Yanga SC vs Wiliete SC ni Jumamosi hii kwa Mkapa

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika hatua ya awali wanakibarua cha kusaka ushindi dhidi  ya Wiliete SC Jumamosi hii. Yanga SC itaingia uwajani ikiwa na faida ya ushindi wa mabao 3-0 waliyopata katika mchezo wa ugenini mabao yakifungwa na Aziz Andambwile aliyefungua ukurasa katika anga la kimataifa, Edmund John na Prince Dube. Ali…

Read More

Gianni Infantino Asimama Na Amani, Ataka Ulimwengu Kuwaunganisha Watu Kupitia Kandanda

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, ametoa wito wa amani duniani, akisisitiza haja ya kulinda utu wa binadamu hasa kwa watoto na kina mama wanaoteseka kutokana na vita na migogoro. Akizungumza katika mkutano wa Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Infantino alisema: “Sote tunajua kwamba tunaishi katika ulimwengu uliogawanyika, ulimwengu mkali,…

Read More

Europa League Moto Kuchemka, Salzburg vs Porto: Nani Ataendelea na Moto wa Ushindi?

Mashabiki wa soka duniani wanajiandaa kwa usiku wa burudani barani Ulaya, ambapo michuano ya Europa League msimu wa 2025/26 inaendelea kwa kishindo. Viwanja mbalimbali vitafurika kwa kelele, tambo na matumaini, huku timu mahiri zikichuana. Kwa wabashiri, Meridianbet imeweka odds kubwa kukupa nafasi ya kuvuna ushindi. Mchezo wa kuvutia unatarajiwa kuchezwa Villa Park, ambapo Aston Villa…

Read More

Cheza Aviator Ushinde Samsung A26 Mpya!

Meridianbet Inawaletea Wachezaji Fursa ya Ushindi wa Kipekee. Meridianbet, kampuni inayoongoza katika michezo ya kasino na kubashiri mtandaoni, inawapa wateja wake fursa ya kipekee ya kushinda Samsung A26 mpya mwezi huu kupitia mchezo wa kisasa wa Aviator. Kampeni hii inawalenga wachezaji wote wanaotaka msisimko wa kubashiri, burudani ya kipekee na nafasi ya kushinda zawadi kubwa….

Read More

Simba SC vs Fountain Gate kupigwa Uwanja wa Mkapa

SELEMAN Matola kocha msaidizi wa Simba SC amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara ya NBC dhidi ya Fountain Gate unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Septemba 25 2025. Huu unakuwa mchezo wa kwanza kwa Simba SC msimu wa 2025/26 kwenye ligi ambayo imeanza kasi Septemba 17 kwa mechi za ushindani kuendelea ndani…

Read More

Oscar Mirambo Ateuliwa Kaimu Katibu Mkuu wa TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo kuanzia Oktoba 1, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, uteuzi huo unakuja kufuatia kumalizika kwa mkataba wa aliyekuwa Katibu Mkuu, Kidao Wilfred, ambao unahitimishwa tarehe 30 Septemba…

Read More

Kikwete Akutana na Bill Gates Katika Hafla ya Goalkeepers New York

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameungana na mfadhili maarufu duniani, Bill Gates, katika hafla ya Goalkeepers iliyofanyika usiku kuamkia leo jijini New York, Marekani. Hafla hiyo, iliyoandaliwa na Taasisi ya Bill & Melinda Gates Foundation, ilikusanya viongozi, wadau wa maendeleo na watu mashuhuri kutoka pande mbalimbali za dunia,…

Read More

Dkt. Samia Ahidi Mradi wa Umeme na Barabara Kuboresha Maisha ya Wananchi Masasi

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kujengwa kwa njia ya kusafirisha umeme kutoka Ruvuma–Tunduru hadi Masasi mkoani Mtwara, ili kuongeza uhakika wa upatikanaji wa nishati hiyo katika mkoa huo. Akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja…

Read More

Meridianbet Yazindua Mchezo Mpya wa Kusisimua – Meridian Bonanza

Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa kupitia mchezo mpya wa slot Meridian Bonanza. Huu ni mchezo ulioundwa kwa ajili ya wapenzi wa kasino wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi kubwa ya kupata ushindi. Namna mchezo unavyofanya kazi: Kila spin inachezwa kwenye mfumo wa reels 6×5, ambapo alama zinazofanana zinapojipanga zinafungua ushindi. Mfumo wa Tumble Feature unaruhusu alama mpya kuingia baada…

Read More