HIZI HAPA TIMU ZITAKAZOSHIRIKI KIMATAIFA BONGO

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania, Almas Kasongo amesema kuwa ni timu nne ambazo zitaiwakilisha Tanzania katika anga la kimataifa.  Ni katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo ni nafasi nne zipo kwa timu za Tanzania. Kasongo amesema Yanga na Simba tayari wameshapatikana kuwakilisha michuano ya Ligi ya…

Read More

BENCHIKHA MALENGO ILIKUWA UBINGWA AFRIKA

KOCHA Abdelhakh Benchikha, kocha wa kazi amesema kuwa malengo makubwa katika Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa ni kucheza hatua ya nusu fainali na kutwaa ubingwa lakini ilishindikana kwa kuwa haikuwa mipango ya Mungu. Aprili 28 2024 Simba ilitoa taarifa rasmi kuwa wamefikia makubaliano ya pande mbili kuvunja mkataba kati ya Simba na kocha Benchikha pamoja…

Read More

NABI AWAPA TANO KAGERA SUGAR

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapa pongezi Kagera Sugar kwa kuonyesha ushindani kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Dakika 90 zimekamilika, ubao umesoa Kagera Sugar 0-1 Yanga bao ambalo lilifungwa mapema kipindi cha kwanza. Ni Clemet alipachika bao hilo dakika ya 18 lililomshinda kipa wa Kagera Sugar Said Kipao. Kipindi cha…

Read More

YANGA NA 5 G YATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa wale wanaosema ushindi wao kàtika mechi za Ligi Kuu Bara ni wa mchongo wajiulize wao walifungwa ngapi walipokutana nao. Machi 11 2024 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 5-0 Ihefu na pointi tatu zikiwa ni mali ya Yanga. Mabao ya Pacome Zouzoua dakika ya 10, Mudathir Yahya…

Read More

WABABE WA SERIE A WAKABANA KUWANIA UBINGWA

Shughuli imemalizika katika dimba la Diego Armando Maradona mjini Naples, wenyeji Napoli wametoshana nguvu na Inter Milan kwa sare ya 1-1 kwenye mechi dume kweli kweli, Inter Milan wakiwa wa kwanza kuliona lango kupitia kwa Federico Dimarco mapema dakika ya 22 kabla ya Philip Billing kusawazisha mambo jioni dakika ya 87. Inter wanaendelea kusalia kileleni…

Read More

;IGI YA MABINGWA AFRIKA: MEDEAMA 1-1 YANGA

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika dakika 45 ubao wa Uwanja wa Baba Yara Sports unasoma Medeama 1-1 Yanga ikiwa ni dakika 45 za mwanzo. Medeama walianza kupata bao kwa mkwaju wa penalti dakika ya 27 kupitia Kwa Jonathan likawekwa usawa na Pacome Zouzoua dakika ya 36. Ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua…

Read More

REAL MADRID WAWEKA REKODI YA KUTWAA MATAJI

REAL Madrid ni mabingwa baada ya kushinda kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, wakilitwaa taji hilo mara tano wakiwa na rekodi tamu ya kusepa na taji hilo mara nyingi zaidi. Real Madrid ilipata ushindi wa mabao 5-3 dhidi ya Al Hilal ya Saudia ambao walikwama kutimiza malengo yao kwenye mtanange huo….

Read More

MAYELE ANASEPA YANGA, ISHU IPO HIVI

UNAAMBIWA sasa ni rasmi kuwa mshahara wa milioni 50 aliopewa Fiston Mayele unamhalalisha hatakuwa mchezaji tena wa Yanga msimu ujao baada ya kuomba kwenda kukipiga nchini Saudi Arabia huku Yanga wakilambishwa zaidi ya Bilioni 1.2 kama dau la usajili. Mayele alijiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili kisha akaongezwa mmoja mwaka jana akitokea As…

Read More

KOCHA SIMBA AIBUKIA YANGA

MILTON Nienov aliyekuwa kocha wa makipa ndani ya Simba kabla ya kuchimbishwa leo Januari 16 ametambulishwa ndani ya Yanga. Nienov anakwenda kuchukua mikoba ya Razack Siwa ambaye anainoa timu hiyo kwa sasa. Kocha huyo raia wa Brazil aliweka wazi kuwa anaipenda Tanzania kutokana na ukarimu pamoja na mazingira mazuri. Alikuwa akimnoa Aishi Manula na sasa…

Read More

NAMUNGO FC YAMPATA MRITHI WA MOROCCO

KLABU ya Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imetangaza benchi jipya la ufundi ambalo litainoa timu hiyo kwa msimu wa 2021/22. Hiyo ni baada ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Hemed Morocco kuomba kujiweka kando kuinoa timu hiyo kutokana na mwendo ambao haukuwa mzuri kwenye mechi za ligi kwa msimu huu. Namungo imemtambulisha Hanour…

Read More

MUDA WA DHAHABU UMEBAKI UTUMIKE KWA UMAKINI

MUDA uliobaki kwa sasa ni wa dhahabu kwa timu zote ambazo zinajiandaa na msimu ujao wa 2022/23 ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Kwa sasa siku zinahesabiki hasa kuelekea mwanzo wa msimu ujao ukizingatia kwamba Agosti 13 mchezo wa Ngao ya Jamii unatarajiwa kuchezwa. Huu mchezo ni maalumu kwa ajili ya ufunguzi wa ligi na…

Read More

HAKUNA KAZI NYEPESI MUHIMU KUJITOA

TAYARI kete ya kwanza imeshachezwa na kila mmoja ameona namna hali ilivyokuwa kwenye mchezo wa fainali ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika. Leo msafara wa Yanga umeanza safari kueleka Algeria iwe ni safari njema na yenye mafanikio kwenu wawakilishi wa Tanzania kimataifa. Hakuna ambaye alikuwa amebeba matokeo uwanjani kwenye mchezo wa fainali ile ya…

Read More

NGOMA NI NZITO KIMATAIFA KETE ZA UGENINI

BAADA ya Machi 12 2024 droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika kupangwa ambapo kila timu iliyokuwa hatua ya robo fainali ilipata fursa ya kutambua kigogo yupi atakutana naye ndani ya uwanja kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza. Ipo wazi kwamba Simba kete yake ilikuwa dhidi ya Al Ahly ya Misri mchezo uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku…

Read More