HAMISA MOBETTO ALIPUKA: “NIMECHOKA, NAOMBENI MNIACHE!”

Mwanamitindo na mjasiriamali maarufu, Hamisa Mobetto, ambaye pia ni mke wa nyota wa klabu ya Yanga SC na raia wa Burkina Faso, Stephanie Aziz Ki, amefunguka kwa uchungu kupitia ‘insta stories’ baada ya kuchoshwa na maneno ya watu mitandaoni. Kupitia ujumbe aliouchapisha, Hamisa ameonyesha kuchoka na mashambulizi ya mara kwa mara kutoka kwa watumiaji wa…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA DODOMA JIJI DHIDI YA SIMBA

DODOMA Jiji watakuwa na kazi yakusaka pointi tatu dhidi ya Simba kwenye mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC huku nyota Abdi Banda na Ibrahim Ajibu wakianzia benchi. Ni Ngeleka Katembua, Augustino Nsata, Apollo Onyango, Salmin Hoza, Mwana Kibuta, Dickson Mhilu, Daud Milandu, Mukrin Issa, Paul Obata, Reliants Lusajo, Paul Kasunda. Akiba ni Lulihoshi…

Read More

SIMBA KUWAKOSA MASTAA HAWA DHIDI YA DODOMA JIJI

WAKATI wakiwa kwenye maandalizi ya mwisho kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa mzunguko wa pili kuna hatihati Simba ikakosa huduma ya beki wao wa kazi na kiungo namba moja kwenye kutengeneza mabao. Ni beki Che Malone huyu hayupo fiti alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC alipokwama kukomba dakika 90 wakati ubao…

Read More

DUBE NA MILOUD WAMEKIMBIZA KWA FEBRUARI

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekimbiza ndani ya Februari kwa kusepa na tuzo kutoka Ligi Kuu Bara wote wakiwa wanatokea Jangwani. Ndani ya Februari kwenye mechi tano rekodi zinaonyesha kuwa Dube alihusika kwenye mabao matano na alifunga matano hivyo akahisika mojamoja kwenye mchango wa mabao 10. Ni mechi 7 alicheza…

Read More

EUROPA LEAGUE Kukutajirisha Leo

Alhamis ya Europa league imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Manchester United ya Amorim watakiwasha dhidi ya Real Sociedad katika dimba la Old Trafford huku mechi ya kwanza kukutana, walitoshana nguvu hivyo mechi hii ya…

Read More

KAPOMBE: HAIKUWA KAZI RAHISI KUSHINDA

SHOMARI Kapombe beki wa Simba amesema kuwa walikutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao TMA Stars katika mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup uliochezwa Uwanja wa KMC Complex. Katika mchezo huo Machi 11 2025 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 3-0 TMA Stars kwa mabao ya Valentin Nouma dakika ya…

Read More

YANGA YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo kwa watani zao wa jadi Simba ambao Machi 8 2025 mchezo wao wa Kariakoo Dabi ulighairisha kutokana na kile ambacho Simba walieleza kuwa hawakupewa nafasi…

Read More