
HAPA NDIPO TATIZO LA SIMBA LILIPO
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amebainisha tatizo la Simba lilipo jambo ambalo limekuwa likisababisha kuruhusu kufungwa kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24.
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amebainisha tatizo la Simba lilipo jambo ambalo limekuwa likisababisha kuruhusu kufungwa kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24.
KIUNGO wa Yanga ambaye mtindo wake wa ushangiliaji kila anapofunga ni kuonekana kama anaongea na simu amechaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya kikosi cha Yanga kwa Februari. Ni Mudathir Yahya ambaye katupia jumla ya mabao 8 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 amekuwa chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi…
Promosheni ya Pragmatic Play ya Drop&Win sasa imeanza tangu Machi 6, 2024 na itadumu mpaka 2025 Promosheni hii ni maalum kwa wateja wote waliojisajili na Meridianbet ambapo kiasi cha Zaidi ya Tsh 80,000,000,000/= zitatolewa kama mvua katika kipindi chote cha Promosheni. Promosheni hii ya Kasino ya Mtandaoni inajumuisha mashindano ya kila siku mia tatu sitini…
Ligi ya mabingwa ulaya usiku wa leo itapigwa michezo mikali sana mzunguko wa pili hatua ya 16 bora, Ambapo michezo hii itatamua hatma ya wa timu hizi katika safari yao ya kuitafuta hatua ya robo fainali. Michezo hii mikali itapigwa katika viwnaja viwili ambapo mchezo wa kwanza kati ya Borussia Dortmund dhidi ya PSV Eindhoven…
KAZI inaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo vinara wa ligi na mabingwa watetezi Yanga wanatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Geita Gold. Migue Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex….
MATAJIRI wa Dar,Azam FC wameendeleza mwendo wa kupiga hatua zaidi kwaajili ya kuwa na wachezaji bora na kuendeleza kutoa ajira kwa Watanzania kupitia sekta ya michezo. Taarifa ambayo imetolewa na Azam FC imeeleza namna hii: “Tumeingia makubaliano ya ushirikiano na vituo vya kulea vipaji (academies) nane za mikoa mbalimbali nchini. “Vituo hivyo nane vitakuwa ni…
AMETUPA jiwe gizani Ali Kamwe kuhusu timu kuuzwa bila kujua na kubainisha kuwa watakuwa na kazi kubwa kuendeleza kasi yao ya kusaka ushindi kwenye mechi ambazo wanacheza ndani ya uwanja. Ipo wazi kwamba Yanga ni vinara wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 wakiwa na pointi 49 baada ya kucheza jumla ya mechi 18
KATIKA mechi tatu àmbazo ni dakika 270 Simba imeruhusu jumla ya mabao manne ikikwama kuondoka na clean sheet katika mechi hizo. Ngoma ni nzito kwenye upande wa ulinzi huku benchi la ufundi likibainisha kuwa litafanyia kazi hayo yote kwenye uwanja wa mazoezi. Seleman Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema wanatambua kuwa kuna makosa yanatokea jambo…
Hapo mwanzo baada ya kuutambulisha mchezo wa Super Heli ambao namba moja pendwa kwa michezo ya kasino ya mtandaoni, wengi walikuwa wanauchukulia poa poa tu lakini leo nataka nikujuze usichokifahamu kingine kwenye mchezo huu. Pale Meridianbet kuna michezo mingi sana ya kasino, kuna Aviator, Poker, Roulette nk lakini huu umekuwa gumzo kwa wachezaji wote walioweka…
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Aziz KI ameweka wazi kuwa anafuraha kubwa kupata nafasi ya kufunga kwenye mechi ambazo anacheza na tmu kupata ushindi akiweka wazi kuhusu suala la ufungaji bora
Mtoto hatumwi dukani leo kwenye ligi ya mabingwa barani ulaya ambapo itapigwa michezo ya kibabe katika hatua ya 16 bora ili kutoa tiketi ya robo fainali kwa vilabu vinne vitakavyocheza leo. Leo itapigwa michezo miwili mikali ya ligi ya mabingwa ulaya ikihusisha timu nne ambapo michezo yote iko wazi na kila mmoja ana uwezo wa…
RASMI leo Machi 12 2024 droo ya Ligi ya Mabingwa Afrika imepangwa ambapo kila mmoja ametambua atakayekutana naye ndani ya uwanja kusaka ushindi kutinga hatua ya robo fainali. Simba imepangwa kukutana na Al Ahly ya Misri wakati Yanga ikiangukia mikononi mwa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika michezo yao ya robo fainali Ligi ya Mabingwa…
?? FUTURE FC ? ZAMALEK ?? ?? ABU SALIM ? RS BERKANE ?? ?? RIVERS UTD ? USM ALGER ?? ?? STADE MALIEN. ? DREAMS FC ?? NANI ATAKWEBDA NUSU HAPO UNAONA…?? HAYA TUNANGOJA LIGI YA MABINGWA AFRIKA…
AMETEMBEZA mkwara huu bosi Yanga ishu ya kupata ushindi ndani ya uwanja kwenye mechi za ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara
KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate umebainisha kuwa unahitaji pointi tatu muhimu. Ikumbukwe kwamba Simba imetoka kupata ushindi dhidi ya Coastal Union kwenye mchezo wa ugenini uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Kwenye msimamo ipo nafasi ya tatu na pointi 39 baada ya kucheza mechi 17 vinara wa ligi ni…