LIVA MABINGWA WAPYA EPL

Liverpool ni Mabingwa wapya wa Ligi Kuu England msimu wa 2024/25 kufuatia ushindi mnono wa 5-1 dhidi ya Tottenham Hotspur katika dimba la Anfield. Majogoo wametwaa ubingwa huo wa 20 kihistoria kwenye Ligi Kuu England zikiwa zimesalia mechi nne Ligi hiyo kufikia ukomo wakifikisha pointi 82 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. FT: Liverpool 5-1…

Read More

WIKIENDI YA MOTO NA MERIDIANBET TIMIZA NDOTO YAKO

Leo hii maliza wikendi yako ukiwa na jamvi la uhakika ndani ya wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Timu za ushindi zipo tayari kukupatia matokeo. Weka dau lako na ujihakikishie ushindi sasa. Kule Italia, SERIE A itaendelea kuvurumishwa vilivyo ambapo Inter Milan vinara wa ligi watamkaribisha AS Roma ambao wamechwa pointi 14 hadi sasa. Inzaghi anahitaji…

Read More

SHINDA SIMU MPYA ZA KISASA NA MERIDIANBET!

Meridianbet inazidi kuwapa wateja wake burudani ya kipekee! Sasa unayo nafasi ya kipekee ya kuondoka na moja kati ya Samsung A25 mpya kabisa (5x) kupitia promosheni ya kusisimua: Jisajili, Weka Amana, Cheza na Ushinde! Ni rahisi kushiriki: 👉 Jisajili kwenye Meridianbet. 👉 Weka amana kwenye akaunti yako. 👉 Cheza Kasino au kubashiri Michezo yoyote. Kila…

Read More

HII HAPA RATIBA YA PREMIER LEAGUE

NI Jumamosi ya kazikazi Aprili 26 2025 kuna mechi kali ambazo zinatarajiwa kuchezwa ndani ya Premier League kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Miongoni mwa timu hizo ikiwa ni wiki ya 34 ni Chelsea ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 57 itakuwa kazini kumenyana na Everton iliyo nafasi ya…

Read More

SERIKALI INA MATUMAINI KWA SIMBA SC KIMATAIFA

NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma amebainisha kuwa ana matumaini ya kuona Simba SC inapatata matokeo mazuri kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unaotarajiwa kuchezwa Afrika Kusini, Aprili 27 2025. Simba SC inakumbuka kwamba mchezo uliochezwa Tanzania ilipata ushindi wa bao 1-0 likifungwa na Jean Ahoua inakibarua cha kusaka ushindi wa…

Read More

UTAMU WA UEFA KUKUJIA HIVI KARIBUNI

Ukiwa unajiuliza ni wapi unaweza kujihakikishia ushindi wa maana, mimi nakwambia chimbo ni moja tuu nalo ni Meridianbet, ambapo Nusu Fainali za kwanza UEFA kupigwa Jumanne na Jumatano. Je nani kuibuka bingwa? Jumatano hii mechi kali kabisa Barcelona atakuwa nyumbani kukipiga dhidi ya Inter Milan ya Simone Inzaghi. Barca kwanza ndio vinara wa Laliga wakiwa…

Read More

HAWA HAPA WAKALI WAKUCHEKA NA NYAVU

CLEMENT Mzize nyota wa kikosi cha Yanga ni namba moja kwa wakali wakucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25. Kutoka kwenye ligi namba nne kwa ubora Afrika, vita ni kali kwenye eneo la ushambuliaji huku kukiwa na mzawa mmoja mwenye zali lakucheka na nyavu akiwa na mabao 13. Mzize alipachika…

Read More