  nchini Afrika Kusini hivi karibuni. Katika taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa, Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko yao kwa TFF dhidi ya…

Read More

SENZO:HATUNA PRESHA NA SIMBA

SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Yanga amebainisha kwamba hawana presha na watani zao wa jadi Simba kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Desemba 11. Kesho mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuchezwa. Mbatha amesema kuwa wanatambua kuhusu mchezo huo kwa kuwa upo kwenye ratiba hivyo watafanya maandalizi mazuri ili…

Read More

MAKOSA YAFANYIWE KAZI KUIMARISHA STARS

DHAMIRA kubwa kwenye mechi za kirafiki ni kutambua makosa yalipo ili kuyafanyia kazi kwenye mechi zijazo. Tumeona namna wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania walivyopambana dhidi ya Sudan. Kupata sare ya kufungana bao 1-1 ugenini sio jambo la kujutia bali ni kuangalia wapi makosa yalifanyika. Kwenye safu ya ushambuliaji ni muhimu kuongeza umakini wakati…

Read More

PAN AFICAN KAZINI KWA MARA NYINGINE TENA

KIVUMBI cha Championship kinatarajiwa kuendelea kwa wakongwe kazini Pan African watakapowakaribisha FGA Talents. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru, Oktoba 28 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Nyasi za Uwanja wa Uhuru zitakuwa kwenye kazi saa 10:00 jioni kwa wanaume hao 22 uwanjani kusaka ushindi kwa jasho. Mchezo wao uliopita ilikuwa ni Oktoba 21…

Read More

MTUNISIA FRESH YANGA,KAZI INAANZA KESHO

MTUNISIA Nasreddine Mohammed Nabi ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo ya ‘Wananchi’ hadi mwaka 2024. Licha ya Nabi kuhitaji ongezo zaidi la mshahara ambao wameafikiana, kingine ni mipango yake ndani ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania.  Nabi anaamini anaweza kupata mafanikio aliyokosa alikopita, kama Yanga wanavyoamini pia juu yake hasa kufuatia kuimarishwa…

Read More

KLOPP ANAAMINI WATAREJEA WAKIWA BORA MSIMU UJAO

JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa timu hiyo itarejea kwa kishindo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao na kuweza kutwaa taji hilo. Liverpool ilikuwa inapewa nafasi kubwa ya kutwaa taji hilo ila ilipoteza kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Real Madrid kwa kufungwa bao 1-0 jijini Paris. Licha ya kufungwa kwenye fainali…

Read More