
VIINGILIO VYA YANGA V MAMELODI KIMATAIFA, MZUNGUKO BURE
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unawajali mashabiki na hauna tamaa ya fedha hivyo wameamua kupunguza viingilio kwenye kila sehemu huku wakiondoa kabisa upande wa mzunguko. Yanga inatarajiwa kuwa na kazi kusaka ushindi Machi 30 mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini ambapo tayari maandalizi yameanza kufanyika. Ali Kamwe,…