VIDEO:YANGA WATAJA KIASI WALICHOPATA,WAMSHUKURU RAIS
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga ametaja kiasi ambacho walikipata kwenye mchezo wa hisani ambao ulichezwa Uwanja wa Azam Complex na ubao ulisoma Yanga 1-1 Timu ya Taifa ya Somalia.
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga ametaja kiasi ambacho walikipata kwenye mchezo wa hisani ambao ulichezwa Uwanja wa Azam Complex na ubao ulisoma Yanga 1-1 Timu ya Taifa ya Somalia.
YANGA imewapigia simu washambuliaji wawili kuelekea kwenye usajili wa dirisha dogo
BAADA ya ubao wa Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa kusoma Fountain Gate 1-1 Simba ngoma bado inaendelea kwenye Ligi namba nne kwa ubora Afrika ambapo kuna mechi zinachezwa leo msako wa pointi tatu muhimu. HII HAPA RATIBA YA FEBRUARI 7 Coastal Union v JKT Tanzania, saa 10:00 jioni Singida Black Stars dhidi ya Kagera Sugar, saa…
Mauzauza yameendelea kuiandama Manchester City baada ya kushindwa kuulinda uongozi wa 3-0 na kusawazishiwa 3-3 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi ya 6 mfululizo kwenye michuano yote. Kwenye michezo mingine Arsenal imeilaza Sporting Lisbon jumla ya magoli 5-1, wakati Barcelona ikiilaza Brest magoli…
OFISA Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez atafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa ushahidi wa shutuma anazodaiwa kuzitoa wakati akihojiwa na Kituo cha Radio nchini Afrika Kusini hivi karibuni. Katika taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza kuwa, Klabu ya Yanga iliwasilisha malalamiko yao kwa TFF dhidi ya…
SENZO Mbatha, Mtendaji Mkuu wa Yanga amebainisha kwamba hawana presha na watani zao wa jadi Simba kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Desemba 11. Kesho mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa unatarajiwa kuchezwa. Mbatha amesema kuwa wanatambua kuhusu mchezo huo kwa kuwa upo kwenye ratiba hivyo watafanya maandalizi mazuri ili…
Kylian Mbappé ameanza maisha mapya ya kifahari nchini Hispania baada ya kuhamia kwenye jiji la Madrid kufuatia kujiunga na Real Madrid. Nyota huyo wa Ufaransa anaishi kwenye eneo maarufu la matajiri linaloitwa La Finca, ambalo linajulikana kwa kuwa makazi ya mastaa wa soka, wafanyabiashara wakubwa na watu maarufu duniani. Eneo hilo lina ulinzi wa hali…
JEMBE aichambua Rivers United v Yanga kimataifa
KIKOSI cha Simba kitakachoanza dhidi ya USGN ya Niger:- Aishi Manula Shomari Kapombe Mohamed Hussein Joash Onyango Henock Inonga Erasto Nyoni Yusuph Mhilu Sadio Kanoute Meddie Kagere Sakho Peter Banda
KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo Oktoba 8,2022 dhidi ya Al Hilal mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kipo namna hii:- Diarra Djuma Kibwana Job Bangala Aucho Feisal Moloko Mayele Aziz KI Morrison Akiba ni:- Mshery Bacca Nondo Lomalisa Mauya Sure Boy Kisinda Farid Makambo
MATAJIRI wa Dar, Azam FC moto hauzimi baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wao wa kwanza dhidi ya KMC Uwanja wa KMC Mwenge kasi yao imeendelea kwa mara nyingine mbele ya Coastal Union ya Tanga. Azam FC ilicheza mechi mbili mfululizo bila kupata ushindi ilikuwa JKT Tanzania 0-0 Azam FC, Azam FC 0-0 Pamba Jiji…
DHAMIRA kubwa kwenye mechi za kirafiki ni kutambua makosa yalipo ili kuyafanyia kazi kwenye mechi zijazo. Tumeona namna wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania walivyopambana dhidi ya Sudan. Kupata sare ya kufungana bao 1-1 ugenini sio jambo la kujutia bali ni kuangalia wapi makosa yalifanyika. Kwenye safu ya ushambuliaji ni muhimu kuongeza umakini wakati…
MSAFARA wa wachezaji wa Simba pamoja na benchi la ufundi umewasili salama nchini Angola leo Oktoba 8,2022 kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya de Agosto. Ni jumla ya wachezaji 24 ambao walikuwa kwenye msafara huo miongoni mwao ni pamoja na Aishi Manula, Ally Salim na…
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema sare tatu mfululizo ambazo walizpata kwenye Ligi Kuu Bara ziliwatingisha kidogo na kuwatetemesha
KIVUMBI cha Championship kinatarajiwa kuendelea kwa wakongwe kazini Pan African watakapowakaribisha FGA Talents. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru, Oktoba 28 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Nyasi za Uwanja wa Uhuru zitakuwa kwenye kazi saa 10:00 jioni kwa wanaume hao 22 uwanjani kusaka ushindi kwa jasho. Mchezo wao uliopita ilikuwa ni Oktoba 21…
MTUNISIA Nasreddine Mohammed Nabi ameongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu hiyo ya ‘Wananchi’ hadi mwaka 2024. Licha ya Nabi kuhitaji ongezo zaidi la mshahara ambao wameafikiana, kingine ni mipango yake ndani ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania. Nabi anaamini anaweza kupata mafanikio aliyokosa alikopita, kama Yanga wanavyoamini pia juu yake hasa kufuatia kuimarishwa…
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa timu hiyo itarejea kwa kishindo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao na kuweza kutwaa taji hilo. Liverpool ilikuwa inapewa nafasi kubwa ya kutwaa taji hilo ila ilipoteza kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Real Madrid kwa kufungwa bao 1-0 jijini Paris. Licha ya kufungwa kwenye fainali…