Home Sports ANASEPA NDANI YA SIMBA MWAMBA BENCHIKHA? SABABU HIZI

ANASEPA NDANI YA SIMBA MWAMBA BENCHIKHA? SABABU HIZI

INATAJWA kwamba Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha huenda akasepa ndani ya timu hiyo kutokana na mwendo ambao upo kwa kushindwa kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ambazo wanacheza hivi karibuni.

Previous articleFEI TOTO AFICHUA JAMBO HUKO
Next articleJOB ANAPAMBANA NA YANGA