SIMBA SC KUCHEZA FAINALI KESHO KMC COMPLEX

BENCHI la ufundi la Simba SC limebainisha kuwa litacheza mchezo wao dhidi ya Pamba Jiji Uwanja wa KMC Complex kama fainali ili kuvuna pointi tatu. Kwenye msimamo ni nafasi ya pili ikiwa na pointi 63 baada ya mechi 24 inatarajiwa kuwakaribisha Pamba Jiji inayonolewa na Kocha Mkuu, Fred Felix Mei 8 2025 kwenye msako wa…

Read More

JOB KUKOSA KAZI MBELE YA MABOSI WAKE

DICKSON Job, beki kitasa wa Yanga ambaye ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi anatarajiwa kuukosa mchezo ujao wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar. Job aliibuka ndani ya Yanga akitokea Mtibwa Sugar ambapo huko pia alikuwa ni nahodha na chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Zuber Katwila ambaye alikuwa anakinoa kikosi hicho kabla…

Read More

KHALID AUCHO AMEONGEZEWA DOZI YANGA

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Khalid Aucho ameongezewa dozi na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ikiwa ni malengo ya kumuongezea uimara wake sambamba na mshambuliaji, Clement Mzize. Gamondi anaendelea kuwapa mbinu wachezaji wa Yanga kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa baada ya kupishana na Kombe la Mapinduzi 2024, huku nyota wengine…

Read More

STARS NDANI YA MADAGASCAR TAYARI KWA KAZI

TIMU ya Taifa ya Tanzania,Taifa, Taifa Stars kesho ina kibarua kingine cha kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Madagascar katika mchezo wa kuwania Kufuzu Kombe la Dunia. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Novemba 14  na unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa timu zote kwa sasa hazina cha kupoteza zaidi ya kutafuta heshima. Jana Novemba…

Read More

BEKI MTIBWA SUGAR AINGIA ANGA ZA SINGIDA BIG STARS

BAADA ya kuwaaga mabosi wake Mtibwa Sugar beki wa kazi Nickson Kibabage anatajwa kuwa kwenye rada za kuibukia ndani ya Singida Big Stars. Nyota huyo aliwaaga wachezaji na viongozi wake rasmi Desemba 13 kwa kueleza kuwa anashukuru kwa muda wote ambao alikuwa ndani ya timu hiyo. Pia alikuwa anavaa kitambaa cha unahodha jambo ambalo liliwafanya…

Read More

SIMBA NDANI YA TABORA KUIVUTIA KASI KMC

KIKOSI cha Simba leo Desemba 22 kimewasili salama Tabora kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa Desemba 24, Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi. Ikiwa ipo nafasi ya pili na pointi 18 baada ya kucheza mechi 8 inakutana na KMC iliyo nafasi…

Read More

SIMBA NDANI YA MBEYA KUIKABILI IHEFU

KIKOSI cha Simba kimewasili Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate Mbeya Jumatatu, Aprili 9,2023. Simba imetoka kupata ushindi wa mabao 5-1 Ihefu kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali. Mchezo huo wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa…

Read More

LIVERPOOL INAKARIBIA MAKOMBE 4 KWA MSIMU HUU

LIVERPOOL baada ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, sasa kuna uwezekano wa miamba hiyo ya Anfield kutwaa makombe manne makubwa ‘quadruple’ ndani ya msimu mmoja. Itakuwa ni historia na rekodi ambayo haijawahi kuwekwa England. Liverpool iliichapa Villarreal 3-2 ugenini juzi nchini Hispania, na kuwaondoa vijana hao wa kocha Unai Emery kwa jumla…

Read More

HAJI:KUPATA SARE MFULULIZO KULITUPA SOMO

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa sare tatu mfululizo ambazo walizipata ziliwapa presha kidogo jambo ambalo liliweza kuwafanya wajipange kwa mara nyingine. Kwenye mechi tatu ambazo ni dk 270 Yanga walikwama kushinda zaidi ya kuambulia sare mazima kwenye msako wa pointi 9 waliambulia pointi tatu. Ilikuwa mbele ya Yanga, Ruvu Shooting na Tanzania…

Read More

COASTAL UNION INAJITAFUTA KIMATAIFA

UONGOZI wa Coastal Union umesema  utahakikisha kuwa unafanya vizuri kwenye ligi kuu msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao. Mpaka  sasa kwenye ligi Coastal Union ipo nafasi ya 10 ina pointi moja baada ya kucheza michezo miwili baada ya kupoteza  mchezo mmoja na kutoa sare mchezo mmoja. Timu hiyo iliwahi…

Read More

UBAGUZI WA RANGI WAITESA ENGLAND

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya England, Gareth Southgate amekiri kuwa kwenye mtego wa kupata ugumu wa kuchagua wapigaji wa penalti kwenye kikosi chake kutokana na hofu kubwa ya baadhi ya nyota wa kikosi hicho kukumbana na masuala ya ubaguzi wa rangi. Bukayo Saka, Marcus Rashford na Jadon Sancho wote walifanyiwa ubaguzi mbaya mtandaoni…

Read More