
ORODHA YA WACHEZAJI WANAOJITUMA NDANI YA KIKOSI CHA SIMBA
ORODHA ya wachezaji wanaojituma ndani ya kikosi cha Simba ikiwa ni baadhi yao kutokana na kazi ambayo wanaifanya wakiwa uwanjani
ORODHA ya wachezaji wanaojituma ndani ya kikosi cha Simba ikiwa ni baadhi yao kutokana na kazi ambayo wanaifanya wakiwa uwanjani
Hatimaye Meridianbet Kasino Mtandaoni imekuja na mchezo mwingine wa matunda ambao kiukweli kama ukianza kucheza huwezi kujutia muda wako, mchezo huu wa 20 Imperial Crown utakupatia bonasi kibao na faidia kubwa sana ya dau lako unalocheza. 20 mperial Crown Deluxe Sifa Zake 20 Imperial Crown Deluxe kasino mtandaoni wenye safu tano zilizopangwa katika mistari mitatu…
KWENYE mechi mbili mfululizo Uwanja wa CCM Kirumba, Simba inaambulia pointi dakika za lala salama katikà mchezo wa Ligi Kuu Bara. Walianza Februari 9 ubao ulisoma Simba 1-1 Azam FC, bao lilifungwa na Clatous Chama dakika ya 90 Simba wakakomba pointi moja. Februari 12 ubao umesoma Geita Gold 0-1 Simba bao likifungwa na Babacar Sarr…
MTAMBO wa mabao ndani ya Ligi Kuu Bara, Aziz KI hajawa kwenye kikosi hicho katika mechi tatu mfululizo ambazo ni dakika 270 huku majukumu yake ya mapigo huru yakiwa kwenye miguu ya Pacome Zouzoa ambaye alikuwa na balaa. Sababu kubwa ya Aziz mwenye mabao 10 na pasi mbili za mabao kutokuwa kwenye mechi hizo alikuwa…
Mechi mbalimbali kupigwa huku timu hizo kugombea pointi tatu leo. Je wewe beti yako unaiweka wapi kwenye mechi hizo?. Ingia meridianbet sasa na uanze kusuka mkeka wako, Leo Simba, Chelsea, Juventus uwanjani. Sasa unakosaje pesa hapo?. Pale Italia, SERIE A leo hii vijana wa Allegri Juventus watazipiga dhidi ya Udinese Calcio katika dimba la Allianz…
Meridianbet Kasino Mtandaoni utapata fursa ya kufurahia mchezo uliochochewa na mandhari maarufu zaidi. Unaweza kufikiri ni nini? Bila shaka, ni kuhusu Misri ya kale. Pata bonasi zenye nguvu ambazo mafarao wanakuletea. Cobra Queen ama Malkia wa Nyoka ni Kasino Mtandaoni kutoka kwa muuzaji Red Tiger. Mchezo unuletea ugeuzaji wa alama zinazoshiriki katika mfululizo wa…
KASI kubwa iliyopo ndani ya Yanga ambayo imetimiza miaka 89 ni kubwa kwa kila mchezaji kujituma kutimiza majukumu yake kuna baadhi ya wachezaji ambao wamekuwa wakijituma kutimiza majukumu yao na miongoni mwao wapo mabeki, viungo
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unazihitaji pointi tatu za Geita Goled kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Ipo wazi kwamba na mabosi wa Geita Gold nao wanazihitaji poiti tatu hivyo mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita ikiwa nyumbani, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Simba 1-1 Azam FC huku wafungaji wakiwa…
IVORY Coast ni mabingwa ushindi wapya wakionyesha maajabu yao kwa kupindua meza kibabe kwenye mchezo wa fainali uliokuwa ni wa kuvuja jasho na akili nyingi. Baada ya dakika 90 wenyeji Ivory Coast waliibuka kwa ushindi wa mabao 2-1 Nigeria katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2023. Ikumbukwe kwamba mabingwa watetezi walikuwa nj…
MZIZIMA Dabi imeacha mengi ambapo Simba ililazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na matajiri wa Dar ambao walianza kufunga dakika ya 14 kupitia kwa Prince Dube ambaye amekuwa na zali la kuwatungua Simba.Chama alionyesha ubora wake mwishoni alipofunga bao kwa pigo huru.
Joto la fainali ya AFCON kule nchini Ivory Coast mwisho wake ni leo ambapo Nigeria atakipiga dhidi za Ivory Coast majira za saa 5:00 usiku huku kila mtu akiisubiria kwa hamu mechi hiyo baada za michuano hii kunoga zaidi kwani upinzani ulikuwa mkubwa sana. Huku Nigeria na kule ni Ivory Coast siku ya leo Fainali…
FT Tanzania Prisons 1-2 Yanga Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Goal kwa Prisons ni Jeremia Juma na Yanga. Mzize na Pacome. Kikosi cha Tanzania Prisons kinasaka pointi tatu mbele ya Yanga ambao nao wanazihitaji pointi hizo pia. Tanzania Prisons wamepata bao kipindi cha pili dakika ya 64 kupitia kwa Jeremia Juma kwa pigo la faulo iliyosababishwa…
BAADA ya kupoteza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Mashujaa FC wameweka wazi kwamba mpango wao ni kupata pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji. Ipo wazi kwamba Februari 8 2024 ubao wa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ulisoma Yanga 2-1 Mashujaa ikiwa ni mchezo wa…
YANGA wamewaacha mbali watani zao wa jadi Simba katika hili msimu wa 2023/24
TANZANIA Prisons inayotumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani le Februari 11 inatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. Kocha wa Prisons, Ahmad Ally ameweka wazi kuwa wanatambua mchezo utakuwa mgumu lakini wapo tayari kwa ajili ya kupambania pointi tatu. “Ni mchezo mgumu na…
MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama ameweka wazi kuwa wana kazi kubwa ya kufanya ili kupata matokeo kwenye mechi za kitaifa na kimataifa
AMEANDIKA Jembe Moja ya sifa ya mashabiki wa Simba ni utaratibu au upole… Lakini pia wana sifa ya ukorofi wanapochoka. Hili la kumkataa mwamuzi Kayoko si zuri katika mchezo wetu wa soka. Lakini tujiulize ni kwanini linatokea na kweli mwamuzi huyo amekuwa akikosea sana mechi zinazoihusu timu hiyo? Kayoko mwenyewe pia anaweza kujitafakari kwamba amekuwa…