Maya’s Treasure Kasino| Inalipa Kirahisi

Bilas haka umewahi kuisikia hadithi ya Eldorado. Hadithi ambayo inatoka kwa Wahindi wa Amerika Kusini inasema kwamba Eldorado ni mkoa ambao una utajiri mwingi. Jisajili na Meridianbet kwa ushindi mkubwa.   Meridianbet na Expanse wanakuletea mchezo mwingine wa kasino ya mtandaoni wa Maya’s Treasure. Unaelezea mtaalam wa akiolojia mchanga wa Kiingereza, mwenye akili na wa…

Read More

JEMBE LA KAZI BADO LIPO AZAM FC

MTAMBO wa mabao ndani ya Azam FC bado utaendelea kuwepo hapo baada ya kuongeza kandarasi ya mwaka mmoja. Ni Idris Mbombo ambaye ana uwezo wa kufunga mabao akiwa nje ya 18 ama ndani ya 18 kwa wapinzani akiwa ndani ya uwanja. Ni shuhuda timu ya Azam FC ikigotea nafasi ya tatu huku Yanga wakitwaa ubingwa…

Read More

40 LUCKY SEVENS CHIMBO JIPYA LA MKWANJA

Machimbo ya kunyakua mkwanja ndani ya Meridianbet yamekua mengi sana kwa muda mrefu, Lakini chimbo jipya la kijanja kabisa la 40 Lucky Sevens mchezo wa Kasino ambao unaweza kukupa fursa ya kushinda kitita cha kutosha. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda mchezo huu…

Read More

RONALDO: MANCHESTER UNITED IMENISALITI

CRISTIANO Ronaldo amebainisha kuwa Klabu ya Manchester United imemsaliti kwa kuwa wanamlazimisha aondoke. Ronaldo amefunguka hayo kwenye mahojiano maalumu na gwiji wa habari, Piers Morgan. Kabla ya msimu wa 2022/23 kuanza iliripotiwa kuwa nyota huyo anataka kusepa ndani ya Manchester United baada ya timu hiyo kushindwa kupata nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya. Nyota…

Read More

BINGWA MAPINDUZI CUP KULAMBA MAMILIONI

KAMATI ya Kombe la Mapinduzi, imetangaza rasmi kwamba, bingwa wa michuano hiyo ataondoka na kitita cha shilingi milioni 100, huku mshindi wa pili kukabidhiwa shilingi milioni 70. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza Desemba 28, mwaka huu, yatashirikisha timu 12, huku msimu uliopita bingwa ambaye alikuwa Mlandege, aliondoka na shilingi milioni 50. Mwenyeketi wa Kamati ya…

Read More

AZAM FC WAIVUTIA KASI TABORA UNITED

MATAJIRI wa Dar, Azam FC hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao wa mwisho msimu wa 2024/25 wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani. Azam FC uwanja wao wa nyumbani ni Azam Complex wanafunga ukurasa wa mwisho kwa mchezo dhidi ya TaboraUnited katika msako wa pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Kwenye msimamo Tabora…

Read More

AZAM WAREJEA BONGO NA LEO WANAANZA KAZI

 BAADA ya kikosi cha Azam FC kurejea Agosti 8 kutoka Misri ambapo kilikuwa kimeweka kambi,leo Agosti 9 wachezaji wa timu hiyo wanatarajiwa kuendelea na mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Azam FC ilikuwa ni timu ya pili kutoka Tanzania kuweka kambi nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23….

Read More

BEKI WA KAZI YANGA KUWAKOSA WAARABU LEO

KWENYE mchezo wa leo wa Kombe la Shirikisho kati ya Club Africain v Yanga mwamba Djuma Shaban hatakuwa sehemu ya kikosi.  Sababu kubwa ya nyota huyo kuwekwa kando kuwakabili Waarabu wa Tunisia ni kutokuwa fiti baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa kwanza. Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi nchini Tunisia baada ya ule mchezo…

Read More