
LIGI KUU BARA RATIBA HII HAPA MEI 12 2025
MEI 12 2025 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea leo ikiwa ni mzunguko wa pili kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Tanzania Prisons ambayo ipo nafasi ya 14 kwenye msimamo na pointi 27 baada ya kucheza mechi 27 itawakaribisha Coastal Union ya Tanga ambayo ipo nafasi ya 8. Coastal Union imecheza mechi 27…