FT: TANZANIA PRISONS 1-2 YANGA

FT Tanzania Prisons 1-2 Yanga Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Goal kwa Prisons ni Jeremia Juma na Yanga. Mzize na Pacome. Kikosi cha Tanzania Prisons kinasaka pointi tatu mbele ya Yanga ambao nao wanazihitaji pointi hizo pia. Tanzania Prisons wamepata bao kipindi cha pili dakika ya 64 kupitia kwa Jeremia Juma kwa pigo la faulo iliyosababishwa…

Read More

MERIDIANBET YAFANYA UZINDUZI MKUBWA WA DUKA LA KUBETIA KINONDONI

Unapozungumzia starehe ya kubashiri mchezo huwezi kuwaacha Meridianbet wao ndio mabingwa wa hizi kazi, na kuthibitisha hili, wamezindua dula la kubashiri maeneo ya Kinondoni Mwanamboka. Fika sasa kubeti michezo yote imepewa ODDS kubwa na Machaguo Mengi. Kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri mtandaoni Meridianbet wamezindua chimbo jipya la kubetia (duka la kubeti) maeneo ya…

Read More

FT:DODOMA JIJI 0-2 YANGA,UWANJA WA JAMHURI,DODOMA

WAKIWA Uwanja wa Jamhuri,Dodoma leo Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 Dodoma Jiji na kufanya waweze kusepa na pointi tatu. Ni mabao ya Dickosn Ambundo dk ya 11 na bao la pili lilifungwa na kipa wa Dodoma Jiji,Mohamed Yusuph dk ya 35 katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Zawad Mauya jamo lililomfanya ajifunge….

Read More

SIMBA NA HESABU KUBWA KWA MASHUJAA

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba upo tayari kwa mchezo wao wa raundi ya nne dhidi ya Mashujaa ya Kigoma mwisho wa reli kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ni Aprili 8 mapema Simba waliwasili salama Kigoma kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Aprili 9 2024 saa 10:00 jioni na yule…

Read More

SITA WA SIMBA WAITWA TIMU ZA TAIFA

MASTAA sita wa Simba inayoongoza Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 wameitwa kwenye majukumu yao ya timu ya taifa kwa ajili ya kuwania kufuzu AFCON 2025. Ipo wazi kwamba Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kwenye mechi mbili za ligi ambazo ni dakika 180 imekomba jumla ya pointi sita na safu ya ushambuliaji imefunga…

Read More

YANGA HAO 16 BORA,MAYELE ATUPIA

NYOTA Fiston Mayele wa Yanga kipindi cha pili ameweza kupachika bao la ushindi katika mchezo wa Kombe la Shirikisho uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Bao hilo la Mayele lilipachikwa dakika ya 53 akiwa ndani ya 18 na kuwafanya mashabiki wa Yanga kunyanyuka jukwaani baada ya kuifunga Mbao FC. Ushindi huo unaifanya Yanga kutimga hatua ya…

Read More

NYOTA HUYU SIMBA QUEENS ASEPA NA MPIRA

NYOTA wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa amesepa na zawadi ya mpira baada ya kufunga hat trick katika Ligi ya Wanawake Tanzania. Hat trick hiyo ilipachikwa kipindi cha pili kwenye mchezo dhidi ya Alliance Girls uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Januari 27 2024. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba Queens 7-0 Alliance Girls ambao waliyeyusha…

Read More

HALLA CITY YAWAVUA UBINGWA REAL MADRID

MANCHESTER City imetinga hatua ya Fainali ya UEFA Champions League 2022/23 itamenyana na Inter Milan hatua ya fainali. Real Madrid ambao walikuwa ni mabingwa watetezi wamevuliwa taji hilo rasmi ugenini. Chini ya Pep Guardiola katika mchezo wa hatua ya nusu fainali ya pili uliochezwa Uwanja wa Etihad iliibuka na ushindi wa mabao 4-0. Ni Bernardo…

Read More

AUBA KAZI HAKUNA TENA

IMERIPOTIWA kuwa Chelsea wapo kwenye mpango wa kuvunja mkataba na staa wao Pierre Emerick Aubameyang mwishoni mwa msimu huu. Auba amekuwa hana nafasi kikosi cha kwanza ndani ya Chlesea chini ya Kocha Mkuu, Graham Potter. Tangu ametua hapo msimu huu mambo yanaonekana kuwa magumu kwa staa huyo. Ilikuwa dakikasaba tu alitumia nyota huyo kwenye mchezo…

Read More