
YANGA YAJA NA GAMONDI DAY
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi wameamua kuja na Gamondi Day kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma ikiwa ni mzunguko wa pili unatarajiwa kuchezwa Mei 22. Ipo wazi kwamba Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi…