MANULA KUIKOSA ASEC MIMOSAS CHAMA HATIHATI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao ASEC Mimosas kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba watakosa huduma ya nyota wao wawili. Kwa mujibu wa Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Daniel Cadena ameweka wazi kuwa maandalizi yapo vizuri isipokuwa kuna baadhi ya wachezaji ambao wanaweza kukosekana kwenye mchezo huo. Ni Uwanja wa Mkapa,…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA WAARABU KIMATAIFA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi wanahitaji kupata pointi tatu za Waarabu wa Algeria, CR Belouizdad licha ya kuwa ugenini. Timu hiyo inakibarua cha kuanza kusaka ushindi kwenye mchezo wa hatua ya makundi leo Novemba 24 kisha. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 2 usiku kwa saa za Algeria huku kwa Bongo ikiwa ni…

Read More

SIMBA NA AKILI NYINGINE KIMATAIFA

DANIEL Cadena, Kaimu Kocha Mkuu wa Simba amesema akili za wachezaji zipo tofauti kabisa na michezo miwili iliyopita. Simba Novemba 25 ina kibarua çha kusaka ushindi dhidi ya ASEC Mimosas ikiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi. Mechi mbili za ligi iliambulia pointi moja na kupoteza tano kwenye msako wa pointi…

Read More

IHEFU YAACHA POINTI TATU KWA NAMUNGO

KLABU ya Ihefu ikiwa ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo iliacha pointi tatu baada ya dakika 90 kukamilika ubao uliposoma Namungo 2-0 Ihefu. Katika mchezo huo Fikirini Bakari kipa wa Ihefu aliokoa mkwaju wa penalti dakika ya tatu Novemba 23.  Keneth Kunambi alionyeshwa kadi nyekundu ya mapema zaidi dakika ya pili…

Read More

ISHU YA PAPE SAKHO KULETA RUNGU LA FIFA SIMBA IPO HIVI

BAADA ya taarifa kueleza kuwa Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA) limeifungia kusajili Klabu ya Simba kutokana na madai ya Klabu ya Teungueth ya Senagal kuhusu malipo ya  mchezaji Pape Sakho uongozi wa timu hiyo umekiri kufanya makosa katika kukamilisha mchakato huo. Ikumbukwe kwamba hivi karibuni rungu la namna hiyo liliwakumba Singida Fountain Gate na…

Read More

KIMATAIFA KAZI IFANYIKE KWA YANGA NA SIMBA

KIMATAIFA kazi inakwenda kuanza kwa wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga kufanya kweli katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Muda ni sasa kwa wachezaji kufanya kweli katika mechi zote za nyumbani na ugenini. Katika hatua ya makundi ni msako wa pointi tatu hivyo hesabu za kufikia hatua ya robo fainali zinaanza kupangwa sasa. Ni muda wa…

Read More

MASTAA SIMBA WAPEWA KAZI KUBWA KIMATAIFA

KUELEKEA kwenye mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas nyota wa Simba wamepewa zigo zito kuhakikisha wanapata matokeo chanya kwenye mchezo huo. Ipo wazi kuwa katika mechi mbili zilizopita za ligi wachezaji wa Simba walipata matokeo yenye maumivu. Katika mchezo wa Kariakoo Dabi Novemba 5 ubao ulisoma Simba 1-5 Yanga…

Read More

AZAM FC YAIPIGIA HESABU MTIBWA SUGAR

YUSUPH Dabo, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wanafanyia kazi makosa ambayo yalitokea kwenye mechi zilizopita ili kupata matokeo kwenye mechi zijazo. Novemba 24 Azam FC inatarajiwa kuwakabirisha Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa ligi utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex. Ilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya JKU Novemba 19 ikiwa ni maandalizi kwa mechi zijazo…

Read More

SIMBA WATUMA SALAMU HIZI KWA ASEC

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa kazi yao kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Novemba 25 2023. “Tunakazi moja tu ya kumnyoa ASEC Mimosas, tunatambua wapinzani wetu wataleta…

Read More

SIO MUDA WA KUTAFUTA MCHAWI NANI NDANI YA TAIFA STARS

MATUMAINI ya mashabiki wa Tanzania ni kuona kwamba wachezaji wanapata matokeo mazuri. Ipo hivyo hata wapambanaji wenyewe wanapoingia kwenye mapambano malengo ni kushinda. Mwisho matokeo ya mpira yanaptikana baada ya dakika 90. Kuna atakayeshinda na atakayeshindwa wakati mwingine inatokea wote wanatoshana nguvu kwenye mchezo husika. Kwa kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars…

Read More