KOCHA WA MANULA APATA DILI AFRIKA KUSINI

SIMBA ipo kwenye mchakato wa kusaka kocha mpya wa makipa baada ya Tyron Damons kupata dili jipya nchini Afrika Kusini. Taarifa rasmi kutoka Simba imeeleza kuwa kwa hatua ambayo wamefikia wanamshukuru kocha huyo hivyo watasaka mbadala wake kwa ajili ya kuwa kwenye kikosi hicho.  “Klabu ya Simba inamtakia kila la heri kocha wa magoli kipa…

Read More

MABEKI YANGA KUMKAZIA MOSES PHIRI KWA MKAPA

MABEKI wa Yanga wameweka wazi kuwa hawatakubali kufanya makosa na kuwaruhusu washambuliaji wa Simba wakiongozwa na Moses Phiri kupata nafasi ya kuwafunga. Simba kwa sasa wanatamba na ubora wa mshambuliaji wao Moses Phiri ambaye ameifungia timu hiyo mabao 4 katika michezo 5 ya ligi kuu msimu huu, jambo ambalo ni tishio kuelekea mchezo wa leo…

Read More

TUNAKUKUMBUKA IBRAHIM MRESSY

JUMAPILI ya leo Julai 10 ni miaka mitatu kamili imetimia tangu aliyekuwa mwandishi chipukizi wa Gazeti la Spoti Xtra na Championi Ibrahim Mressy afariki dunia. Ilikuwa ni Julai 10,2019 taarifa za kutangulia kwake mbele za haki zilifika katika kituo chake cha kazi Gloal Pulishers,baada ya kuugua ghafla. Mbali na kuandikikia Magazeti ya Championi na Spoti…

Read More

YANGA HAWANA HABARI NA ISHU YA KOCHA SIMBA

WAKATI wengi wakisema ujio wa kocha mpya wa Simba, Pablo Franco utakuwa ni changamoto kubwa kwa Yanga kutokana na wasifu mkubwa alionao, lakini uongozi wa Yanga wala hauna presha wakimuamini kocha wao, Nasreddine Nabi.   Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Simba imtangaze kocha huyo raia wa Hispania aliyekuja kuchukua nafasi ya Mfaransa, Didier Gomes na jana Novemba 10 aliwasili Dar kwa ajili ya kuanza kufanya kazi kwenye benchi…

Read More

YANGA NDANI YA MORO KUIKABILI KMC

VINARA wa Ligi Kuu Bara Yanga wapo ndani ya Morogoro ambapo waliwasili mapema Februari 15 kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao ujao wa ligi. Ni pointi 40 wanazo kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 15 mchezo wao wa kukamilisha mzunguko wa kwanza ilikuwa Uwanja wa Sokoine ubao uliposoma Prisons 1-2 Yanga wakakomba pointi tatu…

Read More

FEI TOTO,AUCHO WAONGEZEWA DOZI KISA SIMBA

KATIKA kuhakikisha kikosi chake kinaimarika katika kila idara, Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amewaongezea program ya mazoezi wachezaji wake wakiongozwa na Khalid Aucho na Feisal Salum ‘Fei Toto’. Yanga Jumanne iliibukia Shinyanga kuendelea na kambi ya maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports dhidi ya Simba utakaochezwa CCM…

Read More

HIZI HAPA KUSHUKA UWANJANI LEO BONGO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea le Mei 8 ambapo kutakuwa na msako wa pointi tatu kwa timu nne kwenye viwanja viwili tofauti ndani ya dk 90 za kazi. Ni Coastal Union inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda watakuwa Uwanja wa Mkwakwani,Tanga kusaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania inayonolewa na Kocha Mkuu,Malale Hamsini. Simba ambao…

Read More

WALICHOFANYA MASTAA WA SIMBA NA TANZANIA PRISONS

MASTAA wa Tanzania Prisons na Simba walikuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Oktoba 22 Uwanja wa Sokoine baada ya dakika 90 ubao ukasoma Tanzania Prisons 0-1 Simba. Kila nyota alifanya kazi kubwa kutimiza majukumu yake na hapa tunakuletea baadhi ya walichofanya mastaa wa timu hizo namna hii:-…

Read More

DAKIKA 90 ZAKIBABE KARIAKOO DABI

DAKIKA 90 za Kariakoo Dabi kila mmoja kasepa na pointi moja baada ya sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Mkapa. Simba walianza dakika ya 14 kupitia kwa Augustino Okra ambaye alionyeshwa kadi ya njano na mwamuzi Ramadhan Kayoko kwa kosa la kushangilia akiwa amevua jezi. Ngoma iliwekwa usawa na Aziz KI kwa pigo huru…

Read More

KOCHA MBRAZIL KURAHISISHIWA KAZI NDANI YA SIMBA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utafanyia kazi mapendekezo ya benchi la ufundi kwenye upande wa usajili ili kuongeza wachezaji imara ndani ya timu hiyo kwa msimu ujao. Ni Roberto Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amewaomba viongozi wa timu hiyo kuongeza wachezaji wawiliwawili kila idara ili kuongeza nguvu ndani ya kikosi kwa msimu ujao wa…

Read More

KOCHA MPYA SIMBA AANZA KAZI RASMI LEO

LEO Novemba 16, Kocha Mpya wa Viungo wa Klabu ya Simba, Don Daniel De Castro ameanza kazi ya kuwanoa wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco. Kocha huyo wa viungo amechukua mikoba ya Adel Zraine raia wa Tunisia ambaye alisitishiwa mkataba wake Desemba 26. Jana, Novemba 15 alitambulishwa rasmi kwa mashabiki na…

Read More

HIVI NDIVYO PABLO ATAKAVYOFANYA USAJILI SIMBA

UONGOZI wa Simba umesema kuwa, kocha wao mpya atatumia ripoti ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mhispania, Pablo Franco kwa ajili ya kufanya usajili wa msimu ujao. Simba tayari imeanza usajili wa kimyakimya huku wakimsubiria kocha mpya atakayetangazwa hivi karibuni akija kuchukua mikoba ya Pablo aliyetimuliwa Mei, mwaka huu. Timu hiyo ipo katika hatua…

Read More

MANARA:SIHITAJI KUONEWA HURUMA

MSEMAJI wa Yanga, Haji Manara amesema kuwa hahitaji kupata huruma kutoka kwenye mamlaka kutokana na kuweza kupewa adhabu ya kufungiwa miaka miwili pamoja na adhabu ya faini ya milioni 20 bali anahitaji haki. Julai 21,Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) iliweka wazi kuwa imemfungia Manara miaka miwili pamoja na adhabu ya milioni 20…

Read More