CHEKI KIKOSI BORA CHA USAJILI BONGO KILIBAMBA

UNAKUMBUKA dirisha dogo la usajili ambalo lilifungwa rasmi Januari 15, mwaka huu. Majina kama Chiko Ushindi na Clatous Chama yaliimbwa kweli. Baada ya tambo za usajili kumalizika kwa sasa tayari idadi kubwa ya majembe hayo mapya yameanza kupiga kazi katika vituo vyao vipya vya kazi, ambapo wapo walioanza kuuwasha moto huku wengine wakiwa wanaendelea kusubiri…

Read More

ERLING HAALAND, NICO WILLIAMS KUTUA BARCELONA

TETESI za usajili zinasema Barcelona inatarajia kuongeza wachezaji wawili maarufu katika madirisha mawili yajayo ya uhamisho ya kiangazi, Nico Williams mwaka huu na kisha Erling Haaland mwaka 2025. Barcelona imeonyesha nia ya kuwasajili Erling Haaland na Nico Williams, lakini kuna changamoto kubwa za kifedha na kiutaratibu zinazohusika. Kwa Erling Haaland, hatua hii inategemea klabu hiyo…

Read More

HAWA HAPA WATATU WANAWANIA TUZO YA KIUNGO BORA

NYOTA watatu wanawania tuzo ya kiungo bora kwa msimu wa 2021/22 ambazo zinatarajiwa kufanyika Julai 7,2022 baada ya ligi kukamilika. Mabingwa wameshajulikana ambao ni Yanga waliotwaa ubingwa baada ya kufikisha pointi 74 walipocheza mechi 30. Viungo wote watatu kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na Bodi ya Ligi Tanzania ni mali ya Yanga ambapo ni Feisal…

Read More

TUZO YA SIMBA YATOLEWA UFAFANUZI

BAADA ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids kuchaguliwa kuwa kocha bora ndani ya Agosti 2024 na Jean Ahoua kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa Agosti, uongozi wa Simba umetoa ufafanuzi kuwa kwa namna yoyote ile ilikuwa ni lazima watwae tuzo hiyo kutokana na rekodi zilizoandikwa. Ipo wazi kuwa baada ya mechi mbili msimu wa 2024/25…

Read More

KOCHA BENCHIKHA – ”SITOANGALIA MAJINA YA WACHEZAJI, NITAANGALIA PAFOMANSI”..

Klabu ya Simba imefanya mkutano na waandishi wa habari kwa ajili ya kujibu maswali tofautitofauti baada ya kumtangaza Kocha wao mpya Abelhak Benchikha. Moja ya mambo yaliyoongelewa na Benchikha ni kwamba yeye hatoangalia jina la mchezaji bali ataangalia uwezo wa kila mchezaji uwanjani ili ajue kikosi alichonacho. Zaidi sana Benchikha amesema anataka ushirikiano kutoka kwa…

Read More

ZAIDI YA WATANZANIA 142 WAMENUFAIKA NA AJIRA KUPITIA MERIDIANBET TANZANIA

ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma za michezo ya kubashiri mtandaoni. Akizungumza katika uzinduzi wa duka la Meridianbet lililopo Mtaa wa Tandika Majaribio, Temeke, Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano Meridianbet Tanzania, Matina Nkurlu, alisema kuwa kama…

Read More