MTIBWA SUGAR WAPOTEZA POINTI MBELE YA SIMBA

IKIWA Uwanja wa Manungu, Morogoro katika safu za milima ya Uluguru, Mtibwa Sugar imeyeyusha pointi tatu. Ubao umesoma Mtibwa Sugar 2-4 Simba ukiwa ni mchezo wa ufunguzi Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Katika mchezo wa Agosti 17 Uwanja wa Manungu, Mtibwa Sugar walikuwa imara kwenye mashambulizi ya kushtukiza pamoja na kujilinda kwa tahadhari huku…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO

UONGOZI wa Ihefu umeweka wazi kuwa mechi tatu zilizobaki watacheza kwa umakini kupata pointi tatu. Timu hiyo ipo nafasi ya 8 ikiwa imekusanya pointi 33 huku vinara wa ligi wakiwa ni Yanga wenye pointi 71. Zote zimebakiza mechi tatu mechi ijayo kwa Yanga ni dhidi ya Dodoma Jiji na kwa Ihefu ni dhidi ya Coastal…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE KUJIPANGA UPYA

FUTURE FC ya Misri imewafungashia virago Singida Fountain Gate ya Tanzania katika mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika. Oktoba Mosi, 2023 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Al Salaam, ulisoma Future 4-1 Singida Fountain Gate. Bao pekee la Singida Fountain Gate lilipachikwa na nyota Marouf Tchakei kwenye mchezo huo ambao Singida…

Read More

IHEFU HAWANA JAMBO DOGO WATOA ZAWADI YA CHRISTMAS

KABLA ya mabox kuanza kufunguliwa tayari Ihefu wameshakamilisha kutoa zawadi yao kwa mashabiki zao. Ni msimu wa sikukuu wa Christmas na Mwaka Mpya 2023 pointi tatu waliziweka kibindoni na kuwapa zawadi ya furaha mashabiki zao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Highland Estate, Septemba 24 ulisoma Ihefu 3-1 Mtibwa Sugar. Mabao kwenye mchezo…

Read More

SIMBA YANYOOSHWA NA WAGONGA NYUNDO

UWANJA wa Sokoine, Mbeya City wameinyoosha Simba kwa bao 1-0 lililopachikwa na Paul Nonga mapema kipindi cha kwanza. Haikuwa rahisi kwa Simba kuweza kumtungua kipa namba moja wa Mbeya City, Deogratius Munish ambaye alikuwa kwenye ubora wake mwanzo mwisho. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Simba kupoteza ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu…

Read More

KOCHA AZAM FC AIBUKIA BIASHARA UNITED

BIASHARA United imemtambulisha rasmi Vivier Bahati kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na tayari ameanza kazi rasmi kuinoa timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Bara. Bahati alikuwa anainoa timu ya Azam FC mkataba wake ulivunjwa kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo na waliondoka pamoja na Kocha Mkuu, George Lwandamina. Anachukua mikoba ya Patrick Odhiambo ambaye…

Read More

PENALTI YAZUA UTATA FUNGUA MWAKA

JANUARI Mosi 2023 ilishuhudiwa penalti ambayo iliwafanya wachezaji wa Namungo FC kuonekana wakimlalamikia mwamuzi kutokana na mazingira ya penalti hiyo kuleta utata. Langoni kwa Namungo FC alikaa kipa mzawa Deogratius Munish, ‘Dida’ ambaye hakuwa na chaguo kutokana na mpigaji kupiga kwa umakini. Ni Maabad Maulid alifunga bao hilo akisawazisha bao lililofungwa na Ibrahim Mkoko nakuwafanya…

Read More

BOSI SIMBA AMEFUNGUKA MWENDO WA TIMU NA UGUMU ULIOPO

MENEJA wa idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mwendo ambao wanakwenda nao kwenye mechi za kimataifa haujawa mzuri jambo linalowaongezea ugumu kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Timu hiyo Novemba 25 ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Hatua ya Makundi….

Read More

BREAKING: JOHN BOCCO AKUTANA NA THANK YOU

MOJA ya washambuliaji bora ndani ya Bongo kwa wazawa ambaye alikuwa ndani ya kikosi cha Simba John Bocco amepewa mkono wa asante. Nyota huyo kafunga zaidi ya mabao 100 ndani ya ligi akiwa ni mshambuliaji mwenye mabao mengi kwa wazawa rekodi ambayo inaishi. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2023/24 haukuwa bora kwake Bocco ambapo…

Read More

Mchezo wa Kasino Mafia Clash, Kutana na Mwamba Anayelipa Zaidi

Tunakuletea mpambano wa mafia ambapo utakutana na bonasi za kasino zisizoweza kushindwa. Ni wakati wa kuchagua upande utakaokupeleka kwenye mizunguko ya mara nyingi. Furahia sherehe ya kipekee. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza…

Read More

AZAM FC YATINGA FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI

MABINGWA wa kihistoria kwenye Kombe la Mapinduzi, Azam FC leo wameibuka na ushindi kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi mbele ya Yanga kwa ushindi wa penalti. Dakika 90 zilikamilika kwa timu zote mbili kutoshana nguvu hivyo mshindi ametafutwa kwa kupitia mikwaju ya penalti. Ilikuwa ni moja ya mchezo wenye ushindani mkubwa ambapo…

Read More

MASHUJAA WAINGIA ANGA ZA SIMBA NA YANGA

KARIBU mgeni mwenyeji apone, ipo hivyo jambo ambalo wamekuja nalo Mashujaa FC kutoka Kigoma kwa kuingia anga za Simba na Yanga. Ikumbukwe kwamba Mashujaa FC ilipata nafasi ya kushiriki Ligi Kuu Bara baada ya kuifungashia virago Mbeya City kwenye mchezo wa mtoano hivyo Mbeya City itashiriki Championship msimu wa 2023/24. Ni Mashujaa Day timu hiyo…

Read More