Wamerudiana! Harmonize Amshangaza Kajala Jukwaani, Zanzibar Yazizima

Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Harmonize, ameibua shangwe kubwa baada ya kutangaza wazi kuwa amerejea katika uhusiano na Kajala Frida usiku wa kuamkia leo Desemba 26, 2026 wakati akifanya sho0 Zanzibar. Tukio hilo lililovutia mashabiki wengi, Harmonize alimuita Kajala jukwaani na kumtuza maneno ya upendo, akisisitiza kuwa: “Kajala ndiye mwanamke mrembo zaidi kuwahi kumuona duniani.”…

Read More

Shinda Samsung A26 Leo Jumatano kwa Kubashiri Rahisi Kupitia *149*10#

Bila Intanenti ni rahisi kabisa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kushindania Samsung A26 na Meridianbet leo. Jumatano ya Zawadi ipo kwaajili yako siku ya leo inaweza kukupa furaha sana. Jumatano hii haifanani na nyingine yoyote. Ni siku ambayo Meridianbet inawasha moto wa bahati kwa njia ambayo haijawahi kutokea. Kwa mara nyingine tena, wateja wote wanaopenda kubashiri…

Read More

Meridianbet Yafungua Mlango Wa Msisimko Mkubwa Kupitia Zombie Apocalypse

Meridianbet imezidi kuwapa wachezaji wake sababu ya kutabasamu baada ya kutangaza ofa mpya ya kusisimua kupitia ushirikiano wake na Expanse Studios. Ofa hii inaleta upekee wa hali ya juu kwa kuunganisha burudani, hofu na fursa ya ushindi mkubwa ndani ya mchezo wa Zombie Apocalypse. Kupitia mpango huu maalum, mchezaji anayekamilisha mizunguko 100 ya uchezaji leo…

Read More

RATIBA ya AFCON leo na matokeo

RATIBA ya AFCON 2025, Morocco Desemba 24,2025, Jumatano Burkina Faso vs Equatorial Guinea, saa 9:30 alasiri Algeria vs Sudan, saa 12:00 jioni Ivory Coast vs Msumbiji, saa 2:30 usiku Cameroon vs Gabon, saa 5:00 usiku Matokeo ya Jumanne, Desemba 23, 2025 Congo Dr 1-0 Benin, saa 9:30 alasiri Senegal 3-0 Botswana, saa 12:00 jioni Nigeria…

Read More

Prince Dube na rekodi yake AFCON 2025

PRINCE Dube mshambuliaji namba moja wa kikosi cha Yanga SC ameandika rekodi yake kwa msimu wa 2025/26 kwenye mashindano makubwa Afrika. Dube yupo katika majukumu ya timu ya taifa ya Zimbabwe alianza kikosi cha kwanza mchezo dhidi ya Misri ambao ni wa hatua ya makundi. Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Misri…

Read More

Meridiansport Yawakumbuka Watoto Yatima wa Faraja Orphanage Centre

Meridianbet imeendelea kudhihirisha kuwa mafanikio ya biashara yanaenda sambamba na kugusa maisha ya jamii kwa vitendo, baada ya kutembelea kituo cha watoto yatima cha Faraja Care Orphanage Centre kilichopo Mburahati. Kupitia ziara hiyo ya kijamii, kampuni hiyo ililenga kuleta tabasamu na matumaini mapya kwa watoto wanaolelewa katika kituo hicho, hususan katika kipindi hiki cha kuelekea…

Read More

AFCON 2025: Nigeria 2-1 Tanzania

MCHEZO wa hatua ya makundi AFCON 2025 ikiwa ni kundi C umekamilika nchini Morocco na ubao unasoma Nigeria 2-1 Tanzania. Dakika 45 za mwanza Nigeria walipata goli la kuongoza na kipindi cha pili walipata goli la pili la ushindi lililowapa pointi tatu muhimu. Ni Semi Ajay alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 36 na Ademoola…

Read More

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania vs Nigeria

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania kitakachoanza kwenye mchezo dhidi ya Nigeria, fainali Afcon 2025 hatua ya makundi:- Zuberi Foba, Shomari Kapombe, Mohamed Hussen, Ibrahim Bacca, Bakari Mwamnyeto, Novatus Miroshi. Alphonce Mabula, Saimon Msuva, Charles M’Mombwa, Mbwana Samatta, Tarryn Allakarakhia. Wachezaji wa akiba Hussen Masalanga, Pascal Msindo, Dickson Job, Nickson Kibabage, Iddi Nado, Kibu…

Read More