HAWAAMINI MACHO YAO SIMBA KIMATAIFA

HAWAAMINI macho yao Power Dynamos wapinzani wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kushuhudia wakipokwa tonge mdomoni la kutinga hatua ya makundi. Kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Power Dynamos walianza kuwatungua Simba ndani ya dakika 20 za mwanzo kipindi cha pili mambo yalibadilika na kuruhusu nyavu zao kutikishwa. Dakika 90 zilikamilika…

Read More

PARIMATCH YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KIBABE

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeunganana na watoa huduma ulimwenguni kote kusherehekea Wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi na zenye ubunifu kwa wateja wake ili kuongeza burudani pindi wanaposuka mikeka yao kwenye tovuti na App. Akitoa salamu za heri kwa wateja na wafanyakazi wa kampuni hiyo jijini Dar…

Read More

MAPITO YA GEORGE MPOLE NA GUMZO LAKE KWA SASA

KWA sasa gumzo kubwa kwenye Ligi Kuu Bara ni mshambuliaji George Mpole anayekipiga pale Geita Gold FC akiwa mzawa mwenye mabao mengi kwenye ligi msimu huu huku nafasi ya kutwaa kiatu cha ufungaji bora kwa upande wake ipo kwa asilimia 60 hadi sasa. Mpole amehusika kwenye mabao 15 ya Geita Gold ambapo hadi sasa amefunga…

Read More

KILA LA KHERI TAIFA STARS

USHINDANI ni mkubwa na kila timu inafanya kweli kupata ushindi ndani ya uwanja hivyo muhimu ni kujituma na kupata matokeo chanya. Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars leo ina kibarua kingine kigumu kusaka ushindi dhidi ya DR Congo hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo. Kila timu inatafuta pointi tatu hivyo ni muhimu kwa wachezaji kujituma…

Read More

YANGA KAZINI KIMATAIFA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kesho Septemba 14 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya CBE SA ya Ethiopia. Septemba 12 2024 msafara wa Yanga uliwasili salama nchini Ethiopia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Miguel Gamondi,…

Read More

SIMBA YAIPIGIA MATIZI RED ARROWS KWA MKAPA

PABLO Franco, leo Novemba 26 ameongoza mazoezi kwa mara ya kwanza kwa kikosi chake katika Uwanja wa Mkapa. Mazoezi ya leo ni kwa ajili ya mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao ni wa mtoano na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Itakuwa ni Novemba 28 ambapo mashabiki 35,000 wa Simba wameruhusiwa kuingia kushuhudia mchezo huo. Kwa…

Read More

MECHI 100 ZA BABA ESTER SOMO KUBWA KWA WENGINE

MECHI 100 kwa Shomari Kapombe akiwa na Simba tokea 2018 ni kazi kubwa ambayo ameifanya mkongwe huyu mwenye uwezo wa kupanda na kushuka. Yes, kwanza tuwapongeze Simba angalau kukumbuka wana mchezaji amecheza mechi idadi hiyo. Kwa kufanya hivyo itawaumbusha na wengine waweze kutambua kwamba kuna wachezaji wao wamecheza mechi ngapi na itawapa heshima kutamua mchango…

Read More

TABORA UNITED YAPELEKA ONYO JANGWANI

UONGOZI wa Tabora United zamani ikijulikana kama Kitayose umesema kuwa kampeni ya kuzisaka alama tatu dhidi ya Yanga imeanza, huku wakiamini kuwa kuanza maandalizi mapema ndiyo njia pekee yakutimiza malengo waliyojiwekea katika mchezo huo. Pendo Lema ambaye ni Afisa habari wa klabu ya Tabora United amesema kuwa kwa sasa hawana muda wakupoteza, na tayari kikosi…

Read More

YANGA YAPOTEZA DHIDI AL HILAL KIMATAIFA

KIKOSI cha Yanga kimekwama kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa nguvu zao ni kwenye Kombe la Shirikisho. Kwenye mchezo wa leo dhidi ya Al Hilal walikubali kupoteza kw bao 1-0 Yanga. Ni bao la dakika ya 3 lilitosha kuwapa ushindi Al Hilal wakiwa nyumbani na kutinga hatua ya makundi. Mohamed Abdrahaman…

Read More

AZAM FC YAFUNGA KAZI KUIKABILI SIMBA

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa tayari wamefunga hesabu za mchezo wao wa nusu fainali ya Kombe la Azam Sports Federatino dhidi ya Simba. Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Yanga ambao wao watacheza na Singida Big Stars mchezo wa hatua ya nusu fainali. Mshindi wa mchezo wa leo atakutana na mshindi…

Read More

IMEISHA HIYO KWA MKAPA, SIMBA 0-0 YANGA

DAKIKA 90 zimekamilika Uwanja wa Mkapa na ngoma kuwa nzito kwa timu zote ambapo zimegawana pointi mojamoja. Mpaka mwamuzi wa kazi Herry Sasii anapuliza filimbi ya mwisho kukamilishwa ngwe ya dakika 90 hakuna mbabe kwenye mchezo wa leo. Yanga inaendelea na rekodi yake ya kucheza mechi ya nane bila kufungwa huku Simba ikiikwama kuivunja rekodi…

Read More