AFCON Yazua Balaa: Aubameyang Afungiwa, Gabon Yasimamisha Timu, Kocha Aachishwa Kazi

Serikali ya Gabon imesitisha ushiriki wa timu ya taifa ya soka “The Panthers” na kumfungia mshambuliaji nyota Pierre-Emerick Aubameyang, kufuatia kutolewa kwao kwenye Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Hatua hizo zilitangazwa na Waziri wa Michezo, Simplice-Desire Mamboula, baada ya Gabon kufungwa 3–2 na Ivory Coast mnamo Desemba 31, huku wakimaliza mkiani katika…

Read More

Likizo Kubadilishwa Kuwa Uzoefu wa Ushindi Na Sweet Holiday Chase

Kipindi hiki cha mapumziko, Meridianbet imeleta kitu kipya kabisa, Sweet Holiday Chase, promosheni inayochanganya burudani, msisimko na bahati katika kifurushi kimoja kama zawadi za msimu huu wa mapumziko. Kwa mfuko wa zawadi unaokadiriwa kufikia TSh 14,500,000,000/- hii si ofa ya kupita tu, ni fursa ya ushindi inayokukaribisha kuifungua kama sanduku la zawadi kila unapozungusha. Tofauti…

Read More

Ratiba ya Mechi za Mtoano AFCON 2026

Januari 3, 2026 19:00 – Senegal 🇸🇳 vs Sudan 🇸🇩 22:00 – Mali 🇲🇱 vs Tunisia 🇹🇳 Januari 4, 2026 19:00 – Morocco 🇲🇦 vs Tanzania 🇹🇿 22:00 – South Africa 🇿🇦 vs Cameroon 🇨🇲 Januari 5, 2026 19:00 – Egypt 🇪🇬 vs Benin 🇧🇯 22:00 – Nigeria 🇳🇬 vs Mozambique 🇲🇿 Januari 6, 2026…

Read More

Meridianbet Kuleta Mchezo Unaozungumza kwa Vitendo Ni Meridian Panda Deluxe

Meridian Panda Deluxe imebeba falsafa tofauti ya sloti, ambapo ubunifu unaonekana katika mpangilio wake rahisi lakini wenye mvuto. Ubao wa 3×3 hauonekani kama kizuizi, bali kama nafasi iliyo wazi kwa matokeo ya haraka, inayomfaa mchezaji anayethamini mwendo na ufanisi katika kila mzunguko. Unapoanza kucheza, mazingira yanakuchukua polepole. Mandhari ya msitu wa mianzi inaleta hali ya…

Read More

Camara ni njano na kijani

Mohamed Damaro Camara rasmi ni mali ya Yanga SC ikiwa ni zawadi kwa mashabiki ndani ya 2025 kwa kazi ndani ya 2026. Desemba 31,2025 Yanga SC ambao ni mabingwa watetezi wamemtambulisha rasmi Camara kuwa ingizo jipya kwenye kikosi hicho kinachotetea ubingwa. Hayo yote ni baada ya makubaliano kwa pande zote mbili kuhusu kupata huduma yake…

Read More

Kiungo huyu Okello kwenye hesabu Yanga SC

INAELEZWA kuwa Yanga SC wamefikia hatua nzuri kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uganda, ambaye bado kijana. Kijana huyo mwenye maiaka 25 alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Simba SC msimu uliopita ilikuwa ngumu kumpata kutokana na kanadarasi yake kuwa ya mwaka mmoja. Kwa sasa ni miezi sita inatajwa kusalia huku…

Read More

Kocha mpya Simba SC tayari kwa kazi

Kocha Mkuu wa Simba SC Steve Barker amewasili nchini kwa maandalizi ya mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Desemba 29,2025 Barker aliwasili Tanzania akiwa na wasaidizi wawili wapya tayari kwa kuwafundisha wachezaji wa timu hiyo yenye maskani yake Msimbazi. Simba SC imetoka kuachana na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev na benchi lake la ufundi kutokana na…

Read More

iMoon Yaungana Na Meridianbet, Teknolojia, Msisimko na Ushindi Vinakutana

Meridianbet imefungua ukurasa mpya katika historia ya kasino mtandaoni kwa kuileta iMoon, jukwaa linaloleta mabadiliko halisi katika namna wachezaji wanavyocheza na kushinda. Katika enzi ya burudani ya kasi, wapenzi wa kasino hawahitaji tena michezo ya kawaida, wanahitaji uzoefu unaochanganya akili, maamuzi ya haraka na msisimko wa kila sekunde. iMoon limekuja kujibu hitaji hilo. Kupitia ujio…

Read More