Home Sports ANASEPA NDANI YA SIMBA MWAMBA BENCHIKHA? SABABU HIZI Sports ANASEPA NDANI YA SIMBA MWAMBA BENCHIKHA? SABABU HIZI April 24, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp INATAJWA kwamba Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha huenda akasepa ndani ya timu hiyo kutokana na mwendo ambao upo kwa kushindwa kupata matokeo kwenye mechi za ushindani ambazo wanacheza hivi karibuni.