
LIVE: SIMBA SC 1-1 RS BERKANE, FAINALI, MEI 25 2025
FT: Uwanja wa New Amaan Complex Simba SC 1-1 RS Berkane, (1-3) RS Berkane wanapata bao la kuweka usawa dakika ya 90. Dakika ya 70 Steven Mukwala alipachika bao ambalo VAR limefuta kwa kueleza kuwa alikuwa kwenye mtego wa kuotea. Yusuph Kagoma kiungo wa Simba SC ameonyeshwa kadi mbili za njano na kuonyeshwa kadi nyekundu…