TABORA UNITED WAJIVUNIA MWAMBA HUYU

UONGOZI wa Tabora United umeweka wazi kuwa unajivunia uwepo wa nyota wao John Noble ambaye ni kipa namba moja wa timu hiyo. Tabora United ni miongoni mwa timu ambazo zimepanda daraja zikiwa zinapambana kufanya vizuri kwenye ligi. Ofisa Habari wa Tabora United, Chritina Mwagala ameweka wazi kuwa wachezaji wao wanafanya kazi kubwa kwa ajili ya…

Read More

YANGA WANABALAA HAO, KAZI YAO IPO HIVI

YANGA baada ya kucheza mechi 11 za Ligi Kuu Bara imeambulia ushindi kwenye mechi 10 ikipoteza mchezo mmoja ikiwa haijapata sare ndani ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo ina balaa kutokana na kasi yao kuwa imara ndani ya ligi wakiwa wanatetea taji hilo ambalo walitwaa msimu wa 2022/23. Kwa sasa inanolewa na Kocha Mkuu Miguel…

Read More

KAZI IMEPAMBA MOTO AFCON

NIGERIA wamewafungashia virago Cameroon katika 16 bora Kombe la Mataifa Afrika kwa ushindi wa mabao 2-0 kazi ikizidi kupamba moto kwa kila timu kupambania ushindi. Ni balaa zito kwenye mashindano haya ambapo Tanzania yenye Mbwana Samatta, Kibu Dennis, Mzamiru Yassin, Dickson Job, Bacca iligotea hatua ya makundi na kuondolewa ikiwa na pointi mbili kibindoni. Kwenye…

Read More

MUDA WA KUFANYA KWELI NI SASA KILA KONA

KAZI kubwa ambayo inapaswa kufanyika kuelekea kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa ni kufanya kweli kwa kila timu kupata matokeo mazuri. Tumeona kwamba kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika, (AFCON) Tanzania ilikwama kutinga hatua ya 16 bora na kuishia kwenye hatua za makundi. Kwa maana hiyo kuna makosa ambayo wachezaji waliyaona na kushindwa kuyatumia…

Read More

Mbagala Rangi 3 Yafurahia Ujio wa Meridianbet

Nancy Ingram ambaye ni mhariri mkuu wa kampuni ya ubashiri Tanzania, Meridianbet akiongozana na timu yake nzima leo hii walifika Mbagala Rangi 3 kwaajili ya kugawa miamvuli kwa wafanyabiashara wadogowadogo. Ikiwa bado hali ya hewa haijakaa vizuri kutokana na hizi mvua ambazo zinaendelea kunyesha Meridianbet wameona kuna haja ya kutoa miamvuli kwa wafanyabiashara kwaajili ya…

Read More

AZIZ KI/DIARA/FEI TOTO/KWENYE VITA YAO SIMBA YAJIENGUA

MIAMBA ilyopo kwenye tatu bora ndani ya Ligi Kuu Bara ipo kwenye vita yao nyingine ambapo kila timu inapambana kufanya kweli ndani ya uwanja kutokana na uhalisia uliopo kwani kila timu inasaka pointi tatu. Yanga ambao ni mabingwa watetezi huku vinara wakiwa ni Azam FC. Simba mwendo wao haujawa imara licha ya kucheza mechi chache…

Read More

REKODI HIZI HAPA ZA JEMBE JIPYA SIMBA

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Simba ambaye ni mshambuliaji rekodi zake zinaonekana kumbeba ikiwa zitajibu ndani ya Ligi Kuu Bara. Tayari nyota huyo ambaye ni mshambuliaji Michel Fredy ameanza mazoezi pamoja na wachezaji wenzake ndani ya Simba kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa. Rekodi zinaonyeshwa kwamba raia huyo Ivory Coast aliyekuwa kwenye…

Read More

JURGEN ANAONDOKA LIVERPOOL

JURGEN Klopp Kocha Mkuu wa Liverpool ameweka wazi kuwa hatakuwa ndani ya timu hiyo msimu ujao ikiwa ni maamuzi yake mwenyewe. Taarifa iliyotolewa na Liverpool imeweka wazi kwamba Klopp mwenyewe amesema hataendelea kuwa na timu hiyo baada ya msimu kuisha. Kocha huyo amesema:”Baada ya msimu kuisha sitaendelea kuwa katika nafasi ambayo nipo sasa ndani ya…

Read More

TAIFA STARS MAUMIVU INATOSHA

INATOSHA kwa maumivu ambayo mashabiki wameyapata pamoja na wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ilikuwa ikipambana kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Kwenye mechi tatu ilizocheza ilikuwa ni ngumu kupata tabasamu kutokana na mechi zote kutoapa ushindi hivyo Watanzania wapo kwenye huzuni ya kuona kwamba kwa mara nyingine tena tunakuwa…

Read More

CHEZA SLOTI YA FASHION NIGHT USHINDI X500

Hadithi za kale zina mafundisho mengi sana ndani yake, baadhi ya tungo hizo zilikuwa na lengo la kubadili mitazamo ya watu na nyingine ni kuburudisha, kuna hii hadithi ya Mfalme mmoja aliyetawala Falme za Kiarabu alikuwa ni mtu mpenda sifa na majivuno haswa kwa wafanyakazi wake na watu aliokuwa akiwapatia msaada. Moja ya watu ambao…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE NA SABABU ZA KUUZA WACHEZAJI

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umeweka wazi kuwa sababu kubwa ya kufanya biashara ya kuwauza wachezaji wao waliokuwa na uhakika wa namba kikosi cha kwanza ni kupata fedha za kulipa madeni. Timu hiyo ipo ndani ya tano bora na imekuwa ikileta ushindani mkubwa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kutokana na mipango makini kwenye kusaka…

Read More