Bilioni 6 Kiganjani Mwako! Meridianbet Yaja na Promosheni ya Nguvu

Meridianbet, jina kubwa katika ulimwengu wa kubashiri Tanzania, limezindua promosheni kabambe ya Playson Short Races, mashindano ya kila usiku yanayowapa wachezaji nafasi ya kujinyakulia mamilioni kwa kasi ya ajabu. Kuanzia Septemba 9 hadi mwisho wa mwezi huu, mashindano haya yatafanyika kila siku kuanzia saa 4:00 usiku hadi saa 8:50 usiku kwa saa za Afrika Mashariki,…

Read More

FT: Wiliete SC 0-3 Yanga SC

FT: Wiliete SC 0-3 Yanga SC Mchezo umekamilika Yanga SC ikiwa ugenini ikipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Wiliete. Mabao ya Yanga SC yamefungwa na Aziz Andambilwe dakika ya 31, Edmund John dakika ya 71 na Prince Dube dakika ya 79. Dakika ya 88 nahodha wa Wiliete anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo nyota…

Read More

KOCHA FADLU DAVIDS KUSEPA SIMBA SC, KAZINI KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba SC Fadlu Davids anatajwa kuomba kuondoka ndani ya kikosi hicho kinachoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Fadlu yupo na kikosi nchini Botswana kwa ajili ya mchezo wa hatua ya awali dhidi ya Gaborone United unaotarajiwa kuchezwa Septemba 20. Simba SC imetoka kupoteza mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga SC. Katika…

Read More