Samir wa Kinyulinyuli sasa anafanya Muziki wa Injili na Sio Bongo Fleva
UNAZIKUMBUKA zile kazi ambazo zilikuwa zinapigwa kila kona kutoka kwa kijana Samir wa Kinyulinyuli? Hapa tunazungumzia muziki ule wa Bongo Fleva? Mbali na Kinyulinyuli ambayo ilibamba na bado inaishi kwenye maskio ya wapenda muziki aliachia Darling ambayo nayo ni kali sasa habari ikifukie kwa sasa kijana hutamskia kwenye utunzi wa aina hiyo kwa kuwa ameamua…