WANANCHI WATOA KIKOSI KUMKABILI MNYAMA

WANANCHI Yanga licha ya taarifa kueleza kuwa hakutakuwa na mchezo  dhidi ya Simba, Uwanja wa Mkapa Machi 8 2025 wamefika uwanjani na kutoa kikosi kazi kitakachoikabili Simba kusaka pointi tatu muhimu. Kwenye kikosi hicho Aziz Ki ameanzia benchi na kiungo Clatous Chama huku ingizo jipya Ikangalombo naye akiwa benchi. Kikosi chenyewe kipo namna hii:- Djigui…

Read More

YANGA NDANI YA UWANJA WA MKAPA

YANGA ndani ya Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025 kwa ajili ya mchezo wa Kariakoo Dabi ambao umeahirishwa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB). Licha ya taarifa kutolewa na TPLB kuhusu kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Yanga na Simba ambao ni Kariakoo Dabi, wenyeji Yanga wamewasili Uwanja wa Mkapa. Mapema Yanga kupitia…

Read More

YANGA KAMILI KWA KARIAKOO DABI, KIPENGELE HAKUNA

MABOSI wa Yanga wamebainisha kuwa hakuna kipengele kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unatarajiwa kuchezwa leo Machi 8 2025, saa 1:15 Uwanja wa Mkapa. Uongozi wa Simba usiku wa kuamkia Machi 8 2025 walitoa taarifa kwamba hawatashiriki mchezo kutokana na kutopewa ruhusa ya kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa siku moja kabla ya mchezo. Wakati hayo…

Read More

TAMKO KUTOKA BODI YA LIGI SUALA LA KARIAKOO DABI

BAADA ya Simba kutoa taarifa kuwa wanagomea mechi kwa kuwa walizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkapa hivyo hawatacheza mchezo wa Machi 8 2025, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) Steven Mguto amesema wanalifanyia kazi. Ikumbukwe kwamba mchezo wa leo ni mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza…

Read More

MKANDAJI KIBU D APATA KITETE ISHU YA KARIAKOO DABI

KIBU Dennis kiungo wa Simba maarufu kwa jina la Kibu Mkandaji amepata kigugumizi kuhusu mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 8 2025. Mkandaji lilipata umaarufu baada ya kufunga kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa Mkapa alipomtungua Djigui Diarra kwa shuti kali akiwa nje ya 18 ….

Read More

MERIDIANBET FOUNDATION YAONGEZA MCHANGO WAKE KWA ELIMU

Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii ya Meridianbet, sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imezindua kampeni ya kimataifa ya uchangiaji vitabu, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kusaidia maktaba ndogo na vituo vya jamii. Kampeni hii inalenga kutoa vitabu vya elimu, kuhamasisha usomaji, na kusaidia kuendeleza utamaduni katika maeneo mbalimbali duniani. Wafanyakazi wa Meridianbet…

Read More

ATEBA NA MUKWALA NGOMA NZITO SIMBA

MASTAA wawili kwenye eneo la ushambuliaji ndani ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids ngoma ni nzito kutokana na kuliamsha dude kwenye eneo la ufungaji katika mechi ambazo wamechza. Ni Machi 8 2025 Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuwa kazini kwa wababe wawili Yanga na Simba kukutana uwanjani kwenye msako wa pointi tatu huku…

Read More

KASINO YA FRUIT SALAD 100 USHINDI 95.06%

Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za ushindi. Fruit Salad 100 ni kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Gaming Global. Katika mchezo huu, kuna ishara mbili maalum. Majokeri huonekana…

Read More

BEI YA VIINGILIO KARIKOO DABI

JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupasua anga ambapo mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Machi 8 2025 mchezao wa mzunguko wa pili. Ni mchezo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa wababe hawa wawili ambapo kila timu imetoka kupata ushindi kwenye mchezo wake uliopita. Yanga ambao watakuwa nyumbani walishuhudia ubao ukisoma Pamba Jiji 0-3 Yanga wakasepa na…

Read More

MAKIPA YANGA NA SIMBA KWENYE VITA YAO HUKO

KUNA kazi nzito ndani ya uwanja kwenye msako wa pointi tatu muhimu kwa wababe wawili ambapo kila kona kuna kisanga cha maana kutokana na ubora wa Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC ikiwa ni namba nne kwa ubora Afrika. Weka kando vita ya kusaka ushindi ndani ya uwanja kwenye Kariakoo Dabi mchezo unaotarajiwa kuchezwa Machi…

Read More