
AMEIBUKA NA NENO HILI MWAMBA AZIZ KI
AMEIBUKA na neno hili mwamba Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi
AMEIBUKA na neno hili mwamba Aziz KI kiungo mshambuliaji wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi
Utaandaa matunda yako unayotaka kutumia unaweza kutumia Strawberry, Cantaloupe ni jamii ya matunda ya limao, embe, parachichi, halafu kwenye kusaga usitumie maji tumia juisi ya Apple, au zabibu, maziwa na asali pamoja na sukari nyeupe. Jisajili Meridianbet upate bonasi za kasino na michezo mingi ya bure. Utachagua unaanza kusaga matunda gani kwa mfano utaanza na…
KUNA vita nyingine kubwa kwenye msako wa kiatu cha ufungaji bora ambapo kuna mwamba mmoja kutoka Yanga na mwingine kutoka Azam FC kila mmoja akiwa kwenye ubora wake katika mechi ambazo anacheza.
LICHA ya mazingira ya Uwanja wa Meja Isamuhyo kutokuwa rafiki kwa timu zote mbili ngoma imekuwa ngumu kwa wote wawili kugawana pointi mojamoja. Ubao umesoma JKT Tanzania 0-0 Yanga baada ya filimbi ya mwisho kwa mwamuzi kupigwa katika mchezo wa mzunguko wa pili. Ikumbukwe kwamba mzunguko wa kwanza JKT Tanzania walishuhudia ubao wa Uwanja wa…
Usiku wa leo zitapigwa mechi mbalimbali kwenye ligi tofauti tofauti barani ulaya ila kwa kiwango kikubwa macho yatakua pale Uingereza kwenye dimba la Goodson Park kwenye mchezo wa Derby ya Merseyside. Derby ya Merseyside imemua moja ya derby zenye mvuto mkubwa nchini Uingereza kila ambapo inakua inapigwa, Lakini leo itakwenda kua na mvuto wa tofauti…
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Kombe la Muungano dhidi yaKVZ ambao unatarajiwa kuchezwa leo Aprili 24, Uwanja wa New Amaan Complex. Kikosi hicho kinatarajiwa kuwa na kazi dakika 90 kusaka matokeo ambapo kwenye mechi zake tano mfululizo kimekwama kupata ushindi. Matola amesema; “Tunatambua umuhimu wa mchezo wetu…
Je, umewahi kucheza mchezo wa droo wenye droo 10? Ikiwa hujawahi, sasa unapata nafasi kamili ya kufanya hivyo. Kupitia Meridianbet Kasino ya Mtandaoni kuna furaha inakusubiri kupitia droo moja tu ya ushindi. Taarifa za Msingi 420 Blaze It ni mchezo wa kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma 1×2 Gaming na una droo 10. Kila…
BEKI wa kazi ngumu Dickson Job tuzo ya beki bora inanukia kwake kwa mara nyingine tena kutokana na ushirikiano mkubwa uliopo katika timu hiyo. Mbali na Job ambaye ni mchezaji wa kwanza kufunga bao ndani ya Ligi Kuu Bara ilikuwa dhidi ya KMC kuna kitasa kingine kinaitwa Bacca kitampa ushindani mkubwa kujua nani atakuwa nani….
INATAJWA kwamba Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha huenda akasepa ndani ya timu hiyo kutokana na mwendo ambao upo kwa kushindwa kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ambazo wanacheza hivi karibuni.
KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ameweka wazi kuwa kuwa bora ndani ya uwanja ni kufuata maelekezo ya mwalimu. Fei amekuwa bora msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa Azam FC ni mabao 14 katupia ndani ya ligi akiwa namba moja kwa wazawa wenye mabao mengi. Nyota huyo bao la 14 alipachika kwenye mchezo…
Uingereza kutapigwa mechi kubwa na ya kibabe kabisa katika ya miamba miwili ya soka kutoka jiji la London klabu ya Arsenal watacheza dhidi ya Chelsea. Mchezo huu ni mchezo wa Derby kwani vilabu vyote vinatoka katika jiji la London na timu zinazokutana pia ni kubwa, Hivo inatosha kuonesha mchezo wa leo utakaokwenda kupigwa katika dimba…
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga uliotarajiwa kuchezwa Aprili 23 2024 Uwanja wa Meja Isamuhyo umeahirisha. Huu ni mchezo wa mzunguko wa pili ambao ulitarajiwa kuchezwa kwa dakika 90 kusaka mshindi ambaye angekomba pointi tatu. Timu zote mbili zilikuwa zimewasili uwanjani kwa ajili ya mchezo huo wa ligi uliokuwa…
KIKOSI cha Simba leo kimeanza safari kuelekea Zanzibar kwa ajili ya mashindano ya Muungano Cup 2024. Simba haijawa kwenye mwendo mzuri ndani ya ligi baada ya kukwama kuonyesha uwezo wake wa kutumia nafasi dhidi ya Yanga ndani ya Ligi Kuu Bara. Mzunguko wa kwanza ilipoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 1-5…
BENCHI la ufundi la JKT Tanzania limebainisha kuwa litacheza mechi zote ambazo zimebaki kama fainali ikiwa ni pamoja na mchezo wa leo dhidi ya Yanga. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Isamuhyo ambapo wenyeji watakuwa ni JKT Tanzania wenye pointi 22 wakiwa nafasi ya 15 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara. George Mketo, kocha msaidizi…
Blackjack 2 ni moja ya mchezo wa kadi rahisi sana kucheza na kuibuka mshindi, wakati huo unafurahia mhcezo kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni, hakikisha tu umejisajili na kama bado gusa hapa hapa kujisajili Meridianbet. Kabla ya yote hebu tuzungumzie kidogo kuhusu mchezo wa blackjack wenyewe. Blackjack ni mchezo wa kadi ambao unajulikana kama moja ya…
HENOCK Inonga katika Ligi Kuu Bara sio chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Abdelhakh Benchikha kwa kuwa anatumia muda mwingi nje ya uwanja. Beki huyo yupo kwenye ulimwengu wake mwenyewe kutoakana na kutokuwa kwenye ubora wake katika mechi ambazo wanacheza msimu huu. Msimu wa 2023/24 umekuwa ni mbaya kwake baada ya kuumia katika mchezo wa…
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Yanga leo wanakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya JKT Tanzania. Yanga Aprili 20 2024 imetka kukomba pointi tatu dhidi ya Simba kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi. Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Yanga 2-1 Simba hivyo ndani ya msimu wa 2023/24 nje…