
KAIZER CHIEFS KUVUNJA BENKI KUIPATA SAINI YA AHOUA
KIUNGO mshambualiaji wa Simba SC Jean Ahoua raia wa Ivory Coast mkataba wake umesalia mwaka mmoja kuwa ndani ya kikosi cha Simba SC. Alitambulishwa Julai 3 2024 kwa kandarasi ya miaka miwili yeye ni raia wa Ivory Coast. Amekuwa na msimu bora licha ya Simba SC kupishana na mataji yote iliyokuwa inayasaka. Ikiwa Kaizer Chiefs…